Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda

Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na moyoni amemwacha Mungu...

Hapo unaona umeshinda kesi...

Ila umeweka agano na mganga litakutesa kizazi na kizazi...
Naomba ufafanuzi juu ya suala la kumtegemea mwanadamu kwa maana ukiajiriwa unategemea mwajiri akulipe Je, huko sio kumtegemea mwanadamu?
Au kuahidiwa Jambo hususani msaada wa kitu fulani, Je huko Nako sio kumtegemea mwanadamu,
Au kumtegemea daktari katika matibabu
 
Wapo mashekhe na wachungaji wanaofanya wallet za waumini zao ni migodi yao ya pesa.

Weka hii akilini....
Naona kiuka misingi ya waaminicho wapo kila Kona ya duniani.

Ila pia wanaotenda sawasawa na Imani zao zitakavyo pia WAPO.

#YNWA
Uwepo wa Manabii wa Uwongo, ndo kigezo cha wewe kujitetea na kusema Sitaki Kumtegemea Mungu mimi nitategemea waganga??

Hakika Ujinga huo unakutafuna hata sasa.
 
Mimi sikuhukumu kwa lolote, chochote ulichofanya kiwe kizuri kiwe kibaya sio mada yangu.
My point ni Acha kumtegemea Mwanadamu, Anza kujifunza kumtegemea Mungu muumba wetu.
 
Kwa nijuavyo mimi ni katika roho ndio maana anasema moyoni amemwacha Mungu. Na automatically ukimtegemea moyoni ni katika ulimwengu wa nyama itafuatia.

Mambo mengine tumeumbwa kutegemeana
 
Mimi sikuhukumu kwa lolote, chochote ulichofanya kiwe kizuri kiwe kibaya sio mada yangu.
My point ni Acha kumtegemea Mwanadamu, Anza kujifunza kumtegemea Mungu muumba wetu.
Nguvu ya kushinda alikuwa nayo ila hakujua namna ya kuipata toka kwa chanzo ambaye ni Mungu. Huyo mganga hiyo nguvu anaipata toka kwa Mungu ni kwamba amemwaminisha mhusika kuwa anaweza na akaweza kwa nguvu ya Mungu iliyopo ndani yake.

Ni kujifunza na kumrudishia utukufu Mungu kwani yeye anachotaka ni moyo wa shukrani tu.
 

Kwa nijuavyo mimi ni katika roho ndio maana anasema moyoni amemwacha Mungu. Na automatically ukimtegemea moyoni ni katika ulimwengu wa nyama itafuatia.

Mambo mengine tumeumbwa kutegemeana
Nadhani utakua umeelewa, majibu uliyopewa.
Ni kumtegemea Mungu kiroho (akilini)
roho huyo ndie atakwambia nenda hospital fulani utapata huduma nzuri,
kula chakula hiki kinafaa kwa mwili wako.

Mwanadamu unatakiwa kumtafuta Mungu kiroho, roho ilianza kutengenezwa ndipo mwili ukafata kutengenezwa
 
Hakuna kitu kama hicho.
Ukisema hivo unamaanisha Shetani/ibirisi hayupo.
Na shetani ndio anataka hivo wewe utambue kua yeye ndie Mungu na umtumikie kwa kudhani ndie Muumba wako kumbe ni uwongo na mwisho wa siku utahukumiwa pamoja nae.
 
Hakuna kitu kama hicho.
Ukisema hivo unamaanisha Shetani/ibirisi hayupo.
Na shetani ndio anataka hivo wewe utambue kua yeye ndie Mungu na umtumikie kwa kudhani ndie Muumba wako kumbe ni uwongo na mwisho wa siku utahukumiwa pamoja nae.
Nguvu iliyopo ni moja.

Isipokuwa mtu anachagua aitumie vipi. Ni sawa na nguvu ya umeme unaweza kuchagua kuitumia kwa mambo mbalimbali.

Shida au shetani yupo rohoni/ kichwani/moyoni/ mwa mwanadamu. Kivipi? Tabia, imani. Ndio maana ukitanguliza kanuni ya upendo/nuru katika chaguzi shetani hana nafasi ya kupendekeza jambo na utachagua nuru au itaongozwa na nuru au ukweli huo kuchagua. Kinyume cha hapo utatafuta waganga mpaka wote.

Nguvu ni moja.
 
Uwepo wa Manabii wa Uwongo, ndo kigezo cha wewe kujitetea na kusema Sitaki Kumtegemea Mungu mimi nitategemea waganga??

Hakika Ujinga huo unakutafuna hata sasa.
Sijamtegemea mganga.
Ila mganga huomba kwa Mungu.

Kama alivyo Mchungaji na shekhe.

Iko hivi ......

Hata babu zako wa ukoo wako walitumia matambiko miaka hiyo ila walikuja wazungu wakawaambia "Wanazingua" ndipo tukamezeshwa Imani za wageni.

Ila nikwambie tu babu zako...
Waliomba milimani mvua ikaja,
Wakaomba matibabu yakaja,
Wakaomba mavuno kipindi cha njaa yakaja.

RESPECT AFRICAN RELIGION.

#YNWA
 
Hebu kaa mbali na sisi bwana...
Wew ulijuaje kwamba ulishinda sababu ya uchawi ?

Wakati mwingine mkumbukeni basi Allah kuwa yupo hata kama hamuamini uwepo wake

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Huu ndo ujinga ambao mnatumia kujitetea nao.

Unajua ni jinsi gani watu waliteseka kwenye utawala wa machifu??
Walipokosa mvua, unajua gharama zilizowapata hadi kuja kupata hiyo mvua?? na kwanini mvua ilikosekana.

Ukiambiwa uongozwe ma chifu wewe na uvae kaniki utakubali???
usishadadie ujinga na huku Unatumua smartphone ya mzungu.

Unasema mganga anamuomba Mungu na miungu unadhani inaabudiwa na nani??
au unataka kujitoa akili kuwa hakuna miungu?

Sikulazimishi Kuachana Na waganga.
Lakini iko wazi, wote mnaokwenda kwa waganga ndio walogaji wakubwa kazi kurudisha maendeleo nyuma ya watu wasio na imani.
kesho utaenda kutafuta utajiri kwa waganga, kesho kutwa utaenda kumzindika demu wako, then utaenda kutafuta mvuto wa mapenzi, utachanjwa chale na kulishwa mavi na waganga hadi uchakae uwe na sura kama mbuzi kabanwa kunya 🤣🤣🤣
 
Huu ndo ujinga ambao mnatumia kujitetea nao.

Unajua ni jinsi gani watu waliteseka kwenye utawala wa machifu??
Walipokosa mvua, unajua gharama zilizowapata hadi kuja kupata hiyo mvua?? na kwanini mvua ilikosekana.
Hakuna utawala ambao hujawahi semwa vibaya.
Ukiambiwa uongozwe ma chifu wewe na uvae kaniki utakubali???
usishadadie ujinga na huku Unatumua smartphone ya mzungu.
Maendeleo yasikufanye uone yako ni mabaya ila waliokuletea ndio mazuri.
Unasema mganga anamuomba Mungu na miungu unadhani inaabudiwa na nani??
au unataka kujitoa akili kuwa hakuna miungu?
Mganga anamuomba Mungu yule yule ambae Mchungaji na shekhe wanamuomba.
Kila sehemu wapo wabaya...
Kwenda kanisani kuomba ni kuzuri ila ukienda kwasababu ya kutafuta mademu SI VIZURI.

Kwenda kwa mganga kama nilivyokwenda si vibaya ila ukienda kwasababu ya kuloga sio vizuri.

Hujawahi ona mtu anatumia Quran kusoma albadili, ina maana uislamu ni mbaya?

Halafu mwisho utaandika nimtegemee Mchungaji kunisalia au shekhe kunipigia kisomo.

Yaani unaamini yaliyoletwa ni Bora kuliko tuliyokuwa nayo..!!

NB:
Wapo...
Mashekhe wajinga
Wachungaji wasiojielewa
Waganga washenz*

#YNWA
 
Iko hivi....
Wapo wachungaji matapeli NADHANI UNAWAJUA,
wapo mashekhe waongo NADHANI UMEWASIKIA,
Wapo Waganga matapeli NDIO HAO ULIOKUTANA NAO,

Kifupi kila jambo na taaluma kuna waongo wasiojua nini wanafanya na WENYE UJUZI WAO.

#YNWA
Nimekutana na mganga tena hao fake hapo nimeweka bayana sikutaka hata kujihusisha na mganga nime declare kabisa waganga kwangu hawawezi kuwa sehemu ya kunitatulia matatizo, sema ndiyo hivyo tumetofautiana namna ya kutatua matatizo kila mtu ana approach zake base on his/her beliefs
 
Mkuu naomba connection kunamtu kateleza na thaman ya mistubishi outlinder na nipo rukwa
 
Kwa kulipa 30,000 na hayo masharti umeshaingizwa kwenye maagano ya giza. Bado kuna gharama utazilipia zaidi ni swala la muda tu!
 
uislamu ni mbaya ndio, pigia mstari.
🤣🤣🤣🤣🤣 acha kujitetea mshirikina wewe.

na nimekukataza kujitetea kwa kusema kuna wachungaji na manabii wa uwongo.

umedanganywa mganga anatumika na Mungu.

endelea kuwa na shingo ngumu, tuone utafika wapi.

Yaishe hutaki kuacha, komaa na ushirikina wako, toa kafara sana utatoboa tu.
 
Fungua macho uelimike.

1. Si lazima utoe kafara ili usaidike.
Kwenye scenario yangu, NILITOA KAFARA NINI?

2. Na infact ULITAKA NIDHULUMIWE?

3. Unaposema uislamu ni mbaya kwasababu ya ukristo wako, huku umerithi hiyo Imani kutoka kwa wazazi na kutoka kwa wazungu (wamishioneri).
Hivi unajua ungezaliwa na muhindi muda huu ungekuwa una mwabudu "Krishna"?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…