Hakikisha kabla hujamuoa Ajue kuwa siku Akiku-cheat utamfukuza bila Mjadala

Mwanadamu sio kiumbe kamili pia ni kiumbe kinachobadilika badilika kulingana na nyakati, hali, au mazingira.So jiandae kwa chochote toka kwake, usiende jela kwa ajili ya mapenzi.
Kama wewe ulimpata hao wengine washindwe vipi kumpata.
Maneno mazito sana haya.
 
Mwanadamu sio kiumbe kamili pia ni kiumbe kinachobadilika badilika kulingana na nyakati, hali, au mazingira.So jiandae kwa chochote toka kwake, usiende jela kwa ajili ya mapenzi.
Kama wewe ulimpata hao wengine washindwe vipi kumpata.

🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Maoni
 
Huu uzi ni wa kuprint na kuuwekea Lamination kabisa kwaajili ya matumizi ya vizazi vijavyo
 
Hivi Huwa mnapata wapi mda wakuandika makala ndefu hivi
 
Single mother kishakuja kujilinganisha na kujishindanisha kisa una kimshahara cha unesi na wewe unataka uwe kama mwanaume. Mwanaume akisaliti ndio na wewe usaliti ?!
Unaruka ruka vya nini

Usingle mother na unesi umeingiaje?

Swali ni jepesi tu
Wewe itakuwaje?
Kwani nimesema na mi nasaliti?.
Mbona km umepagawa?
 
Unaruka ruka vya nini

Usingle mother na unesi umeingiaje?

Swali ni jepesi tu
Wewe itakuwaje?
Kwani nimesema na mi nasaliti?.
Mbona km umepagawa?
Kwasababu nyie viji career woman mnajilinganisha na wanaume na ndio maana mnaishia kuzalishwa na KUTUPWA KAMA CONDOM USED.

Tangu lini mwanaume akasaliti ?! Mwanaume aweza kuoa wake 1,000 kama Suleman na asihesabiwe hatia kwa sababu mwanaume sio mwanamke. Mwanamke akizini alihukumiwa mawe mpaka kufa kwa mujibu wa Torati.

We endelea kujilinganisha na wanaume na utaendelea kua jamvi la wageni na ndio yakufaa. Utajilinganisha na wanaume ila wewe ni mwanamke tu.
 
Mbona unapanic??
Vp career women wanakutisha😅
Mana naona ur triggered hehe

Anyways
Km wewe husaliti mbona huoi rasmi hao wengi??oa ujulikane we wa wanawake wengi
unaiba iba na kujificha ya nini
Unaenda kanisani kuapa na mmoja ya nini
Oa ujulikane jamii ikutambue wazii

Ikifika hp lazma mkwamee hehehe😅😅🤣🤣🤣
Kazi kujichepusha mnajifiiichaaa
Unachepuka ya nini si uoeee🤣🤣😅😅
OA rasmi uhudumie baba we si ndo kidume
Hata kumi oaa tukuonee
Oaaaa...
Km una huo ubavu wa kusimamisha hio miji leta ushahidi
Sio chovya chovya
Nyie si ndo wanaume bwn
Oaaaaa
 

Ooh kumbe sikukuhabarisha, nimeoa wanawake wawili natarajia kuoa mke watatu mapema mwakani na Inshallbh dini yaniruhusu. Vipi hapo nungaiyembe ?!

Wewe endelea kujilinganisha na wanaume hivyo hivyo dume jike si dume jike wenzako wanakumbatiwa wewe unabishana mitandaoni, jinsi gani uko mpweke pole mnajitakia na mtakoma unakua kopo la kutunza manii.
 
Ooh kumbe sikukuhabarisha, nimeoa wanawake wawili natarajia kuoa mke watatu mapema mwakani. Vipi hapo nungaiyembe ?!
Leta ushahidiiii..
Vinginevyo huna lolote...wala si chochote..

Na usiache hadi ufikishe kumi ukiwa mbioni kumfikia Sulemani ili tukujue we ndo dume la mbegu
 
Leta ushahidiiii..
Vinginevyo huna lolote...wala si chochote..

Na usiache hadi ufikishe kumi ukiwa mbioni kumfikia Sulemani ili tukujue we ndo dume la mbegu
Wewe endelea kujilinganisha na wanaume hivyo hivyo dume jike si dume jike wenzako wanakumbatiwa wanapendwa wewe na nanungaiyembe menzako uko unabishana mitandaoni, jinsi gani uko mpweke pole mnajitakia na mtakoma unakua kopo la kutunza manii tu hakuna wa kukuoa kwa mindset yako ya kijinga kujilinganisha na wanaume.
 
Hahahah umeombwa ushahidi unapanic🤣🤣🤣🤣
huna ushahidi kuwa hata umeoa
Hata mke mmoja tu

Una ushahidi gani mi ni nungayembe sijui mnaita🤣😅😅?.,
If that makes you sleep well at night,believe it

Ila ubavu huo wa kupangisha watu msururu hunaa
Km unao thibitisha hp heheheheh😅🤣🤣

Usipanic bro ni taratibuu tuu
Wapi nmejilinganisha na wanaume?
Nimekwambia leta ushahidi una hao wake 2🤣🤣unaruka ruka
We si kidume bwn
 
Thanks Sana Mkuuu hakika umenena vyema maneno yako yadumu zaid
 
Unaweka emoj za kujichekesha mwanzo mwisho, watu wenye tabia hii ni watu wapweke na hujifanya wenye furaha. Na nani kakwambia nimepanic, yani kahaba wa mtandaoni anifanye nipanic ebo !!

Sikiliza, osha hilo bakuli subiri mteja anaefuata kinga manii thats what you are good at, sio kujichekesha ati uonekana unafuraha, huna hata punje ya furaha wanawake wenye furaha hawakeshi mitandaoni wanajibizana labda ulidhani umepata mteja, hell no, back off situmii malay.a wa mitandaoni
 
Hahaha.,we jamaa bwn
Nacheka ulivyopanic na dhania ulizoweka kichwani..
Ama bado hujajijua umepanic hehehe
Mbona umejikita kwenye matusi na sio hoja iliyopo mezani?
Mara sijui malaya sijui bakuli yametoka wapi hayoo hahahah😅

Ni ishu ndogo tu
Prove kweli we una hao wake wawili hapa
Hata msg tu walizokuita mume wangu...
vinginevyo tunarudi to sqr1 km nlivyokueleza awali kuwa huna lolotebasi ama labda we basha, ama uko kwny mambo yenu ya rainbow yale hahah
Pambanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…