Mkuu, niliposikia kuwa nchi za kikomunisti hawataki kusikia neno dini nilikuwa nawaona wajinga sana. Lakini kinachoendelea Tanzania sasa hivi kimenifanya nibadili mawazo yangu. Halafu hayo mahubiri yenyewe: ajali nyingi za barabarani mwisho wa mwaka zinasababishwa na ''roho wachafu''. Bia kusahau hao wote wanaokusanyika kwenye hiyo mikesha wamekwenda pale ili shida zao zitatuliwe. i.e. kosefu wa ajira, magonjwa, kutopata wenza wa ndoa, uchumi mbaya..... Na CCM imeona ndiyo sehemu ya kuokota mijitu mijinga, inayodhani shida zao zainaletwa na mapepo.