Nimesoma nimeelewa kuwa nyie hamtaki kuwajibika juu ya nchi yenu huku mkifikiri watu wa nje wanapaswa kuwajibika na maendeleo ya nchi yenu.Umesoma au umerukaruka ili uwahi kuandika kwa kidhungu kabla mtu hajakutisha na kukupelekea usahau?
Siwezi uliza ili nieleweshwe jambo nililo elewaHuna ulichoelewa. Afadhali ungeuliza ningekuelewesha.
Uongo wa CCM bwana!!!!Umeelezea vizuri sana.Hawa watu sijui wamepata maendeleo kivipi.Ukiangalia Dubai,ilikuwa ni kijiji cha uvuvi,nyumba zilizoezekwa kwa majani ya mitende,miaka ya 80.Hawana mafuta,hawana dhahabu,hawana almasi,hawana madini yoyote.Ni Bandari tu,ndio imewainua kutoka 0 mpaka juu zaidi.
去你的 we are not idiots just poor為什麼你們非洲人這麼白痴?
所以窮會讓你在重要的事情上變得天真?去你的 we are not idiots just poor
Yap we need help所以窮會讓你在重要的事情上變得天真?
Unatokea bara gani ndugu?Una mfananisha Deng Xiaoping na huyu Rais wenu ? I think you are not ok
You Africans you need to be serious in important things don't act childish all the time
Don't depends on others to carry your problemsYap we need help
Nipo AfrikaUnatokea bara gani ndugu?
Hapa Kama tupo pamoja Ila sio perse kabisa. Mie siangalii sura ,rangi etc Ila nachojali nchi ipate haki kwa mktaba mzuri yaani iwe win win situation.Ninaweza nikapinga aina ya mikataba na hawa waarabu, lakini si wawekezaji wa kiarabu. Zaidi ninachojua mimi mikataba hii mibovu huwa inakua engineered na Watanzania wenyewe ili wavute percents zao sababu ya ubinafsi na ufisadi tu.
Doooooooooooh kwa hiyo mali zimebaki nje zina demewa na nzi tuu 😂😂Samia kafungua nchi kwa papara mpaka mwishowe ametuacha uchi, sasa mwarabu anatuchungulia tu.
Love your country, build your country don't depends on strangers to do for you.What should I do then?
Sit around or try to do something i can't manage?