Hakuna kitu cha maana Paul Makonda anafanya Arusha isipokuwa blaa blaa na vituko

Hakuna kitu cha maana Paul Makonda anafanya Arusha isipokuwa blaa blaa na vituko

Mmeshindwa kumchamfua akiwa Dar na Sasa yupo Arusha.

1-Zoezi la upimaji afya
2-Zoezi la Pikipiki
3-Zoezi la Nyama choma
4-Zoezi la landrover festival.
5-Zoezi la kero za wananchi.

Miaka yote hiyo Lema alikuwa wapi kutambua fursa kama hizo Arusha?Amebaki kujidai ni muhubiri feki.
Lema alikua mkuu wa mkoa lini?? Lema ana bajeti gani au afanye kwa hela ya mfukoni
 
Umesahau na hili la Mkuu wa Mkoa mwenye TUHUMA nzito za kuondoa HAKI YA KUISHI Wqtanzania wenzake...hii ni kwa mujibu wa Kiongozi Mwandamizi wa Chama Kikuuu cha Upinzani Tanzania na Dola kubwa kabisa duniani...

Mtoto pendwa haendi Mahakamani wala waliotoa hizo tuhuma NZITO hawapelekwi popote...Tanzania oyeeee
 
Tanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.

Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.

Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Huku aliletwa kwa kazi maalum,yupo kupiga picha na kenyonyo wakti mji ni mchafu,mitaro imziba na kujaa tope...barabara zimejaa mchanga hazifagiliwi yuko tu mji kavimbisha nyash tu
 
Ogopa watu wafuatao ndani ya CCM na mitandao ya kijamii.
1. RC Arusha
2. RC Dodoma
3. DC Hanang
4. Mkurugenzi Moshi manispaa.

Wanategemea mitandao ya kijamii,kumuonyesha Samia kuwa ni wachapa kazi lengo likiwa wapandishwe vyeo au wabakie kwenye vyeo walivyo navyo.

Ila hakuna kitu wanachokifanya ila ni mbwembwe tu, wananchi wanateseka.
Kwa Kiongozi hawezi kufanya kitu kizuri katika kuhudumia wananchi na kikaonekana kwa matokeo kwa wananchi bila kujitangaza kwenye MEDIA? Yaani Viongozi hadi wanajitangaza kwenye MABANGO kama bidhaa. Hii ni sawa kweli?
 
Tanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.

Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.

Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Mpaka sasa kashapata kampani kubwa sana na mtaji wa marafiki
 
Mmeshindwa kumchamfua akiwa Dar na Sasa yupo Arusha.

1-Zoezi la upimaji afya
2-Zoezi la Pikipiki
3-Zoezi la Nyama choma
4-Zoezi la landrover festival.
5-Zoezi la kero za wananchi.

Miaka yote hiyo Lema alikuwa wapi kutambua fursa kama hizo Arusha?Amebaki kujidai ni muhubiri feki.
Kazi ya Mbunge ni kuwakilisha Wananch Bungeni. Kuwasemea Mahitaji na Shida zao. Lema hajawahi kuwa Mteule WA Rais.
 
Back
Top Bottom