Hakuna cha introvert wala nini, ni watu wenye jeuri na kiburi wenye kuona sauti zao zina thamani sana


Dunia ya leo kila mtu anajidai ni introvert, extroverts hawapo kabisa.

Mara ya mwisho lini umesikia mtu anadai yeye ni extovert? Hawapo. Sasa it's more of a trend.
 
Dunia ya leo kila mtu ni hao introverts, extroverts hawapo kabisa.

Mara ya mwisho lini umesikia mtu anadai yeye ni extovert? Hawapo. Sasa it's more of a trend.
Kabisa mkuu yana wanajifanya kama special fulani hivi, watu introvert wa ukweli ata hawez kujisema, Sema mbaali na hayo huyu wangu mimi anajeuri
 
Kabisa mkuu yana wanajifanya kama special fulani hivi, watu introvert wa ukweli ata hawez kujisema, Sema mbaali na hayo huyu wangu mimi anajeuri

Mtumie na ya kutolea uone kama bado ataendelea kujifanya introvert.
 
Tatizo lawama ziko pande zote, hata mtu msemaji sana kama Kiranga naye anaweza kushambuliwa kwa kiburi kwamba ni narcissist mjuaji wa kila kitu, anataka kuongea kila mara.

Kumbe ni mtu anayependa kubadilishana mawazo na wengine sana, na ana ji expose sana kwa kuongea sana na hivyo si mtu mwenye kiburi na kujiona.

Ukiwa mkimya sana --> Unajiona sana, ndiyo maana unaona watu wengine kama takataka, hutaki kusema nao.

Ukiongea kwa kiasi --> Una mapozi sana. Kuna sehemu nyingine hushirikiani na watu, unachagua sana watu wa kushirikiana nao na sehemu ya kushirikiana nao.

Ukiongea sana --> Unajiona mjuaji sana kila sehemu unataka kuongea wewe.

Huwezi kukosa lawama.

Kwa hiyo wewe kuwa unavyotaka kuwa, usiogope lawama.

Kwa sababu utakavyofanya vyovyote utalaumiwa tu, bora ulaumiwe kwa kufanya unachotaka kufanya kuliko kutaka kuwaridhisha watu halafu ukalaumiwa vile vile tu.
 
Sema kwenye yanga hapo hajadanganya
 
Binafsi nainjoi sana kukaa ndani kwangu weekend au nikitoka kazini, pia nafurahi sana kuchati kwa simu na sio ana kwa ana yan kwa kuchat nachangamka sana ila uso kwa uso maneno hayanitoki kabisa.

Nafsi yangu haitulii napokuwa na watu wengi hasa ambao sijawazoea yani sina amani moyoni kabisa, siwez kuongea lolote mbele ya kundi la watu yan ukitaka kunifanya nizimie ni pale ukinitaja jina niseme kitu mbele za watu hata iwe ni kunisifia yan sipendi kusifiwa kitu mbele za watu.

Halii hii siipendi kwa kweli maana imefikia sehem naulizwa maswali ya ajabu kweli, nikisema nianze program za kuchangamka na kujichanganya na watu najikuta nafanya kwa siku mbili tu nakwama kuna muda najiskia nimechoka sana pale mtu anaponisemesha na mara nyingi kushindwa kujibu kabisa, lakini kwenye kuchat kwa simu sms bila kuongea niko vizur yan sichoki.

Hii hali siipendi na inaniharibia baadhi ya vitu.
 
Sawa tutaacha!!
 
Wanajikutaga Sana Hawa watuwatu
 
Raha ya utahira uwe mwehu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuvumiliane tuuuu Kama tunavyo wavumilia na makelele yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…