Lema alikua mkuu wa mkoa lini?? Lema ana bajeti gani au afanye kwa hela ya mfukoniMmeshindwa kumchamfua akiwa Dar na Sasa yupo Arusha.
1-Zoezi la upimaji afya
2-Zoezi la Pikipiki
3-Zoezi la Nyama choma
4-Zoezi la landrover festival.
5-Zoezi la kero za wananchi.
Miaka yote hiyo Lema alikuwa wapi kutambua fursa kama hizo Arusha?Amebaki kujidai ni muhubiri feki.
Huku aliletwa kwa kazi maalum,yupo kupiga picha na kenyonyo wakti mji ni mchafu,mitaro imziba na kujaa tope...barabara zimejaa mchanga hazifagiliwi yuko tu mji kavimbisha nyash tuTanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.
Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.
Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Nna nini?min -me njoo huku..... Half american nae sikuhizi ana m 🥱...🤣🤣
Naunga mkono hii hojaTanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.
Kwa kweliMimi mwenyewe hata sielewi 🤔
Huwezi amini ni mkuu wa mkoa huyo 😃Hilo la Land rover kutengenezwa Arusha,Aahh!
Huyu To yeye simuelewi elewi tangu janaMimi mwenyewe hata sielewi 🤔
Uninase mara ngapi ☺🤣🤣🤣 Taratibu taratibu mpaka nikunase🤒
🤣🤣🤣🤣🤭 tunamalizana lini? Au itakuwa mwendelezo?Uninase mara ngapi ☺
Au unataka uninase ukofi😂
Kwa Kiongozi hawezi kufanya kitu kizuri katika kuhudumia wananchi na kikaonekana kwa matokeo kwa wananchi bila kujitangaza kwenye MEDIA? Yaani Viongozi hadi wanajitangaza kwenye MABANGO kama bidhaa. Hii ni sawa kweli?Ogopa watu wafuatao ndani ya CCM na mitandao ya kijamii.
1. RC Arusha
2. RC Dodoma
3. DC Hanang
4. Mkurugenzi Moshi manispaa.
Wanategemea mitandao ya kijamii,kumuonyesha Samia kuwa ni wachapa kazi lengo likiwa wapandishwe vyeo au wabakie kwenye vyeo walivyo navyo.
Ila hakuna kitu wanachokifanya ila ni mbwembwe tu, wananchi wanateseka.
Mi nakusikiliza wewe🤣🤣🤣🤣🤭 tunamalizana lini? Au itakuwa mwendelezo?
Mpaka sasa kashapata kampani kubwa sana na mtaji wa marafikiTanzania ifike wakati sasa tutenganishe viongozi makini na wapiga debe wa vyama. Tunagharimika sana Tanzania kwa kuwapa watu nafasi za uongozi kwa sababu ya umaarufu wao wa kupiga debe.
Paul Makonda ni mmoja wa wale waliopewa uongozi kwa sababu tu ya blaa blaa zake lakini ki utendaji hana lolote isipokuwa kufanya vioja vitupu.
Ni jana tu bila aibu yoyote Paul Makonda mbele ya umati wa watu makini anathubutu kusema kuwa mji wa Arusha unatengeneza magari aina ya Landrover na kuyauza nchi za Ulaya! Hizi ni blaa blaa zilizopindukia.
Yani ni aaaaah!Hilo la Land rover kutengenezwa Arusha,Aahh!
Kazi ya Mbunge ni kuwakilisha Wananch Bungeni. Kuwasemea Mahitaji na Shida zao. Lema hajawahi kuwa Mteule WA Rais.Mmeshindwa kumchamfua akiwa Dar na Sasa yupo Arusha.
1-Zoezi la upimaji afya
2-Zoezi la Pikipiki
3-Zoezi la Nyama choma
4-Zoezi la landrover festival.
5-Zoezi la kero za wananchi.
Miaka yote hiyo Lema alikuwa wapi kutambua fursa kama hizo Arusha?Amebaki kujidai ni muhubiri feki.