hahhahahahaTuliolala gesti tukitegemea asubuhi kulipa kwa tigopesa .......ishakua shida
Thamini Sana cash ndugu yangu hili liwe funzoTuliolala gesti tukitegemea asubuhi kulipa kwa tigopesa .......ishakua shida
Labda kama wanatafuta mimba za ghafla bila kujali jinsia zaoTetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO.
Hovyo kama mwendazakeHovyo kabisa.
πππ dahTetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO. Kulikuwa hakuna Backup. π
Bora ifute hizo data wote tuish Kama mashetani ..Tetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO. Kulikuwa hakuna Backu
Acha hizo mkuu wengine tuna hela ndefu kwenye simu!Tetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO. Kulikuwa hakuna Backup. π
Naomba mkuu walau 50π€πAcha hizo mkuu wengine tuna hela ndefu kwenye simu!
Hazitoki, hata balance haisomi.Naomba mkuu walau 50π€π
Dah..mie mnyonge! Ikikaa sawa ntazidi kukuchekiπHazitoki, hata balance haisomi.
Mtanikumbuka....na bado!Hovyo kama mwendazake