Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Mjinga sana wewe. Ndio umeandika nini sasa hapa?
 
Hizo njemba 5 zitakuwa humu jf ngoja zikuje.

Waacheni wake za wenzenu, watu washavurugwa
 
Ushakuwa mpakwa mafuta tayari.
Dah so ulikimbia huku una wese.
 
Tea bila sugar...
 
Hii chai ya majan ya migomba😖
 inaukakasi
 
Duu kwaiyo ulipakwa mafuta ukiwa umevaa boxer au ndo unatutangazia biashara tukupake kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…