Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Msi tutishe kuhusu maisha, mlicho tuzidi ni simu Kali za kupigia Picha.
👉Na madem zeju wajaza filter, ili wafanane na Dem wa jigga 😄🤣

Madogo tuna focus sio kitoto, na hatu bweteki hata tukiwa na Prado txl au kwa ngoko fresh tu
We jifanye kichwa ngumu dogo..komaa kwel kwel. Hivyo ulivyotaja ni vitu vy kawaida sanaa unaweza kuvipata hata bila ku focus..very minor stuffs not even worthy to be refferes as success
 
Hata usichanganyikiwe mkuu. Tatizo wengi wanahangaika kutafuta mafanikio kama kipaumbele wakisahau kwamba mafanikio ni just a product.. ni matokeo tu , results from just any serious process.
hayo hata ukiyajua ungali ulishajitarajisha makubwa unakuta hayasaidii kupunguza maumivu mana unakua km unajifariji (sizitaki mbichi hizi)
 
We jifanye kichwa ngumu dogo..komaa kwel kwel. Hivyo ulivyotaja ni vitu vy kawaida sanaa unaweza kuvipata hata bila ku focus..very minor stuffs not even worthy to be refferes as success
Sija week ka reference, nime tumia ka mfano kuwa hatu bweteki ka ma bro mlio daslam.
Kikubwa kwangu ni legacy ya Ninacho fanya,

Afu usi lie lie, hatu kukutuma umtogoze shemeji yetu😄🤣.
👉Uka jiona jembe, kila kisima uka chimba 🤣😄
 
Ahahahahah.. Dogo... mgoja 35 ikukute bado unaruka ruka
 
mm nina mvi hata 40 bado sijafika ila nipo proud na hili, wala siwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…