Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila kuna Beef kati ya Ali na Sallam

Umeelewa tofauti ukweli ni kuwa Diamond anamtumia Sallam kwenye ugomvi wake na Ali...ila amevumilia akashindwa sasa hivi anampiga vijembe kwenye nyimbo zake kabisa...Wao waki-post tembo sisi tuna-post show
Angalia ulivyo mnafiki na ndio maana Waswahili wanasema Mnafiki Hajifichi... na wengine wakaendlea; Mungu Hamfichi Mnafiki! Hapo juu umedai hakuna bifu kati ya Diamond na Kiba; hapa tena unageuka na kudai Diamond anamtumia Sallam kwenye ugomvi wake na Kiba! Unaona unafiki ulivyo mbaya?
 
Mwenzake Wema kaamua kunyoosha mikono juu yaishe sasa naona yeye Alli bado ana ile aibu flani hivi!!

Alli achana mashabiki maandazi wanaokuvalisha vyeo usivyovikaribia kabisa, wasanii wenzako wenye akili karibia woote sasa wamekubali kuwa upepo uko WCB na wanatoa ushirikiano!!

Ubishi wako ndio unaokudhalilisha mwenyewe mpaka kuropoka maneno yaliyokuvua nguo kabisa!

Kurudisha silaha nyuma haimaanishi ndio utaonekana umeshindwa vita, sam taim huwa ni kujipanga tu, JIANGALIE ALLI!!
 
Huyu jamaa kweli hamnazo kwa taarifa yako diamond walijuana na Neyo kupitia MTV MAMA Awards mwaka jana , baada ya mtv base kuuliza Neyo na diamond wakitumbuiza pamoja performance itakuwaje? Wabongo kibao wakaenda kwenye a/c ya Neyo ya instagram wakaanza kucomment zikawa comments kibao hadi mwenyewe Neyo akashangaa
Neyo alipofika South africa akawa anamtafuta diamond amjue vizuri ndo wakawa washkaji , kawa kawaida diamond mzee wa fursa akaitumia kuomba collabo na Neyo akamwambia nitarudi tena Africa kwenye coke studio tutafanya iyo kazi, Neyo alipofika nairobi diamond na uongozi wake wakamfuata Neyo wakafanya kazi na Neyo.
Sasa mashabiki wa Alikiba mkaa uko vijiweni mnadanganyana Sallam alienda kumzuia Neyo asifanye kazi na kiba wakati kiba mwenyewe anajua ukweli
Huyu nae kaja na porojo zake hapa
Hivi unadhani Neyo angekuwa amekubaliana kufanya kazi na alikiba nje ya coke studio kuna mtu angemzuia?
Watu wengine akili sijui mnazitumiaje
 
Unajua nia ya kiba na mashabiki zake ilikuwa kiba ndo apande kabla ya chris brown ili ionekane kuwa yy ndo mkali zaidi so mambo yakaenda ndivo sivyo ndo hasira ilipoanzia kutafuta mfitini
 
Mimi nimetafuta hoja zangu nimeleta na wewe nenda tafuta hoja zako ulete...sio uniambie niende kutafuta mwenyewe mkuu hatugombani hapa
Hakuna hoja uliyotafuta manake ungetafuta, ungeambatanisha na reference/evidence ya madai yako kama hivi! Kwa mfano, the way ulivyoandika, unataka kuonesha kwamba collabo ya Ne-Yo na Diamond ilianzia Nairobi na ilikuja baada ya fitina za Sallam wakati endapo "ungetafuta" ungekuja na evidence kwamba:



Unaona tofauti kati ya "kutafuta" na "maelezo ya kutoa kichwani?" UNgetafuta, ungefahamu Ne-Yo na Diamond walianza ku-interact tangu South Africa... hiyo ilikuwa ni kabla ya Coke Studio!

 
Siku hili bifu likiisha inabidi huyu Alikiba akatafute shamba kigoma alime..Kama Madam mwenyewe amesalenda itakuwa wewe?..Ona sasa si fedheha hii...Alidhani atawaharibia WCB ila moto umemrudia yeye..
 
Kuna gazeti la leo limeuliza salam ni mtanzania? Achunguzwe kama wazazi wake ni wahamiaji afukuzwe ni mtu hatari na anafanana kijinsia na walee wa Syria
 
Kuna gazeti la leo limeuliza salam ni mtanzania? Achunguzwe kama wazazi wake ni wahamiaji afukuzwe ni mtu hatari na anafanana kijinsia na walee wa Syria
Ule utafiti watanzania wengi ni vichaa hawajakoea kabisa
 
We Mzaramo where do u get ol this time. If ur in his pay roll then ts ok.
 
Ali Kiba hana tofauti na kocha wa Arsenal kazi yake ni kuwaumiza mashabiki wake na watu wamesha mshtukia

Ali kiba ni kubwa jinga kwanzia leo nimeamua kuacha kumshabikia na album yake nazipiga moto mchana huu!
 
ila kama mimi ningekuwa ali ningefanya kama alivyomfanyia ben pol, just saying inshaallah tu ingetosha wala hakukuwa na haja ya kujibizana na mtu
 
Mimi nilikua mshabiki mkubwa wa kiba hapo mwanzo, na nakiri nilikua simkubali Diamond kabisa, lkn ujio wa mara ya pili wa kiba baada ya kupotea kwa muda mrefu ulionyesha dhahiri amekuja kumkabili Diamond, maana alikua akipushiwa zaidi na watu wasiomkubali diamond, baada ya hapo matukio mengi yaliyotokea baada ya hapo likiwemo la mond kuzomewa Fiesta yalidhihirisha ujio wa pili wa kiba ulikua wa shari dhidi ya mond, baada ya mashabiki kumwambia yeye ni mkali kuliko mond, na hapa mm ndipo nilipomkataa rasmi Kiba na kuhamia kwa mond, washabiki walijitahidi kumbeba kila walivyoweza, ila mond anazidi kuchanja mbuga tena kwa kasi mara mbili ya mwanzo, tulipofika sasa Kiba amepoteza mashabiki wake wengi sana, na waliobaki wamechoka kumbeba, huku lengo la kumshusha mond likiwa halijatimia. hiki ndio kinachozidi kumchanganya kiba, matokeo yake anaongea vitu vya ajabu ajabu, amepoteza muelekeo hajui njia ya kupita ili amkute mond, maana yuko mbali sana, anachofanya ni kutafuta njia ya mkato ili amfikie, na hii si nyingine ni kujaribu kumshusha kwa kumchafua mbele ya mashabiki wa muziki, naiona hata hii njia ya mkato ikishindikana. Ally rudi nyuma tengeneza njia yako ili uende utakavyo, diamond kwa sasa muache tuu
 
hivyo ndivyo mnavyojidanganya ndio maana hata Sallam interview nzima anang'ang'ania kusema kama Ali ana shida ya kusaidiwa amwambie amsaidie eboooooo kwani yeye Sallam ni nani kwenye Bongo flava?!

Wanajiona kama wao ndio wenye Hati miliki na bongo flava...hawajui kuwa ilipokuwepo toka Fella akiwa anapiga watu washawasha mitaa ya Woodstock,Cape Town.

Enzi hizo Babu Tale akijaribu kuimba na kina Madee zama hizo Sallam ni Meneja Moro United...Bongo flaba ulikuwepo na Ali Kiba alikuwepo wasiojone wao ndio GoodFather wa hii kitu.
 
Punguza Jazba mkuu tense taratibu....Neyo alikubali kufanya kazi na Ali na alikuwa fresh kufanya kazi na Diamond pia....ila Sallam alivuruga yote hayo baada ya kufika Nairobi na kuona Neyo akishangaa uwezo wa ajabu wa Ali kama alivyoshangaa R.Kelly mwaka ule
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwaiyo sallam alimziba Neyo mdomo asiingie studio na kiba
 
Mashabiki wa Ally kiba = Mashabiki wa Reprofeseli wa buguruni. Wanamahaba mpaka ubongoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…