Hakikisha kabla hujamuoa Ajue kuwa siku Akiku-cheat utamfukuza bila Mjadala

Kuna wanaume suruali mzee , wanalishwa na hao wake zao unazan wataweza ongea nn,

Ulicho ongea I think ndo mm nilivyo , ume bold my knowledge , sijui Hawa wanelelewa wataishije
 
Zingatia pia fact ndio muhimu zaidi kuliko logic
 
Andiko liko safi limejaa fact tupu
 
"LOVE WAS NOT MEANT FOR EVERYONE" ukiona kitu ni kigumu jua hakikuhusu!
 
Tatizo hamjui pale Eden eva na nyoka walizungumza nini ndio maana Mungu akawaambia muishi na mwanamke KWA akili[emoji23][emoji23][emoji23] SASA nyie jihangaisheni tu
 
Tatizo hamjui pale Eden eva na nyoka walizungumza nini ndio maana Mungu akawaambia muishi na mwanamke KWA akili[emoji23][emoji23][emoji23] SASA nyie jihangaisheni tu
Hatutaki kujua. Ukizingua kibuti tu, halafu nenda kaseme kwa huyo shetani.
 
Ulitakiwa kuwa mkuu wa taikoni wa fasihi.
 
Unawezaje kumsamehe mwanamke/mpenzi anaye cheat ?
Msamaha pekee unaoweza kutoa ni kumfukuza bila kilema! Ikibid hata stahik kadhaa!
Ukiona hata Jesus alipindua torat lakin kwenye zinaa iligota kusamehe mke malaya, ndo ujue ukimsamehe mwanamke uliyejihakikishia kavuliwa chupi nje ya ndoa, umekaribisha kifo ndan! Na umeuza uanaume wako kwa ujinga wako!
Fukuza anza upya!
 
Ujumbe mzuri Sana na ndivyo ilivyopangwa toka kuumbwa kwa dunia, kuwa sauti ya mwanaume Ni sauti ya mamlaka, na ndy maana ni kichwa Cha familia

Sema tatizo utandawazi umeiharibu Sana dunia, watu walioletwa kwa lengo la kuipamba dunia (maua ya dunia) eti leo nao wanakuwa watawala,

Leo hii si ajabu kumwona mwanaume wa miraba minne akipiga magoti na kutokwa machozi eti analilia kusamehewa na mpenzi/ mke wake

My take, wanaume tujishughukishe, mwanaume fanya kazi ukiwa na pesa hata ukiongea taratibu watu wanatetemeka Ila ukiwa kapuku na pengine mkeo ndo unamtegemea,..... Sahau kabisa kuheshimika km baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…