My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Mkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust MeMtanikumbuka....na bado!
brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust MeMtanikumbuka....na bado!
Wese lishagonga 2100/- baada ya muda mrefu ndio limetoboa above 2000/- sasa subirini $ itagonga 3000/- kabla ya mwaka kuisha.Mkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust Me
brother
Mie sitamkumbuka best..thou alinifanya nikaacha kufanya mishe kwa mazoea...nikawa na discpline...Mama anatutoa kanaan...kuna nafasi nyingu sana za upendeleo wizara fulani...uwiiii....uwiiii...tusife tuMtanikumbuka....na bado!
We rrondo acha kujitoa ufaham..likishuka uje tena utoe ushuhuda hapa..mafuta sio Hayat ameyapandisha ww ni soko la dunia hilo..ptuWese lishagonga 2100/- baada ya muda mrefu ndio limetoboa above 2000/- sasa subirini $ itagonga 3000/- kabla ya mwaka kuisha.
Umetuma TSh 100,000 kwenda kwa 255717575877 - BAHATI MOHAMED. Ada TSh 1,000. VAT TSh 153. Kumbukumbu no.: 23011904602. 05/04/21 19:04. Salio lako jipya ni TSh 80. Asante kwa kutumia TigoPesa.Bora ifute hizo data wote tuish Kama mashetani ..
Mimi nilikua na shilingi 14 tu ..
Kwani nimesema kuna mtu kayapandisha? Nimesema tu yamefika 2100/-We rrondo acha kujitoa ufaham..likishuka uje tena utoe ushuhuda hapa..mafuta sio Hayat ameyapandisha ww ni soko la dunia hilo..ptu
Soma alichokuambia mwenzako na ww ulichojibuKwani nimesema kuna mtu kayapandisha? Nimesema tu yamefika 2100/-
Hongereni.Mie sitamkumbuka best..thou alinifanya nikaacha kufanya mishe kwa mazoea...nikawa na discpline...Mama anatutoa kanaan...kuna nafasi nyingu sana za upendeleo wizara fulani...uwiiii....uwiiii...tusife tu
Wewe tafsiri na elewa utakavyo, wese limegonga 2,100/-Soma alichokuambia mwenzako na ww ulichojibu
Kisa?Wewe tafsiri na elewa utakavyo, wese limegonga 2,100/-
Mtanzania halisiBora ifute hizo data wote tuish Kama mashetani ..
Mimi nilikua na shilingi 14 tu ..
Soma taarifa ya Ewura.Kisa?
Basi ukae ukielewa ni soko la dunia sionkisa mwendazakeSoma taarifa ya Ewura.
Wewe wasema.Basi ukae ukielewa ni soko la dunia sionkisa mwendazake
Nop...nilituma kwa ntu majuzi...sijaedit wala nn...unyonge unaninyemeleaI hope hiyo namba ni
fictitious work
Kwa maovu hasa kuligawa taifa kwa ukabila, ukanda, ubinafsi na kujipendelea ikiwemo kujilimbikizia maliMkuu HAKUNA Raisi atakae kuja kukumbukwa kama MAGUFULI. Trust Me
brother