Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Viumbe kama wale sijui kwanini ni ngumu kutokea
Jpm utakumbukwa na kila mtu
Jpm utakumbukwa na kila mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaTutaisoma wote
Mie mzee bwasheeWewe utakuwa mmoja wa vijana wanaotumiwa na wansiasa kama daraja!
Sasa tuko na mama bwasheeee umeme tunasubiri crane la tani 26
Kweli atakumbukwa sana tuViumbe kama wale sijui kwanini ni ngumu kutokea
Jpm utakumbukwa na kila mtu
Kumbe ni wale wale wapiga zumari.Jamaa aliweza sana,
Kudhibiti hawa wafanyakazi wa michongo wanaojifanya miungu wAtu kwenye kutoa huduma magu alifanikiwa sanaaa yaani hata nyerere hamfikii
Ndio mmeanza kumkumbuka eeh,wakati yupo hai mlikua mnamtukana tu,na bado!....mtanyookaWakati wa magu 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency tanesco na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante,haki ya Mungu waliikataa,
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli magu alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Kama Magufuli angekuwa anashughulikia tu mafisadi ingekuwa sawa. Ila pia wakati wa serikali au awamu yake kulikuwa na ukatili mkubwa sana na watu hasa waandishi wa habari walikimbia na uchaguzi haukuwa huru. Kwa sababu hiyo, haijalishi ni lipi zuri alifanya, Kwa WENGI ANABAKIA KUWA KIONGOZI MKATILI SANAMi nahisi magu pale ccm alipitia tu ila alikuwa na chama chake moyoni mwake, iweje yeye aweze wengine washindwe?
Unataka kusema viongozi hawayaoni haya tunayolalamikia?
Wakanywa na pombe wakalewa ili kushangilia,wanatakiwa wapigike haswaaaaaAlipokufa mlifurahi. Wakuda na vigeugeu lolote liwakute
Hata jambazi linaloua watu, akifa mke wake na watoto wake watamkumbuka. Huo ni mfano wa mtu mkatili.. kwamba akifa lazima kuna watakaomkumbuka. Kwa JPM, Sio kwamba kila mtu alifungwa akili na mawazo kama hivyo na JPM. Na sio kila mtu anamkumbuka."Mtanikumbuka" hii sauti itajirudia sana tu vichwani mwa watanzania hasa wale walioshika kwenye makali walioshika mpini full shangwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazma waharibu kwakuwa aliyepo sasa ni rafiki yao na ndugu yao, hivyo anawaonea aibu kuwaambia ukweli ama kuwashughurikia.Kila mmoja ana mazuri na mabaya yake
Ila magu alijenga na kurudisha nidhamu iliyopotea
Lakini mafisadi sasa hivi wanazidi kuharibu
Wakati wa magu 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency tanesco na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante,haki ya Mungu waliikataa,
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli magu alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Kuna watu daily wanamtusi humu wanamuita kila majina mabayaWakati wa magu 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency tanesco na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante,haki ya Mungu waliikataa,
Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi
Kweli magu alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Tunanyooka woteNdio mmeanza kumkumbuka eeh,wakati yupo hai mlikua mnamtukana tu,na bado!....mtanyooka
Kwa wachache mkuu, wachache sana, na siku zonavozidi kwenda, mtazidi kuwa wachache.Kama Magu angekuwa anashughulikia tu mafisadi ingekuwa sawa. Ila pia wakati wa serikali au awamu yake kulikuwa na ukatili mkubwa sana na watu hasa waandishi wa habari walikimbia na uchaguzi haukuwa huru. Kwa sababu hiyo, haijalishi ni lipi zuri alifanya, Kwa WENGI ANABAKIA KUWA KIONGOZI MKATILI SANA
Tunanyooka woteNdio mmeanza kumkumbuka eeh,wakati yupo hai mlikua mnamtukana tu,na bado!....mtanyooka
Hatimaye wataishaKwa wachache mkuu, wachache sana, na siku zonavozidi kwenda, mtazidi kuwa wachache.
Tunanyooka woteNdio mmeanza kumkumbuka eeh,wakati yupo hai mlikua mnamtukana tu,na bado!....mtanyooka