π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ wohiiiii.!!Yaani mtu namchungulia utosini
Kwanza alikuja na pigo za kishamba
Eti karibu ofisini kwetu
Hapo ndipo ofisini kwetu
Namuuliza wapi?ananionyesha hapo
Asichojua Mimi ndio nilikuwa nimetoka humo na watu wote nawajua yeye sijawahi kumuona.
Ndio kakaja kuomba namba
Kafupo yaani
Utadhani mtu na shangazi yake.
πΉπΉπΉ halafu awe na PhD na mfupi wallah hakuna color utaacha kuona πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈEti MFALME WETU
Wana siasa Wana shida gani?
Yeahhhhhhh πΉπΉπΉTulia ww labella mafia
Kivipi?Kuaibika ni dk moja tu, insecurities kibao
Muhimu pesa tu hayo mengine keleleππCountrywide mbona km huchomoki πΉπΉ
Akifuata ushauri wako hapati mme bora achague hapo hapo ili akambadilisheππππ1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
Yaani hasara tupu π€£Sijui kwann wengi madish πΉπΉ
Sasa watawaoa kina nani?1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
11. Mwanamke mfupi, wana gubu sana na wanaongea/kulalamika usiku kuchaPia hakiisha huowi mwanamke wa aina hii
1.Mlevi
2.Nywele na kucha bandia
3.Anayeshinda kwenye mitandao muda wote na kila mtandao wa kijamii yumo.
4.Mwenye kiji elimu wengi wao hutaka kuleta mambo ya 50/50 na ujuwaji mwingi.
5.Mwenye marafiki wengi wa kiume.
6.Anayependa mitoko wiki endi tena ukute yeye ndiyo anapendekeza kutolewa out.
7.Anayefanya kazi za shift za kuingia usiku na kulala huko huko.
8.Anayevaa nguo za kubana na kuonyesha maungo yake kwa wanaume.
9.Mbishi na mjuwaji asiyekubali kuelekezwa na mwanaume mara moja jambo.
10.Bila kuwa sahau wale wa chora tatoo na wavaa vikuku na blich au rangi rangi kichwani.
Kati ya hao ukijichanganya nao umekwenda na maji labda kupiga na kusepa tuu ila si kwa matumizi ya maisha na kujenga Familia. Kama unazo zingine ongeza.
Kwani mlevi hawezi kuwa na hofu ya Mungu?Mwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,π
Amesema mnywa pombe sio mlevi.wapi alikuwa mlevi?
Aah Mimi mvuvi Tu hapa kilwa ,πππMwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Youngblood
Baba Swalehe
Mmefikiwa huku
Si ndio upo hapo kundi la mganga wa kienyeji babe πAah Mimi mvuvi Tu hapa kilwa ,πππ
Huyo ni Zuchu tuSeriously unakuaje mwanaume af hunywi pombe
Mimi mvuvi tu.... Hapa kilwa navua dagaa tu nkichoka naenda kuhubiri kuleta watu kwa yesuSi ndio upo hapo kundi la mganga wa kienyeji babe π
Umebadili tena kaziMimi mvuvi tu.... Hapa kilwa navua dagaa tu nkichoka naenda kuhubiri kuleta watu kwa yesu
Wagonjwa wasumbufu.... Mtu anawashwa meno jamani anasema nmkuneUmebadili tena kazi
Sio mganga wa jadi? π
Nyie si ndio Burudani kwa woteπWagonjwa wasumbufu.... Mtu anawashwa meno jamani anasema nmkune
HahahaNyie si ndio Burudani kwa woteπ