Viongozi wetu wakina nani? Mimi sina kiongozi ninaye mlamba miguu au kumtukuza. Na si mwanachama wa chama chochote cha siasa.Hamna kitu nachukia kama kuwasema MATAGA kwa mapambio yao ilihali na ninyi mnaimba mapambio Kwa Mwenyekiti kila siku pamoja na blanda kibao ambazo wamekuwa wakifanya viongozi wenu
Nimekuelewa, unamuongelea yule FEDHULI aliye garagaza Katiba, akaweka Bunge mfukoni, akaitisha Mahakama na akadhibiti vyombo vya habari.
Yule aliyeiba kura za uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na uchaguzi Mkuu wa 2020 ili atawale milele. Watanzania walipiga magoti hatimaye Mungu akasikia hatimaye AKAFA kwa CORONA mwezi Machi 2021.
Mbele kwa mbele kama CCMSame as Hitler legacy
👊👊ID yako haisanifu
Hilo ni tatizo lako binafsi!Uzi haueleweki!.
Kaa chini uEdit tena!.
mkuu nmekureport mods wasiponiskia ntajiuzulu....yan unanikera kupost nonsense kila mara..Ndiyo maana Lisu alikiona cha moto alipojipendekeza MIGA.
Tanzania iko makini na wagonjwa wa akili.
Mbona tunajua mlikuwa na matatizo ya ajili pia!Ndiyo maana Lisu alikiona cha moto alipojipendekeza MIGA.
Tanzania iko makini na wagonjwa wa akili.
Wamekufa vipenzi vya Mungu(mitume) na hawajafufuka ndio iwe kwa kipenzi cha watu? kungekuwa na uwezekano wa kufufua wangemfufua.lakini kafa siyo,mfufueni basi tuone kuwa ni kipenzi cha watu,Mungu amweke mahali panapostahili.
Chizi Ni mama yako na yule uliyekuwa unamuabudu na kumuaminia, lakin sasa yuko futi 6 chiniNa ole wake atakayeleta fyoko fyoko, au chama chochote kitacholeta fujo watatutambua.. na yule chizi fresh toka ubelgiji achunge sana
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Kufa kupo tu we huoni watu wameenda kumuaga Kiongozi wao kipenzi aka mjeshi hadi wakafa hukohuko nao kutokana na wingi wa watu?
Hata angekua futi kumi, serikali ni ile ile... Uliketa fyoko utamlilia mama yako. Nakushauri kaa utulie. Yule mbelgiji asiwaponzeChizi Ni mama yako na yule uliyekuwa unamuabudu na kumuaminia, lakin sasa yuko futi 6 chini
Kwio hio kwioooLissu anajua ukweli na Mie Nina amini corona ndio imempeleka sababu alikuwa mbovu. Fikiria familia moja Morogoro kaondoka Baba na mama wameacha watoto wadogo Shauri ya dharau yake halafu leo eti legacy,' legacy my foot' (kwio).
Huyo siyo kipenzi cha watu,sema kipenzi cha majizi na wauaji.Wamekufa vipenzi vya Mungu(mitume) na hawajafufuka ndio iwe kwa kipenzi cha watu? kungekuwa na uwezekano wa kufufua wangemfufua.
Wale waliyokuwa wanasimama barabarani huku wanalia wakiaga mwili ndio mkuu unasema wale ni majizi?Huyo siyo kipenzi cha watu,sema kipenzi cha majizi na wauaji.
Yes. Umesema kweli. Vizazi na vizazi vitasoma tulikuwa na rais aliyepuuza virus vya corona, watu wakafa kwa wingi na yeye mwishoni akafa kwa hiyo hiyo corona.
Tunajua alifariki kwa matatizo ya moyo..........uamuzi ni wako
MbilimbiYaliyochagizwa na ...
Huyu DIKTETA baada ya kesho kufunga maombolezo tunamsahau mazimaTulishaambiwa tuibadili Historia ya Nchi hii kwa kuingiza haya mambo ya Jiwe, sijui imekaaje hii? tuachane na kina Rebman, Livingstone nk
amini nawaambia kwa utawala wa huyu Mama ni mwezi tutasahau yote ya Buldozer km alivunja Kimara kwa kuwa hakupigiwa kura, na Mwanza akwaacha na kuongeza daraja la Busisi