Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Huenda wewe ndio unahitaji kukimbizwa hospitali ya machizi?
Mara nyingi chizi huona wenzake ndio machizi[emoji1787]
Labda ni

1-udini unakusumbua
2-ukabila na ukanda
3-jinsia
Au roho mbaya?
Jk ataendelea kupendwa kama baba wa demokrasia nchini
Yote kwa yote hawa watu ni wasomi sana.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Tokea Uhuru wa Tanzania kama kuna Rais aliyeongoza vibaya na kuharibu kabisa Uchumi wa nchi na kukuza Mmonyoko wa Maadili kwa Watendaji na hata Wananchi huku Kiwango cha Rushwa ( Ufisadi ) ukiongezeka ni Jakaya Mrisho Kikwete.

Huenda nyote mnaompenda na Kumsifia Kutwa Mitandaoni na katika Jamii zetu mnatakiwa mkimbizwe katika Hospitali za wenye matatizo ya Akili ( Wendawazimu ) ili mkapimwe na muanze Tiba ya haraka.

Marais Bora kuwahi kutokea Tanzania ni hawa Wafuatao....

1. Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

2. Hayati Benjamin William Mkapa

3. Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Ambao unaona sijawataja hapa jua hawakuwa Bora au si bora halafu sijui pia ni kwanini walikuwa / wamekuwa Marais.
Mkuu hebu punguzo Udini basi. Dah huoni aibu???

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Zimebaki siku chache tunzeni hii quotes mlete mrejesho.Ipo hivi duniani nzima ikiwemo serikali zote za duniani zipo chini ya nguvu za mamlaka ya watawala wa ulimwengu usioonekana, chochote kabla hakijafanyika ktk ulimwengu wa macho tayari kilishafanyika au afikiwa ktk ulimwengu usioonekana.
Uwe unataka utaki unakubali ukubali sisi sote tunaongozwa na nguvu zilizo nje ya uwezo wetu ambazo zipo ktk ulimwengu wa siri.
Kama serikali tu inawatambua wazee mfano wazee wa Dar ukadhani ni wazee as wazee sababu ya mvi au umri upo nyuma upo wrong,wale ni watu wazito Sana katk ulimwengu ulionekana wapo physical kuwakilisha wakuu wa ulimwengu usioonekana.
Ni SAwa na vatican, vatican si kama vatican ni zaidi ya vatican,thus wakuu wote wa duniani bila kujali dini ni lazima wasalute kwa Pope. Raila Odinga alimshinda UHURU uchaguzi uliopita akawa ajakubaliana masharti ya wakuu wa dunia thus akachezewa mchezo akapewa UHURU, Then anaitwa akaitwa akayakubali masharti thus anachukua this time hata Kenyatta analijua hili ndo maana kaamua kuwa upande wa Raila.
Kwann kambi ya Raila itashinda.
1.Wakenya wamechoka kutawaliwa na kabila/ ukanda mmoja miaka yote, wanataka kubadilisha ladha.
2.Kambi ya Odinga ni strong Ina wagombea smart na wameshauzika miaka mingi sana yaani Odinga na Martha Karua kuliko kambi ya Ruto pia ni wanasiasa mahiri na ni wachapa Kazi wakenya wanaona watavusha na sio ile kambi ya mafisadi.
3.Kambi ya ODIMA yaani Martha na Odinga Ina makampeni meneja smart na makini Sana kuliko kambi ya Ruto.
4.Ruto anajibomboa mwenyewe kwa kauli zake za chuki na visasi na ukosefu wa nidhamu.
5.Ruto ana visasi hana utulivu wa akili yaani sio matured and civilized enough kuongoza nchi,kiburi mjuaji mapepe yaani saikolojia yake haijabalance bado kulinganisha na Odinga,pia ni dictator hofu atawaletea machafuko wa Kenya.
6.Wakuu wa duniani hawawezi ruhusu hayawani aingie ikulu, Kenya ni muhimu Sana kama base ya kucontrol East, and Central Afrika ikiwemo Ghuba ya Aden. Utulivu wa Kenya ni muhimu Sana kwa interest zao.
7.Katika ulimwengu usioonekana wao chaguo lao ni Odinga kwa maana ni rahisi kumcontrol kinyota na sio Ruto yeye hayupo kabisa kwenye radar zao.

Wiki ijayo sio mbali tunzeni post hii.RAILA AMORO ODINGA ndie next president wa Kenya.Upige kura usipige kura tayari wakubwa wa Dunia walishapanga Odinga.

Ruto is another dictator Arap Moi.
 
NIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.
Nakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.
 
Nakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.
Pamoja na hilo ila pia serikali ya Dkt Kikwete ilifanya mambo mengi mabaya na kila tuhuma zilikuwa na ukweli. Tofauti na serikali ya Rais Samia kwa sasa inflation ni zaidi ya 100%, ambayo imejitambulisha ni serikali ya Dkt Kikwete na ndiyo maana Dkt Kikwete anachukiwa na Rais Samia anachukiwa
 
Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.

Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.

Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.

JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana ccm.
Haya, endelea kuabudu maiti hiyo.

Mimi nimeshamaliza hapo.
 
Nakubaliana na baadhi ya hoja, lkn nakwambia chuki dhidi ya kikwete iliibuka zaidi baada ya awamu ya 5 kukesha ikimnanga bila soni.....,yaani taifa liliaminishwa hakuna kitu chochote huyo mtu amefanya; kina musical wakaandaliwa na kuwezeshwa kwa ajili hiyo tu. Na kwakuwa watz, wengi wetu, ni watu tu wa kufuata mkumbo basi wafuasi fulani hv wakalishika hilo vema tu.
Asante kwa ujumbe.

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
JK yuko zake huko anakula maisha Kwa kuaminiwa na Jumuiya ya Kimataifa..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220808-080954.png
    Screenshot_20220808-080954.png
    159.2 KB · Views: 5
Pamoja na hilo ila pia serikali ya Dkt Kikwete ilifanya mambo mengi mabaya na kila tuhuma zilikuwa na ukweli. Tofauti na serikali ya Rais Samia kwa sasa inflation ni zaidi ya 100%, ambayo imejitambulisha ni serikali ya Dkt Kikwete na ndiyo maana Dkt Kikwete anachukiwa na Rais Samia anachukiwa
Tuhuma zote za JK haziwezi zidi tuhuma za uuaji na wizi wa Mwendazake 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    151.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220719-125655.png
    Screenshot_20220719-125655.png
    43.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    Screenshot_20220520-171316.jpg
    116.8 KB · Views: 4
  • 1650491737485.png
    1650491737485.png
    60.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    49.3 KB · Views: 5
Mkuu unahangaika bure,
Hawa wenzetu wao wanajua wazuri ni wa kwanza wa tatu na wa tano basi, hao wengine ni wabovu, wakiambiwa wathibitishe wanaleta story za vijiweni sasa kama sio udini ni nini?
Akili kichwani mwako,
Jamaa ni wadini kupita maelezo
Exactly,wadini mnooo
 
Hamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.

Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.

Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.

Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.

He is really doomed. I can't see any future for him.
Karma is real !!
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Alitumia PESA zetu kuanzisha mchakato wa KATIBA mpya na mwisho akauvuruga.

Atalipa Kwa hili ASIPOTUBU.
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Na ole wake ajichanganye Kama kwetu 2015 kuchezesha karata ,wakenya watamvulumisha
 
Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.

Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.

Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.

JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana ccm.
Labda inamjua kwa ufisadi wake na unafki

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Viongozi waliopo na wajao sina uhakika kama wanajifunza lolote. Hebu just imagine mzee Mwinyi , wakuu wa majeshi wastaafu, mzee warioba unaweza ongeza wa kwako , wanavyo enjoy ustaafu wao. They are just happy na wana public acceptance wanaweza wakatokea popote wakagonga cheers na wananchi wa kawaida kabisa , why mzee kikwete anazomewa kila mahala? Hayuko comfortable na public ? Hii ni changamoto kwa viongozi wajao na wa sasa ku win public share ama ku engage dubious deals na kukosa public acceptance .mtu unakataliwa hadi unauharibia uzao wako. Shame .
Amezomewa wapi mh ama ni meneo gani aliyozomewa mkuu duu ila binadamu tuna chuki ya kiwango cha SGR
 
Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.

Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.

Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.

JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana
Akili huna wewe!
 
Back
Top Bottom