John locke
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 836
- 1,288
System kuwa down imekula kwa wateja na kwao pia!Na wateja je? Umezingatia hasara yao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
System kuwa down imekula kwa wateja na kwao pia!Na wateja je? Umezingatia hasara yao?
Bado hujapokea ujumbe wa kuombwa radhi?Na hasara tuliyo pata wananchi inakuaje?
Hizo hizo digits zinawekwa kwa wateja/mawakala then wanaenda kutoa cash. Mzee uko dunia gani?Tigo HQ wako na Digits tuu Kwenye macomputer yao, Fedha ziko mitaani kwa mawakala wao
Duh Kam namba ni ya kweli, aisee ushajulikana. Maana akipatikana huyo then ushapatikana inabidi uwe mpole kweli humu.Umetuma TSh 100,000 kwenda kwa 255717575877 - BAHATI MOHAMED. Ada TSh 1,000. VAT TSh 153. Kumbukumbu no.: 23011904602. 05/04/21 19:04. Salio lako jipya ni TSh 80. Asante kwa kutumia TigoPesa.
Bora mimi nna 80🤣
Jamani mzigo bado? Nina hela nataka kununua umeme siwezi, nataka nitoe ya mafuta siwezi Hawa mbwa aiseeBado hujapokea ujumbe wa kuombwa radhi?View attachment 1746182
Nimeangalia balance now iko poa.Jamani mzigo bado? Nina hela nataka kununua umeme siwezi, nataka nitoe ya mafuta siwezi Hawa mbwa aisee
Mie nilikua namuonesha salio...ah mteja wangu huyu..kwan nimefanyaje mkuu had tuanze kutishana namna hiyoDuh Kam namba ni ya kweli, aisee ushajulikana. Maana akipatikana huyo then ushapatikana inabidi uwe mpole kweli humu.
Server imeamua kuanza upya default setting kumsapoti SSH.Na wewe ukaamini kuwa kumbukumbu za accounts za wateja wote zipo kwenye hiyo 'kompyuta'?
point [emoji362]Isije ikawa kuna mtu kashakwapua mpunga Tigopesa na kuizingua system. Sio kawaida kwa system ya pesa kuwa down more than 24 Hrs lazima kuna msala mzito