Hakuna cha introvert wala nini, ni watu wenye jeuri na kiburi wenye kuona sauti zao zina thamani sana

Hakuna cha introvert wala nini, ni watu wenye jeuri na kiburi wenye kuona sauti zao zina thamani sana

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Haiingii akilini unakaa na mtu anajifanya haongei, akijibu swali maneno machache kanyamaza, unaongea na mtu mambo ya msingi haongei, hii ni jeuri na kiburi hakuna kitu kingine, msijifiche kwenye muamvuli wa sijui introvert na nini nini, muache kiburi.
 
Mzee ni kweli amini hivyo tena kuna wengine wanaichukia hiyo hali lakini wanashindwa kubadilika ni sawa na wewe uwe mcheshi then ujibadilishe uwe mkimya haiwezekani huwezi ukambadilisha mpoki awe mpole.
 
Haiingii akilini unakaa na mtu anajifanya haongei, akijibu swali maneno machache kanyamaza, unaongea na mtu mambo ya msingi haongei, hii ni jeuri na kiburi hakuna kitu kingine, msijifiche kwenye muamvuli wa sijui introvert na nini nini, muache kiburi
Tupo wazee wa indoors. Hahaha hapa nimejifungia peke angu nasikiliza hotuba ya Raisi wa Nchi.

Hatuna kiburi, sema tyu tunashindwa kuchangamana sana na hii dunia ya ma extroverts na watu wajuaji.



Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Ni tabia zao, wengine huwazoea lakini wengine wanaona wanazingua.
Lakini hizo ndizo tabia zao japo baadhi huiga hizo tabia kwa sababu zao binafsi zikiwemo za kijinga.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wat Kama Hawa ndo huwa siwezi hata kuongea nao

Yaan mtu unakuta anaongea na mtu yko mita 40 hkoo anapwayuka hatar hua nawakwepa Sana ,

Au Kila mda anapiga simu huwa sipokei kabsa bora nmtext,

Au ujuaji mwingi huwa nawasikiliza tu ,
 
Introverts tuache. Tuone tu tunabwabwaja humu mitandaoni lakini laivu ni shida. Na ukijaribu kutulazimisha kuongea au kuchangamana na watu utatusababishia msongo wa mawazo tu na matatizo mengine.
Watuache kabisa

Screenshot_20210421-095404_1.jpg
 
'Introvertism' ni trend iliyoibuka hivi karibuni, millenials wengi wanadai wao ni introverts kama sifa au fashion if you will.

Hii ni trend tu kama ilivyokuwa trend ya kila mtu kuhusishwa na freemason, unga nk. However, trend ya kujinasibisha na Introvertism inakufanya uonekane somewhat cool.

Wengi wao sio introverts wala nini na wengine ni kiburi tu kama mleta uzi alivyodai.




 
Hahaa wengine ni viburi kweli, ila mkuu kuna watu hawana karama ya kuongea sana hasa mbele za watu, ndio introverts hao aka antsocial yaan wenyewe wanaenjoy kampan zao hawapendi kuchangamana na watu
Una hoja ya msingi lakini hujaifafanua vizuri.

Akiweza kufuatilia Musa alikuwa kundi lipi...nitamletea mada hapa ya haya mambo.

Musa....?

Yoshua...?

Kuna mmoja wapo intro.
 
Back
Top Bottom