TPP
JF-Expert Member
- Mar 18, 2023
- 650
- 783
Nimesoma nimeelewa kuwa nyie hamtaki kuwajibika juu ya nchi yenu huku mkifikiri watu wa nje wanapaswa kuwajibika na maendeleo ya nchi yenu.Umesoma au umerukaruka ili uwahi kuandika kwa kidhungu kabla mtu hajakutisha na kukupelekea usahau?