Hakuna kitu cha maana Paul Makonda anafanya Arusha isipokuwa blaa blaa na vituko

Miaka yote ya maisha yako ya siasa, haujawahi kuona hata moja jema la Makonda

Leo uwe mpumbavu kuona jema la Makonda akiwa Arusha?

Siku ukiona jema la Makonda, mbingu na Aridhi zitabadilishana makaazi
 
Asante sana Mkuu. Lema kawekwa "mfukoni " kisiasa! Hatambi Tena na maneno ya 'laghai'!!!
 
Hayo ni mambo ya form four failures.
 
NABII ANAYETABIRIA WATU KUFA TU LEMMA HANA CHOCHOTE ANACHOWEZA KUWASAIDIA WANACHI NA KUWATUKANA BODABODA NA MAMA LISHE makonda ANACHJAPA KAZI
 
Hunaga hata za kuvukia barabara sawa na jina lako jingalao
 
Hana lolote zaidi ya blah blah.
 
Ila naona kama hili swala lake la kufanya festival mbalimbali arusha ni kama watu wa arusha wana enjoy, maana ni muda mrefu hawakuwahi kupata vitu adimu kama hivyo,,, so kwangu mimi naona ni sawa na anafanya kazi nzuri japo mimi sio mwana ccm, ila nina appreciate anachofanya
 
Acha wivu wewe mtoto wa kike,that guy is another level,Arusha panachangamka kwelikweli
 
We unatengeneza kipi cha maendeleo, tuanzie hapo kwanza.
 
Mwashambwa atakuja kukushambulia humu!
 
Wajinga wengi nchii hii wanamuona eti anafanya vitu vya maana
 
Sijui kwanini Huyo Makonda anawaumiza kichwa? Simumuache muendelee na maisha yenu, kutwa kujifanya hammtaki lakini hamchoki kumzungumzia, shindaneni wenyewe kwa wenyewe.
Mwashambwa na tlatlaah ndio wanazungumzia,sisi tunaponda uongo walandrover kutengeneza Arusha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…