Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

Hakika Rais Samia amenifurahisha sana kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China

Nenda Lindi,Tanga, Pangani, Bagamoyo, Kilwa ukaone waarabu wanavyoacha mahali pamechoka. Ulishawahi kuona mfanyakazi wa Mwarabu amejenga japo kakibanda?
Kwahiyo toka Mwarabu aondoke kwenye hiyo miji uliyoitaja mmeshindwa kupaendeleza nyinyi wenyewe mpaka leo?

USA alitawaliwa na England,kwahiyo nae angekaa kulaumu mpaka leo kua UK hakuijenga US? China alitawaliwa na Japan,so angebweteka tu na kukaa kuwalaumu wajapan kua hawakuijenga nchi yao? Sasa hivi China ina uchumi mkubwa kuliko hao wajapan waliowatawala,USA wana uchumi mkubwa kuliko UK ambao ndio waliwatawala,

Hoja yako haina maana kabisa.
 
Kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China, hakika katika hili Rais Samia anastahili pongezi na binafsi nampongeza sana.

Wakati wote nilikua nina wasiwasi pale nilipoona kiongozi anaweka mafungamano ya kiuchumi na kijamii na Wachina, Wahindi na Waturuki. Hawa pamoja na mafanikio kwenye nchi zao lakini kamwe hawawezi kujuletea matokeo kwake, ni aina ya washirika fulani washenzi washenzi ambao katika ushirika wenu wao huumizwa na mafanikio yako (Sijui hii roho wachina wameiokota wapi).

Kwangu naona waarabu ni very best na hawa, kama tutaacha ujinga wetu wa kutokua makini, naamini waarabu tutafika nao mbali sana.

Kwa kuubadili uelekeo wa nchi kutoka China, India na Turkey na kuuelekeza kwa waarabu, hakika rais Samia umeutuliza moyo wangu.

Ninaweza nikapinga aina ya mikataba na hawa waarabu, lakini si wawekezaji wa kiarabu. Zaidi ninachojua mimi mikataba hii mibovu huwa inakua engineered na Watanzania wenyewe ili wavute percents zao sababu ya ubinafsi na ufisadi tu.
Kweli maana China ni matapeli na makabila wa 21 century,na tungepigwa vibaya sana..

Dunia nzima inakimbilia Uarabuni ndiko pesa ziliko.

Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom