Mbingu hatoiona huyo DIKTETAWatu wengi wamekufa, wengine vilema, wengine wamekua maskini kwa kua alitaka waishi kama mashetani huku akijinasibu kumtanguliza Mungu na kua atakua mkuu wa malaika mbinguni.
Mfyuuuu nani amfanye bedui malaika
Huyo huyo siku hizi anaitwa Mwendazake. Alisema ambaye angebaki DAR by July 2016 ni Mwanaume kweli kweli.Yupi unaemzungumzia exactly..!
The special one,Mr Mjuaji wa kila kitu?Mtetezi wa wanyonge aliowadhulumu korosho zao Mtwara na kutishia kuwachapa bakora had bibi na babu zao?
Aliezuia wanyonge KUONGEZEWA mishahara na annual incriments kwa zaid ya miaka sita kwa sasa?
Yule ambae sasa hivi huko aliko anawaongoza malaika??
Yupi exactly,aliepigiwa chapuo la KUONGEZEWA muda atawale zaid na mwenyewe akakataa na kuamua kwenda zake??
Mbowe na genge lake la wahuni wa saccos wao wana legacy gani waliyoiweka kama si kutengeneza mazezeta tu.Hana legacy yoyote ile ya maana aliyo iacha! Zaidi tu aliwageuza nyinyi MATAGA kuwa misukule na waimba mapambio wake.
Mada inamjadili mtu mwingine, wewe unamjadili "Mbowe na genge lake la wahuni wa saccos" Sijui ndiyo nini! 🤔 Kwa nini usianzishe uzi mwingine ili tumjadili hiyo Mbowe na hilo genge lake la saccos?Mbowe na genge lake la wahuni wa saccos wao wana legacy gani waliyoiweka kama si kutengeneza mazezeta tu.
Dunia inaenda Kasi Sana.Huyo huyo siku hizi anaitwa Mwendazake. Alisema ambaye angebaki DAR by July 2016 ni Mwanaume kweli kweli.
Tupo hapa
acha naye huyo AGITATOR anadhani CCM hawakuumizwa akijua ni wapinzani tuMada inamjadili mtu mwingine, wewe unamjadili "Mbowe na genge lake la wahuni wa saccos" Sijui ndiyo nini! 🤔 Kwa nini usianzishe uzi mwingine ili tumjadili hiyo Mbowe na hilo genge lake la saccos?
Uliwahi kufaulu mtihani kweli wewe wakati unasoma?
CCM Haina shida, hata Upinzani sio kuwa ni Wazuri sana kuliko CCMMungu alikuwepo kabla ya ccm na mzizi wa matatizo ni ccm,Lissu mbaya wake Jiwe ila Dr Ulimboka mbaya wake yupo utawala wa ccm uliopita. Sasa Mungu anatakiwa akusemeshe kuhusu ccm maana ndio kwnye mzizi wa tatizo na sio kuishia kwenye chaguzi kusema huyu ni chaguo la Mungu baada ya uchaguzi chaguo la Mungu linapigwa chini na Ccm. Kama sio Ccm huyo Jiwe angepatikana vp unafikiri?
Magufuli planted the seeds for his own destruction.CCM Haina shida, hata Upinzani sio kuwa ni Wazuri sana kuliko CCM
Marais wote wa Tz wametoka CCM na Wana mazuri yao na mabaya yao.
Lakini kwa case ya Magufuli ilikuwa tofauti. Magufuli ni mtu muovu na mbaguzi, mbabe anayedharau kila kit6 huku akijitia unafiki kuwa ni mcha Mungu.
Mungu alishindwa kuvumilia unafiki mkubwa kiasi kile
Tangu lini ccm imeanza kutokuwa na shida?CCM Haina shida, hata Upinzani sio kuwa ni Wazuri sana kuliko CCM
Marais wote wa Tz wametoka CCM na Wana mazuri yao na mabaya yao.
Lakini kwa case ya Magufuli ilikuwa tofauti. Magufuli ni mtu muovu na mbaguzi, mbabe anayedharau kila kit6 huku akijitia unafiki kuwa ni mcha Mungu.
Mungu alishindwa kuvumilia unafiki mkubwa kiasi kile
Ana maanisha watu walipiga magoti kumlalamikia mwenda zakeUzi haueleweki!.
Kaa chini uEdit tena!.
Aliyeitaka roho ya Lissu yuko wapi sasa?Ndiyo maana Lisu alikiona cha moto alipojipendekeza MIGA.
Tanzania iko makini
Pole bwana. Vipi Kijazi na Magu wako wapi sasa. Wanaozea kwenye mchanga. Jeuri yao iko wapi ndugu? Wamekuda vifo vya aibu na masimamgo.Ndiyo maana Lissu alikiona cha moto alipojipendekeza MIGA.
Tanzania iko makini
mkuu nmekureport mods wasiponiskia ntajiuzulu....yan unanikera kupost nonsense kila mara..
Marehem anaonaje aibu.Pole bwana. Vipi Kijazi na Magu wako wapi sasa. Wanaozea kwenye mchanga. Jeuri yao iko wapi ndugu? Wamekuda vifo vya aibu na masimamgo.
haha naskia hasira sana...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
Tutembee vifua mbereeeeNilikuwa nataka sana kulete thread kama hii.
Asante sanaaaa!
Sasa hi thread isonge mbereeeeeee