Hakuna cha introvert wala nini, ni watu wenye jeuri na kiburi wenye kuona sauti zao zina thamani sana

Hakuna cha introvert wala nini, ni watu wenye jeuri na kiburi wenye kuona sauti zao zina thamani sana

Mimi nafikiri hapa duniani kuna mambo ya muhimu sana ya kufanya zaidi ya kuangalia nani anachangamana na watu na nani hachangamani na ni kwasababu gani anachangamana au hachangamani.

Wewe kama unataka kuchangamana changamana, ukiona mtu hataki kuchangamana na wewe achana nae endelea na maisha yako! Vinginevyo wewe ndio utakua una matatizo kama unalazimisha kila mtu awe kama wewe.
 
Haiingii akilini unakaa na mtu anajifanya haongei, akijibu swali maneno machache kanyamaza, unaongea na mtu mambo ya msingi haongei, hii ni jeuri na kiburi hakuna kitu kingine, msijifiche kwenye muamvuli wa sijui introvert na nini nini, muache kiburi
Mleta mada inaonekana sura yako imekaa kiwizi wizi mpka mtu anaogopa kuongea na ww
 
Hawa watu wachukie pale tu wanapotoroka kuchangamana katika mazingira lazimishi mfano misiba, mikutano ya mtaa/vijiji, shughuli za maendeleo n.k. Usiwafuatilie kama hawachangamani katika mazingira ambayo si lazima wao kuwapo mfano harusi, kwenye vibanda umiza au vilabuni.
MENGINE MNAWAONEA WIVU TU!
 
Kuongea sana mbele za watu sio karama.
Introverts sio sawa na antisocial.
Hahaa wengine ni viburi kweli, ila mkuu kuna watu hawana karama ya kuongea sana hasa mbele za watu, ndio introverts hao aka antsocial yaan wenyewe wanaenjoy kampan zao hawapendi kuchangamana na watu
 
Introversion ipo karne na karne labda hilo neno ndio jipya tu na pia hivi karibuni watu wamejifunza sana kuhusu introversion kiasi cha wengi wao kujikubali na kuwa comfortable tofauti na zamani ambapo iliaminika kwa wengi kuwa introvert ni tatizo na binadamu by nature ni extrovert.

Karibu moja ya tatu ya watu duniani ni introverts.
'Introvertism' ni trend iliyoibuka hivi karibuni, millenials wengi wanadai wao ni introverts kama sifa au fashion if you will.

Hii ni trend tu kama ilivyokuwa trend ya kila mtu kuhusishwa na freemason, unga nk. However, trend ya kujinasibisha na Introvertism inakufanya uonekane somewhat cool.

Wengi wao sio introverts wala nini na wengine ni kiburi tu kama mleta uzi alivyodai.




 
Watu wengi hawana mambo muhimu ya kufanya na pia wana uwezo mdogo sana wa akili.
Mimi nafikiri hapa duniani kuna mambo ya muhimu sana ya kufanya zaidi ya kuangalia nani anachangamana na watu na nani hachangamani na ni kwasababu gani anachangamana au hachangamani. Wewe kama unataka kuchangamana changamana, ukiona mtu hataki kuchangamana na wewe achana nae endelea na maisha yako! Vinginevyo wewe ndio utakua una matatizo kama unalazimisha kila mtu awe kama wewe.
 
Haiingii akilini unakaa na mtu anajifanya haongei, akijibu swali maneno machache kanyamaza, unaongea na mtu mambo ya msingi haongei, hii ni jeuri na kiburi hakuna kitu kingine, msijifiche kwenye muamvuli wa sijui introvert na nini nini, muache kiburi
Akili ndogo,hutaki hata kuumiza kichwa kidogo,umeishia kutoa conclusion kuwa ni ukiburi...
 
Mazoea na watu sio mazuri

Mimi nafikiri kuna watu hua hawajiamini so mda wote wanatafuta approval ya society inayowazunguka. Sasa pale wanapokutana na wewe upo busy na mambo yako, ndio wanaanza kukuona unaringa, au sijui huchangamani.

Mfano mimi jana jioni nilikua nimekaa sehemu napata dinner huku nikifuatilia taarifa ya habari kwenye tv iliyokua kule mbele. Kama meza tatu kutoka nilipo kukawa kuna jamaa nae anaangalia hiyo hiyo habari.

Sasa jamaa kila habari inayosomwa yeye anaanza kuniongelesha mimi kuhusiana na hiyo habari tena kwa kupayuka. "Aisee.... sasa hii itakuaje..? We unaona hili linawezekana? Hawa jamaa wanafanya ujinga kabisa..." Mara... "Aloo huyu mama kwakweli mi nimemkubali sana kwa hii hotuba... unajua kwenye hili swala la kukutana na upinzani......" Kidogo.... "Hawa Yanga wasipoangalia mi nakuhakikishia haki ya Mungu hata hiyo nafasi ya tatu wanaikosa...!

Unajua hawa Yanga mechi walizobakiza......." "We unaona watachomoa pale..? Eeh? Hawachomoii.... tupinge!!"

Mimi kimyaa... nikawa naendelea kufuatilia habari kama simsikii vile.
 
Mimi nafikiri kuna watu hua hawajiamini so mda wote wanatafuta approval ya society inayowazunguka. Sasa pale wanapokutana na wewe upo busy na mambo yako, ndio wanaanza kukuona unaringa, au sijui huchangamani.

Mfano mimi jana jioni nilikua nimekaa sehemu napata dinner huku nikifuatilia taarifa ya habari kwenye tv iliyokua kule mbele. Kama meza tatu kutoka nilipo kukawa kuna jamaa nae anaangalia hiyo hiyo habari. Sasa jamaa kila habari inayosomwa yeye anaanza kuniongelesha mimi kuhusiana na hiyo habari tena kwa kupayuka. "Aisee.... sasa hii itakuaje..? We unaona hili linawezekana? Hawa jamaa wanafanya ujinga kabisa..." Mara... "Aloo huyu mama kwakweli mi nimemkubali sana kwa hii hotuba... unajua kwenye hili swala la kukutana na upinzani......" Kidogo.... "Hawa Yanga wasipoangalia mi nakuhakikishia haki ya Mungu hata hiyo nafasi ya tatu wanaikosa...! Unajua hawa Yanga mechi walizobakiza......." "We unaona watachomoa pale..? Eeh? Hawachomoii.... tupinge!!"

Mimi kimyaa... nikawa naendelea kufuatilia habari kama simsikii vile.
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]kuna watu wana viherehere
 
Back
Top Bottom