Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
 
The hate is real [emoji119][emoji119][emoji119]
Hamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.

Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.

Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.

Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.

He is really doomed. I can't see any future for him.
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
NIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo na kuwapo kwake si hadithi za uongo za watu tu.
 
Viongozi waliopo na wajao sina uhakika kama wanajifunza lolote. Hebu just imagine mzee Mwinyi , wakuu wa majeshi wastaafu, mzee warioba unaweza ongeza wa kwako , wanavyo enjoy ustaafu wao. They are just happy na wana public acceptance wanaweza wakatokea popote wakagonga cheers na wananchi wa kawaida kabisa , why mzee kikwete anazomewa kila mahala? Hayuko comfortable na public ? Hii ni changamoto kwa viongozi wajao na wa sasa ku win public share ama ku engage dubious deals na kukosa public acceptance .mtu unakataliwa hadi unauharibia uzao wako. Shame .
 
Hilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.

Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
The French phrase laissez faire literally means "allow to do," with the idea being "let people do as they choose." The origins of laissez-faire are associated with the Physiocrats, a group of 18th-century French economists who believed that government policy should not interfere with the operation of natural economic ...
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Mkuu unahangaika bure,
Hawa wenzetu wao wanajua wazuri ni wa kwanza wa tatu na wa tano basi, hao wengine ni wabovu, wakiambiwa wathibitishe wanaleta story za vijiweni sasa kama sio udini ni nini?
Akili kichwani mwako,
Jamaa ni wadini kupita maelezo
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Kiongozi makini na shupavu ni yule ambaye ama uwezo wa kutengeneza "political hegemony". Hiki ndicho Jakaya ameweza kukifanya katika maisha yake kama mchumi, mwanajeshi, mwanasiasa, mwana diplomasia, msuluhishi na mfanya biashara.
 
..Ningempongeza JK kama angesimama kidete kuwatetea Watz dhidi ya yule dhalimu.

..JK alikuwa wapi wakati chaguzi za hapa Tanzania za mwaka 2019 na 2020 zikivurugwa?

..Zaidi, kwanini alimruhusu Jecha kuharibu na kufuta uchaguzi wa Zanzibar wa mwaka 2015?
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Mimi kwa kikwete na mchukia tu mawili baas. Kumsaliti Rais wetu Lowasa na kutuletea Magufuli. Isingekuwa hayo

Mudawote
 
Kitu kizuri pekee alichofanya Kikwete ni kusimamia uchaguzi ndani ya ccm kwa haki tukapata jembe Magufuli (rip). Ni hicho tu, mambo mengi ni zero kabisa. Namheshimu tu kwa kuwa aliwahi kuwa rais wa JMT, na ni utamaduni wangu kuwaheshimu marais, lakini utendaji wake na ukafie huko mbali.
 
Hamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.

Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.

Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.

Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.

He is really doomed. I can't see any future for him.
Humpunguzii chochote kapuku wewe unayenuka umasikini.

Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kutokea nchi hii tangu uhuru akifuatuwa na Rais Samia.

Kwa kauli zako tu hizi unaonekana na masikini unayetaka kumtupia JK lawama za uvivu wako uliopelekea umasikini wako.

JK dunia inamjua vizuri kwa utawala wake uliotukuka kwa kuwaleta Watanzania pamoja, mpinzani wa kisiasa alipewa haki sawa na mwana ccm.
 
Hilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.

Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
Wazazi wako wamekufa au bado wapo?

Wewe una hasira za kufiwa na JPM

JPM ni Baba yako au mbwembwe tu alikupa teuzi

Kama una uchungu sana Nenda Chato ukazikwe nae kama Zito alivyoshauri

Mkuu una stress sana za maisha, Hiyo level unakoelekea ni ukichaa

Kunywa maji mengi sana
 
NIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.
Kwahiyo jambo la hovyo wafanye kina Nape lawama apewe JK?

Kama wapo Watanzania wa hivyo basi ni hovyo kabisa including you. Kama kuna mtu ametamka jambo baya kuhusu Magufuli basi ashambuliwe mhusika sio kupeleka lawama kwa mwingine, huo ni ushamba uliopitiliza.

Kwa maana hiyo unamlisha maneno Jakaya kwa kitu ambacho hakukisema.
 
Kiongozi makini na shupavu ni yule ambaye ama uwezo wa kutengeneza "political hegemony". Hiki ndicho Jakaya ameweza kukifanya katika maisha yake kama mchumi, mwanajeshi, mwanasiasa, mwana diplomasia, msuluhishi na mfanya biashara.
Jk anafanya biashara gani unayoijua mkuu?
 
Back
Top Bottom