hao wanawake zenu waajiriwa mnaosema wanajiheshimu mkae mkijua ni wake za wanaume maofisini wa hadhi za juu yani H.O.D, kama mnabisha angalieni muda wa lunch wale majamaa wenye vyeo vikubwa wanavyo watongoza kimasihara na jumamosi wanaenda kuliwa juu ya meza za maofisini baada ya nusu siku kuisha.
Nilishawahi kufanya ofisi moja dodoma jina kampuni ilikua mitaa jirani kidogo na nyerere squire pale. Kuna mama mtu mzima anajiheshimu sana na ana vaa kwa stara mno . Yule mama ilifika kipindi nikawa na muita hadi mama japo alikua msaidizi wa incharge . incharge asipokuwepo ana kaimu
Yule mama staff walikua wanamuwaza sana yani story za kipuuzi na utani hayupo ni mstaarabu mno. Siku moja tukaambiwa mkaguzi anatinga jtatu ase. Jumamosi kama kawa tukaenda kumalizia viporo rekebisha kazi . Print document tulizokua tunapiga watu tarehe bila sababu mpaka mida ya saa tisa baadae watu wakawa wanasepa. Ila akibaki manager na huyo mama (staff) . Mimi na system administrator tukaenda gorofani deparment ya finance kufanya yetu huko wakajua tumesepa.
Alo tulikaa huko hadi saa nne usiku tukitenda dhambi japo wale walinzi walikua wanajua ndani yupo manager na huyo maza kumbe tupo wengine. Ndugu yangu tumemaliza kutenda dhambi zetu tukasema acha tukaweke mambo sawa ofisi no 15 kile chumba kilikua hakina cctv camera , ase tuliyo shuhudia ofisi no 15 kutoka kwa manager na huyo mama mwenye heshima zake ilikua ni aibu tupu. Jamaa alitusihi sana tukae kimnya akatuambia anajua michezo yetu tukamjibu hatuna shida. Yule mama alishindwa kabisa kututizama machoni cz kuhusu uharibifu hasa hasa wa watoto wa field na intern na wake za watu tulikua ni sisi na alikua anatusema sana vibaya .
Alijikaza mno baadae kwa aya ya uso akachukua ruhusa ya siku kadhaa na alipo rudi akaamua kututongoza na sisi kila mtu na muda wake tumle ili ajisikie amani.
Kweli hatuku kwepesha tulikuja kumla pale pale ofisini nakumbuka mimi nilimlia chooni kainama napiga machine mwezangu ananiadisia alimlia mle mle no 15. Na mpaka sasa nikienda dom nikitaka mzigo napewa na nikilia kishida kidogo napewa hela na huyo mama mke wa mtu.
Miezi kadhaa manager alikuja mfanyia mpango systeam administrator akaamishiwa alipokua anaomba kuamishiwa aende huko kwa mkewe japo mwazoni walikua wanamzungusha sana ila alimsaidia sana baadae baada ya kuwafuma.
Nb: kuna muda huyo mama anajutia sana kuliwa na sisi kumla ila anasema ni vishawishi tuu na yule alikua ni mkubwa wake alishindwa kabisa kukataa maana analinda ugali mumewe haeleweki, pia aliona kutupa kumnyandua ndiyo angeishi kwa amani pale ofisini na sisi akaamua kufanya hivyo.
Nb; sasa hao wanawake mnaosema wanajiheshimu wako wapi na wauliza. Ni kitendo cha muda tuu huyo mkeo mwajiriwa unayesema anajiheshimu na anaakili anajielewa analiwa kimasihara na member of H.O.Ds
Mpaka naondoka pale ofisini naenda ofisi nyingine manager alikua ni msela wangu kabisa na mlevi mwezangu baada ya kumfumania, mpaka baadhi ya wadada wakawa wanasema nimemloga manager mbona kawa msela sana na mimi na ni mtu mkali sana inakuaje tumezoeana ghafla