Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Siku ccm waliondolewa magogoni itabidi walipe gharama zote
Aisee! Kweli Chatle kuna limbwata zaidi ya la Bagamoyo au Sumbawanga! Yaani mkalishwa matango hadi mmekolea!
Haya huko Madagascar mnakotegemea mambo moto!
 
Mkuu bila kuwa na tume huru ya uchaguzi hatuwezi kuwa na moral justice ya kuliongelea hili. Mi nashauri tuwape wapinzani hiyo tume huru wanayoihitaji ili tuweze kutembea kifua mbele kwa furaha na kuliongea hili ulilolisema bila kupepesa macho.
Wenzio wametia nia na fomu za uraisi wamechukua wewe wamekuachia maneno matupu!
 
Rudi kwenu mwandiga uwatunze wazee wako hata kwa kuwajulia wamekula nini au wamelala je, hata kwa kutengeneza kayoga utauza na kukupatia kipato cha kuwatunza wazee wako.
Wewe ulijihesabu na nani!!
Mwenye Akili anajihesabu !!
Mwenye Akili anaweza ongozwa na ZERO DJ!!
WW unaakili wapi uliona Akili ndogo kuongoza Akili kubwa!!
Jitambue kibendera Fuata upepo
 
Nakuona ulivyo furahiiii, mwenyewe
Ama kwa hakika umenena!
FB_IMG_1592833724511.jpeg
 
Naona leo kale kaposho ulikolipwa jana dodoma baada ya kucheza ngoma ya gobogobo ukumbini ndiyo kanakutia jeuri ya bundle
Hapa limited wewe jumapili ya leo vijana wanafunga majembe mapya kwenye tinga sasa wewe kaa hivyo hivyo mbowe hajatoa posho mwezi wa kumi sasa!
 
Back
Top Bottom