Hakuna Kiingilio!! Kichekesho na utapeli wa mialiko ya mikutano ya injili

Hakuna Kiingilio!! Kichekesho na utapeli wa mialiko ya mikutano ya injili

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Utawasikia kwenye mialiko yao redioni, kwenye TV na vipeperushi watangaza mialiko uende kwenye makusanyiko yao wanasema hakuna kiingilio, kiingilio ni bure! Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa sadaka na madhara utakayopata kama hutoi! Unachotoa kinaingia kwenye mfuko wa mhubiri na mke/mume wake. Hivi taifa langu Tanzania nani amewaloga kuingia kwenye ujinga wa wa kuwaamini hawa matapeli? Tuwafundishe kiasi gani mpate kuelewa???
 
Utawasikia kwenye mialiko yao redioni, kwenye TV na vipeperushi watangaza mialiko uende kwenye makusanyiko yao wanasema hakuna kiingilio, kiingilio ni bure! Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa sadaka na madhara utakayopata kama hutoi! Unachotoa kinaingia kwenye mfuko wa mhubiri na mke/mume wake. Hivi taifa langu Tanzania nani amewaloga kuingia kwenye ujinga wa wa kuwaamini hawa matapeli? Tuwafundishe kiasi gani mpate kuelewa???
Biashara yao hufanywa kwa mtindo huo.
 
Utawasikia kwenye mialiko yao redioni, kwenye TV na vipeperushi watangaza mialiko uende kwenye makusanyiko yao wanasema hakuna kiingilio, kiingilio ni bure! Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa sadaka na madhara utakayopata kama hutoi! Unachotoa kinaingia kwenye mfuko wa mhubiri na mke/mume wake. Hivi taifa langu Tanzania nani amewaloga kuingia kwenye ujinga wa wa kuwaamini hawa matapeli? Tuwafundishe kiasi gani mpate kuelewa???
Mkuu ni business model hiyo tena nzuri.
Business model nzuri ni ile ya kuwafanya watu waamini bidhaa ni bure kutumia kumbe in reality wanalipia.
Kama facebook, youtube, google models
 
Gharama za uendeshaji wa mkutano huo kama watu hawatalipia kwa njia ya sadaka, nani atagharamia?
Gharama zao atagharamia Mungu,au wafanye kama wametoa sadaka tu,


Wao si wanawaombea waumini wao kwa Mungu ili wafanikiwe? kwanini hao wachungaji nao wasisubiri kufanikiwa kupitia Mungu huyo huyo badala ya kuwakamua waumini ambao wengi wao ni masikini?
 
Utawasikia kwenye mialiko yao redioni, kwenye TV na vipeperushi watangaza mialiko uende kwenye makusanyiko yao wanasema hakuna kiingilio, kiingilio ni bure! Ukifika huko unahubiriwa habari za kutoa sadaka na madhara utakayopata kama hutoi! Unachotoa kinaingia kwenye mfuko wa mhubiri na mke/mume wake. Hivi taifa langu Tanzania nani amewaloga kuingia kwenye ujinga wa wa kuwaamini hawa matapeli? Tuwafundishe kiasi gani mpate kuelewa???
Punguza wivu wanaotoa hizo pesa hawajaja kukuomba
 
Gharama za uendeshaji wa mkutano huo kama watu hawatalipia kwa njia ya sadaka, nani atagharamia?
Kama hawawezi kugharimia waache. Wana faida yao humo acha kuwatetea. Mtume Paulo alikuwa anatangaza dini kwa pesa alizopata kwa kukodisha mahema yake si kwa kutegemea sadaka. Pale watu walipompa support aliitumia kwa kazi. Hawa wa leo ni matapeli tu usiwatetee.
 
Kama hawawezi kugharimia waache. Wana faida yao humo acha kuwatetea. Mtume Paulo alikuwa anatangaza dini kwa pesa alizopata kwa kukodisha mahema yake si kwa kutegemea sadaka. Pale watu walipompa support aliitumia kwa kazi. Hawa wa leo ni matapeli tu usiwatetee.
wananchi wanalazimishwa kutoa hizo sadaka mkuu
 
Mkuu ni business model hiyo tena nzuri.
Business model nzuri ni ile ya kuwafanya watu waamini bidhaa ni bure kutumia kumbe in reality wanalipia.
Kama facebook, youtube, google models
Asante for your thoughts . Ila katika imani za dini jambo hilo haliruhusiwi. Imani siyo bidhaa ya kuuza!
 
Asante for your thoughts . Ila katika imani za dini jambo hilo haliruhusiwi. Imani siyo bidhaa ya kuuza!
Sasa hivi ni biashara ndiyo maana inahubiriwa kutoa sadaka. Yani si lutheran, si roman wala sijui agt kote wanahubiri sadaka tu na vitisho vya kutotoa sadaka kila siku.
Ni biashara kama biashara nyingine kwa sasa.
 
wananchi wanalazimishwa kutoa hizo sadaka mkuu
Wanatishwa na vifungu vya maandiko ya biblia ambavyo aghalabu they are translalated out of context or they have have nothing to do with our modern society. Mtu anajiita mkristo muulize akutajie hata vitabu kumi tu vilivyo kwenye Biblia hawezi. Anaenda huko makanisani anasomewa mistari halafu mhubiri anaikunjakunja ili akukamate utoe hela.
 
Back
Top Bottom