Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Unatuambia kabisa walikupitishia juu juu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

R.I.P
 
Kwamba ulikuwa unateleza wakijaribu kukushika sio, Yah! Nakuelewa mkuu pole sana.
 
1 Alipakwa mafuta it means kibomba kilitekenywa wakt wa upakaji
2. Wanaume 5 ndan ya guest it means mlango ulifungwa uliwezaje kuchomoka na kuvaa boksa na pia kupita mlangoni mwa wanaume 5 wkt mwanzo walikuzidi nguvu mpk wakafanikiw kukupaka mafuta
 
Kwa hiyo mafuta ya kula ulimwagiwa ndani ya boksa?
 
Tena wangekupasua speaker kabisa Ina maana malaya hamuwaoni
Hao Malaya wanaroho za magonjwa na umaskini mkuu speaking from experience Bora angepiga puchu tu au atafute demu usiwafagilie Sana hao watu
 
Huyu mleta uzi ni muongo na hajitambui kuna siku alileta uzi akawa anawaponda wote wanaoutumia simu za infinix na Tecno kisa yeye anatumia Samsung A 22 ni limbukeni au anatafuta watu wawe wanamsafisha mfereji wa Suezi [emoji855][emoji855][emoji855]
Ndo anaelekea kukazwa
 
Kwa hiyo mpaka sasa unafaa kuitwa "mpakwa mafuta"?
 
Yaani uchoropoke watu watano na walishakupaka mafuta?[emoji23][emoji23]ebu tuache kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ