Tetesi: Hakuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki anayehudhuria ufunguzi wa ikulu ya Dodoma siku ya leo. Walimwandikia rais Samia kuhusu hilo

Tetesi: Hakuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki anayehudhuria ufunguzi wa ikulu ya Dodoma siku ya leo. Walimwandikia rais Samia kuhusu hilo

Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.

Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?

Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.
Tupo Roma na sio kama atukutaka kuhudhuria. acha Uchonganishi
 

Attachments

  • EF88947D-0D45-40F1-9AE3-9C82A23DB07D.jpeg
    EF88947D-0D45-40F1-9AE3-9C82A23DB07D.jpeg
    87.5 KB · Views: 2
  • 0EED685C-A4F7-4C9F-8F0B-59500F6850B1.jpeg
    0EED685C-A4F7-4C9F-8F0B-59500F6850B1.jpeg
    88.6 KB · Views: 2
  • 4D7850C5-FEB2-4E9A-A32A-1CA908EA7F29.jpeg
    4D7850C5-FEB2-4E9A-A32A-1CA908EA7F29.jpeg
    133.2 KB · Views: 2
  • 0F07D001-60E4-47D9-A8F8-D4D273BA2B16.jpeg
    0F07D001-60E4-47D9-A8F8-D4D273BA2B16.jpeg
    127.6 KB · Views: 3
  • B299DB72-FAC4-43FC-B927-FA211B35D51C.jpeg
    B299DB72-FAC4-43FC-B927-FA211B35D51C.jpeg
    102.1 KB · Views: 1
Je kanisa katoliki laweza kumpa mtu upadri ama uaskofu wa heshima.?! Kama ambavo wako madaktari wengi wa heshima./udaktari honoria.
Kama Pepo unaweza patikana kwa Heshima pia unaweza pata Upadre wa Heshima
 
Walioenda Vatican ni maaskofu wote wa majimbo pamoja na mapadre wasimamizi wa majimbo yasiyo na maaskofu. Hata hivyo, Kuna maaskofu wengi wastaafu kama Mwadhama Polcarp Cardinal Pengo, Wahasham Maaskofu Wastaf Josephat Lebulu(ARUSHA), Damian Kyaruzi( Sumbawanga) na Nobert Mtega(Songea).

Badala yake TEC imewakilishwa na Padre. Yote ni mema.
Kama kanisa , tunaishukuru serikali kwa mwaliko.
 

Attachments

  • 033E59DF-BC7D-4702-A9F7-FC5DB3C7A48B.jpeg
    033E59DF-BC7D-4702-A9F7-FC5DB3C7A48B.jpeg
    87.5 KB · Views: 2
  • 8231369F-AD77-42E7-AFDC-35DCA0D18E28.jpeg
    8231369F-AD77-42E7-AFDC-35DCA0D18E28.jpeg
    102.1 KB · Views: 2
  • 594F798F-CF7A-44C9-8BF5-985E5906EDD5.jpeg
    594F798F-CF7A-44C9-8BF5-985E5906EDD5.jpeg
    88.6 KB · Views: 2
  • E94D76F4-153C-406D-9DCE-FF2E03D88294.jpeg
    E94D76F4-153C-406D-9DCE-FF2E03D88294.jpeg
    127.6 KB · Views: 1
  • 01197EBE-8C82-406D-BBAA-830BB223A5A6.jpeg
    01197EBE-8C82-406D-BBAA-830BB223A5A6.jpeg
    133.2 KB · Views: 2
Kama Pepo unaweza patikana kwa Heshima pia unaweza pata Upadre wa Heshima

Waefeso 2:8-9. Imani anayo tayari, Neema ya upadri/uaskofu ni muendelezo tu. By the way hii ziara inaweza ndio utaratibu wao uliozoeleka wa heshima kwa mamlaka za wanadamu, kutoa udhuru ama ni kwasababu wameongozana na mstaafu muhimu kuondoa kushukiwa kusiko kwa lazima.
 
Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.

Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?

Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.
Tumeluwa watu wa kujadili vitu vidogo vidogo sana! Ukifuatilia vitu vidogo vidogo kila jambo utaliona na kasoro!
Itoshe tu kusema viongozi wa dini walikuwepo
 
Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.

Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?

Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.
Walimuandikia barua kuwa hawataweza kuhudhuria kwa kuwa walikua na safari ya kiroho Vatcan na Mama alikubali na kuwashukuru.
 
Waefeso 2:8-9. Imani anayo tayari, Neema ya upadri/uaskofu ni muendelezo tu. By the way hii ziara inaweza ndio utaratibu wao uliozoeleka wa heshima kwa mamlaka za wanadamu, kutoa udhuru ama ni kwasababu wameongozana na mstaafu muhimu kuondoa kushukiwa kusiko kwa lazima.
Kanisa Katolic na Mitume sio Kanisa lilioanza jana na sio Kanisa ambalo alijui au alifanyi kazi na Wanasiasa⌛️Toka kusajiliwa kwake Tanzania (Tanzania Makanisa yanasajiliwa kama NGO pale wizara ya mambo ya ndani)alijawai kuwa kinyume na Serikali na aitotokea hilo.Kanisa Katoliki Alifanyi maamuzi kutokana na Binadamu yeyote! Hili la kuto kuwepo Dodoma limetokea kwa sababu ya ratiba kuhingiliana na sio Vinginevyo! So tupunguze uzushi
 
Una chuki na ukatoliki mpaka unashindwa kujificha pole sana kwa maumivu ya moyo.
We jibu hoja hizo, mimi mwenyewe huwa nasumbuliwa sana Kupeleka hayo mabahasha ya tengeneza jimbo, ukikataa mtaa mzima wanakuchukia na kukusema vibaya, basi inabidi utoe tu.., halafu wanaenda kuzichezea, inabidi tuseme
 
We jibu hoja hizo, mimi mwenyewe huwa nasumbuliwa sana Kupeleka hayo mabahasha ya tengeneza jimbo, ukikataa mtaa mzima wanakuchukia na kukusema vibaya, basi inabidi utoe tu.., halafu wanaenda kuzichezea, inabidi tuseme
Pole kwa maumivu
 
Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.

Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?

Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.
Maaskofu hawapendi Upuuzi na Unafiki.
 
Kanisa Katolic na Mitume sio Kanisa lilioanza jana na sio Kanisa ambalo alijui au alifanyi kazi na Wanasiasa⌛️Toka kusajiliwa kwake Tanzania (Tanzania Makanisa yanasajiliwa kama NGO pale wizara ya mambo ya ndani)alijawai kuwa kinyume na Serikali na aitotokea hilo.Kanisa Katoliki Alifanyi maamuzi kutokana na Binadamu yeyote! Hili la kuto kuwepo Dodoma limetokea kwa sababu ya ratiba kuhingiliana na sio Vinginevyo! So tupunguze uzushi
Alifanyi... alijawai... kuhingiliana... Duh! Kweli wewe ni chipukizi. 😆😆
 
Majimbo yote yapo chini ya Maaskofu wastaafu na wasimamizi wa kitume, Maaskofu wapo Roma
Sio kweli. Msimamizi wa Jimbo la Tanga Pd. Thomas Kiangio yupo Roma kwa Ad Limina Visit. Kwa sheria za kanisa katoliki, askofu mstaafu hawezi kuongoza jimbo wakati wowote, hata kama askofu hayupo, anayefuata ni vicar general!
 
Nyie mnawataka maaskofu wakafanye Nini kwenye uzinduzi wa jengo? Ni maaskofu watatu waliwahi kuhudhilia uzinduzi wowote ule tokea mchezo huu ulipoasisiwa na JPM wa kuombea ombea vitu.Vita vibarikiwa tu kazi hiyo hufanywa na Padre bila kujalisha ni Askofu au sio askofu
 
Ndio hawakuwepo Tatizo ni nini sasa?

Hayo ni Mambo ya serikali,mapadri,maaskofu waende makanisani mwao huko wakatubishe watu
 
Back
Top Bottom