Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #41
Changamoto zipi hizo ?Kayumba kuna changamoto nyingi sana hasa za kimaadili, kama mzazi kipato kinaruhusu ni bora mtoto umpeleke huko kwenye mabasi ya njano
Twende taratibu, punguza mihemuko:-Uliposema huko Changamkeni kundi kubwa la watoto hupotea kimaadili ulikuwa umechanganyikiwa ?
Nimekuelewa sana kwa ujumbe wako mkuu.Kimsingi hapo kale kidogo hasa miaka ya mwishoni mwa 90 na 2000 kuendelea,jambo hili lilikuwa na maana sana,maana ajira na mifumo ya maisha ilikuwa rasmi kwa sehemu kubwa.
Kwa Sasa kupeleka mtoto shule hizo hakutafsiri mafanikio ama uhakika wa maisha kwa mtoto husika tena,maisha yamebadilika.haya maigizo ya msomi mwanafunzi anakodi boda boda wakiwa njiani qakipiga story na boda boda anashangaa kusikia boda nayeye kamaliza kozi kama yake tena kwa ufaulu wa juu na ni miaka kadhaa haelewi hatma yake[emoji24]
Kwa Hali ilivyo kwa Sasa kama una nafasi na hela ya uhakika ni afadhali uwekeze zaidi katika assets,halafu kwenye elimu iwe kawaida tu kumpa mtoto utayari na Dunia ya kileo.
Watoto wa uswazi ndo wanachokoana sana, yaani wakitoka shule badala ya kurudi home wao wanaenda vichakaniChangamoto zipi hizo ?
Je, zinazizidi zile za mtoto kuwa nyoronyoro au choko ?
Hahah unampeleka mtoto English medium akienda o level pia unampeleka private, advance private halafu anaenda chuo kimoja na coarse Moja na mtoto aliyesomea government akiisikia private tuKuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.
Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.
Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.
Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.
Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.
NakaziaKimsingi hapo kale kidogo hasa miaka ya mwishoni mwa 90 na 2000 kuendelea,jambo hili lilikuwa na maana sana,maana ajira na mifumo ya maisha ilikuwa rasmi kwa sehemu kubwa.
Kwa Sasa kupeleka mtoto shule hizo hakutafsiri mafanikio ama uhakika wa maisha kwa mtoto husika tena,maisha yamebadilika.haya maigizo ya msomi mwanafunzi anakodi boda boda wakiwa njiani qakipiga story na boda boda anashangaa kusikia boda nayeye kamaliza kozi kama yake tena kwa ufaulu wa juu na ni miaka kadhaa haelewi hatma yake[emoji24]
Kwa Hali ilivyo kwa Sasa kama una nafasi na hela ya uhakika ni afadhali uwekeze zaidi katika assets,halafu kwenye elimu iwe kawaida tu kumpa mtoto utayari na Dunia ya kileo.
Nifafanulie mkuuNi vema kueshimu mawazo ya mtu ata km hujui anamaanisha nn au kusudio lake ni nn
Lakin pia weka sababu tujue nn ttzo
Lakin pia kuna utofauti kati ya private school na english medium jifunze kutofautisha
Sio kla private school ni English medium
Kwani wanaolilia ajira ni walisoma changamkeni tu ? Huna akili jifunzeWe peleka wako kidumu na mfagio,amalize la7 hajui kusoma,kuandika Wala kuhesabu
Afu umnunulie boda aanze kujiajiri🤣
🤣🤣Wewe mwenye akili ungeleta uzi wa kulilia mwanao asome kayumba?Kwani wanaolilia ajira ni walisoma changamkeni tu ? Huna akili jifunze
Kimsingi hapo kale kidogo hasa miaka ya mwishoni mwa 90 na 2000 kuendelea,jambo hili lilikuwa na maana sana,maana ajira na mifumo ya maisha ilikuwa rasmi kwa sehemu kubwa.
Kwa Sasa kupeleka mtoto shule hizo hakutafsiri mafanikio ama uhakika wa maisha kwa mtoto husika tena,maisha yamebadilika.haya maigizo ya msomi mwanafunzi anakodi boda boda wakiwa njiani qakipiga story na boda boda anashangaa kusikia boda nayeye kamaliza kozi kama yake tena kwa ufaulu wa juu na ni miaka kadhaa haelewi hatma yake[emoji24]
Kwa Hali ilivyo kwa Sasa kama una nafasi na hela ya uhakika ni afadhali uwekeze zaidi katika assets,halafu kwenye elimu iwe kawaida tu kumpa mtoto utayari na Dunia ya kileo.
wewe dili na watoto wako, sisi tutadili na watoto wako. usiwasemee watoto wetu.Kuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.
Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.
Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.
Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.
Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.
🤣Cha kuombea majiKuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.
Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.
Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.
Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.
Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.
Najaribu kufikiria tu mtoto wangu wa miaka 7 namna atakavyoweza kwenda shuleni mwenyewe akivuka barabara na kupishana na bodaboda za hapa jijini. Nawaza jinsi wazazi tulivyo bize na mishe zetu na hakuna muda wa kuwapeleka shule. English medium na mabasi ya njano yanatusaidia sana sisj tulio busy na harakati
Sema huna hela... mwanamke ni mwamke ila kuna pisi kali piaKuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.
Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.
Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.
Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.
Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.