Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Mkuu unahangaika bure,
Hawa wenzetu wao wanajua wazuri ni wa kwanza wa tatu na wa tano basi, hao wengine ni wabovu, wakiambiwa wathibitishe wanaleta story za vijiweni sasa kama sio udini ni nini?
Akili kichwani mwako,
Jamaa ni wadini kupita maelezo
Uko sahihi kabisa mkuu yaani ukikuta mtu anamshambulia Jakaya basi lazima amshambie Mzee Mwinyi vile vile Rais Samia.

Ukiunganisha dots utakuta ni udini tu unawasumbua ambao hautawapeleka popote.

Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kuwahi kutokea katika Taifa hili tangu nchi iumbwe.

Ni mstaafu ambaye anaweza kutembea mtaani pasipo ulinzi na asiguswe hata na nzi maana ni mtu wa watu ukiachilia hawa haters wachache wasio na sababu za msingi isipokuwa kunuka udini uchwara.
 
Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo na kuwapo kwake si hadithi za uongo za watu tu.
Ulijuaje ni hadithi za watu, Thibitisha kuwa hao waleta hadithi ni watu

Thibitisha neno watu lilitoka wapi?

Thibitisha hao watu waleta hadithi walitoka wapi?

Thibitisha hao waleta hadithi walitumia mikono au miguu kuandika?

Thibitisha kama wewe una akili?

Na ulichoandika hapa JF unaweza thibitisha kuwa ni kweli au ni story za uwongo ambazo wewe ulisimuliwa na hao watu ambao hujui wametoka wapi?

Thibitisha hizo herufi unazoandika ni za nani? Na kwanini Unaandika vitu ambavyo watu ambao huwafahamu walianzisha?

Mkuu wewe ni mpumbavu wa hapa JF, Huna hoja yeyote ya msingi

Unasoma vitabu vya watu ambao wewe mwenyewe hujui wametoka wapi? na mwisho wao ni wapi?

Nani atakuamini wewe ambae hatujui una akili?

Je wewe una akili?
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Tokea Uhuru wa Tanzania kama kuna Rais aliyeongoza vibaya na kuharibu kabisa Uchumi wa nchi na kukuza Mmonyoko wa Maadili kwa Watendaji na hata Wananchi huku Kiwango cha Rushwa ( Ufisadi ) ukiongezeka ni Jakaya Mrisho Kikwete.

Huenda nyote mnaompenda na Kumsifia Kutwa Mitandaoni na katika Jamii zetu mnatakiwa mkimbizwe katika Hospitali za wenye matatizo ya Akili ( Wendawazimu ) ili mkapimwe na muanze Tiba ya haraka.

Marais Bora kuwahi kutokea Tanzania ni hawa Wafuatao....

1. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

2. Hayati Benjamin William Mkapa

3. Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Ambao unaona sijawataja hapa jua hawakuwa Bora au si bora halafu sijui pia ni kwanini walikuwa / wamekuwa Marais.
 
Huenda nyote mnaompenda na Kumsifia Kutwa Mitandaoni na katika Jamii zetu mnatakiwa mkimbizwe katika Hospitali za wenye matatizo ya Akili ( Wendawazimu ) ili mkapimwe na muanze Tiba ya haraka.
Huenda wewe ndio unahitaji kukimbizwa hospitali ya machizi?
Mara nyingi chizi huona wenzake ndio machizi🤣
Labda ni

1-udini unakusumbua
2-ukabila na ukanda
3-jinsia
Au roho mbaya?
Jk ataendelea kupendwa kama baba wa demokrasia nchini
 
Huenda wewe ndio unahitaji kukimbizwa hospitali ya machizi?
Mara nyingi chizi huona wenzake ndio machizi🤣
Labda ni

1-udini unakusumbua
2-ukabila na ukanda
3-jinsia
Au roho mbaya?
Jk ataendelea kupendwa kama baba wa demokrasia nchini
Umemaliza au bado?
 
Jk anafanya biashara gani unayoijua mkuu?
Mkuu kwa akili ya kawaida tu isiyohitaji hata ushahidi wa kitafiti, kwa mtu aliyewahi kuwa mbunge, waziri mwandamizi na hadi kufikia wadhifa wa urais kweli atashindwa kuwa na ukwasi wa kutosha, hisa, hati fungani katika benki kuu, mali luluki na biashara nyingine nyingi sehemu mbalumbali hapa duniani?

Wakati wa kashfa ya ESCROW na nyingine nyingi za kimchongo, wewe unafikiri baadhi ya yale maburungutu ya fedha yaliyobebwa katika viroba na sandarusi hawakupata mitaji ya nguvu hayakupelekwa kwa wafanyabiashara wakubwa ili watu wapate hisa zao huko?
 
Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.
Huyu JK ana umalaika ndani yake kwahiyo hapendwi na shetani pamoja na wafuasi wake Kama wewe. Lile jiwe limetesa na kuua watu ndilo ulikuwa unalifurahia kwa uibilisi wako
 
Hilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.

Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
Mmoja huyu hapa, ameshajitokeza!

Why wasting yours dispraising 'the dead'?!!!!
 
Hamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.

Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.

Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.

Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.

He is really doomed. I can't see any future for him.
Kila kitu kina mwisho wake, naye kwa umri wake hakuna ubishi atafika mwisho siku moja.....hata mwenyewe analijua hilo hivyo huna haja ya kupoteza pumzi kuongelea kitu kinachofahamika.
Hoja ni kuwa mpaka hapo ameshafanya mangapi na anafanya nn mpaka sasa?!!!
Kutoheshimika na watu fulani wenye wivu na roho mbaya hapa bongo kuna tatizo gani kwake?!!!! Mmeshaaminishana wenyewe kuwa hali zenu ngumu za kimaisha msababishi ni yeye, endeleeni kuishi na urithi huo mlioachiwa.....ye anaendelea kusonga mbele. Heshima ya kimataifa km hiyo aliyopewa ni kubwa mara elfu ya heshima ya kinafiki ya haters km nyie.

Katika 80s au karibu na hiyo, vyombo vya kimataifa vinamuhitaji; heshima gn ya uzeeni unayoizungumzia wewe?!!!!

Amemfanyia nani uhalifu?!!! Kwa ushahidi upi?!!!! Kama si hidden agenda kwa huyu mtu, hebu zungumzia uhalifu mwingine pia tuliowahi kuushuhudia na unaosemwa.

Wakati wewe unamdharau, yeye nafikiri hata hafikirii tu kama wewe ni mtu......in his eyes, you're just something!

Si kila mtu lazima awe km nyerere..........kila mmoja ana kipindi chake na changamoto zake husika. Isitoshe, vitu vya mwanzo hakuna ubishi hudumu zaidi ndo maana mpaka leo nyimbo za miaka ya 80 bado zipo huku za 2000 zikianza kusahaulika.
 
Back
Top Bottom