HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mafuta bei inatokana na soko la duniaWese lishagonga 2100/- baada ya muda mrefu ndio limetoboa above 2000/- sasa subirini $ itagonga 3000/- kabla ya mwaka kuisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta bei inatokana na soko la duniaWese lishagonga 2100/- baada ya muda mrefu ndio limetoboa above 2000/- sasa subirini $ itagonga 3000/- kabla ya mwaka kuisha.
Tigo HQ wako na Digits tuu Kwenye macomputer yao, Fedha ziko mitaani kwa mawakala waoIsije ikawa kuna mtu kashakwapua mpunga Tigopesa na kuizingua system. Sio kawaida kwa system ya pesa kuwa down more than 24 Hrs lazima kuna msala mzito
Utabaki na njaa zako sisi lazima mpunga wetu urudi..Bora ifute hizo data wote tuish Kama mashetani ..
Mimi nilikua na shilingi 14 tu ..
Sasa hata akikumbukwa vp bado haiwezi fufua uzima wake na kuja kuongoza tena labda mbinguni kama kuna vyama vya siasa utampigia kura akuongoze tenaMkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust Me
brother
Huyo bahati ni demu au tuingie mzigoniUmetuma TSh 100,000 kwenda kwa 255717575877 - BAHATI MOHAMED. Ada TSh 1,000. VAT TSh 153. Kumbukumbu no.: 23011904602. 05/04/21 19:04. Salio lako jipya ni TSh 80. Asante kwa kutumia TigoPesa.
Bora mimi nna 80[emoji1787]
Bibi....usijaribu...lolHuyo bahati ni demu au tuingie mzigoni
Na wateja je? Umezingatia hasara yao?Hii hasara waliyopata kwa system yao kuwa down itakuwa fundisho kwao.
Hii hasara waliyopata kwa system yao kuwa down itakuwa fundisho kwao.
Na wewe ukaamini kuwa kumbukumbu za accounts za wateja wote zipo kwenye hiyo 'kompyuta'?Tetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO. Kulikuwa hakuna Backup. 😎
Tetesi nyingine kuwa computer imefuta kumbukumbu zote za account za tigo pesa za wateja, zote zinasoma ZERO. Kulikuwa hakuna Backup. 😎
Mkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust Me
brother
Wacha bwana...ehe..umemmis nn mkuuMwenyewe nimeanza kumiss magufuli
Haahahaaaaa..... Sipati picha aiseeeLabda kama wanatafuta mimba za ghafla bila kujali jinsia zao
Haha haha acha uwogaBibi....usijaribu...lol
Maoni yako ni kama wale wanyonge wanaozungumziwaga na Jiwe [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Bora ifute hizo data wote tuish Kama mashetani ..
Mimi nilikua na shilingi 14 tu ..
Wewe ni DC wetu mrembo au?Mwenyewe nimeanza kumiss magufuli