Kenya 2022 Hakika hakuna cha kujifunza kutoka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 General Election
πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Ulitaka tumchague nani kama hakuna chama mbadala wa CCM? Unataka tuingize nani Ikulu zaidi ya mgombea wa chama tawala ? Upinzani wa Tanzania no hovyo tu.
 
Wewe endelea kujifunza jinsi ya kukataa fomu za Wagombea wa upinzani na wote wakosee kujaza.
Wafundishe watoto wako jinsi ya kujificha chini ya meza wasipokee fomu za wapinzani wakiwa Wasimamizi wa uchaguzi.
Yule kijana wako mkubwa anayependa upolisi mwelekeze namna sahihi ya kukimbia na maboksi ya kura.
Wafundishe watoto wa jirani yako namna nzuri ya kupiga kura 3 Kituo kimoja bila kushitukiwa.
Huku Tanzania ndo kuna cha kujifunza achana na Kenya hawana lolote.
 
Unataka nikuwekee Kisha wanifanyia kedi!!..huna wakubwa kwenu!!?..kaangalie kwenye makalio ya mama yako
Pole sana, kwa bahati mbaya wakati wa porojo uliishakwisha. Ni wazi kuwa huu ni wakati mgumu sana kwa wa aina zenu, wala matusi hayawezi kukusaidia. Ukijiruhusu kujifunza kukaa kwenye ukweli itakusaidia hata kujenga uwezo wa kutoa hoja zinazolindwa na vielelezo. AMEN
 
Matusi kaanza Nani!!?..una kumbukumbu za ngiri!!?
 
Uchaguzi wa Tanzania ni kituko kama filamu za kihindi kwamba bajaji inashindana na V8 na inashinda!wanaopendelea uongo ndio huvutiwa.

Sent from my BBF100-6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu nilimjibu kuna shida mkiletewa maendeleo bila ustaarabu ni shida.
Hiyo ni shida ya Kenya na nchi nyingine zenye mrengo wa kibepari na zilizojaza wakoloni wao! wakijiita wananchi.
Development without civilization is poisonous!
 
Hiki kinachoendelea kwenye uchaguzi wa nchini Kenya una mambo mengi sana yasiyowezekana Tanzania kwa Katiba na NEC ya sasa. Alafu mtu anaandika kuwa hakuna kipya cha kujifunza. Kweli?? Au ni kiburi za ujinga?
Hivi Tanzania maboksi ya kura yanaweza kupatikana for re-verifications? Hivi servers za NEC zimeshaweka matokeo 2015-2020 online? Je, ni genuine? au alotangazwa ndo alishinda?
 
Unahangaika na wapumuliwa migongoni Si utachoka bule

Sent from my Nokia 4.2 using JamiiForums mobile app
 
Wakili wa Ruto, Msomi Fred Ngatia amemaliza kila kitu. Kwamba fomu iliyopo kwenye server ya IEBC ni fake. Sasa kama ni fake na ipo kwenye server ilifikaje fikaje? Na kwanini iwe na jina la raia wa Venezuela?

Najua kuna Watanzania wenzangu hawapendi kinachoendelea sasa kule Kenya wakiamini uchaguzi ulishaisha. Lakini uhakika ni kuwa bado. Na hii kesi inarushwa live wenye nchi ya Wakenya waone!
Sisi NEC ikishatangaza ni final hata kama ushindi haueleweki! Oneni uchaguzi unavyowezs chakachuliwa!
Tuna mengi ya kujifunza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…