kumbe ndi maan balabala haziishi selikali inaagiza lami kumbe watu wanapaka kichwan na kidevwuni🤣🤣🤣🤣 Kapaka lami?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ndi maan balabala haziishi selikali inaagiza lami kumbe watu wanapaka kichwan na kidevwuni🤣🤣🤣🤣 Kapaka lami?
Nawe umewahi khaaaa!!! Ulikuwa kwenye balehe ujue 😂Kumbe sis tuliopata watoto tukiwa kidato cha tatu tumeshajipata[emoji16][emoji16][emoji16]
Washtakiwe kwa kuhujumu uchumi 🤣🤣🤣kumbe ndi maan balabala haziishi selikali inaagiza lami kumbe watu wanapaka kichwan na kidevwuni
Amina kubwa mtumishi.Mtu una 36 ila kibabu mkomao kinoma .Ntakufa na kikopo cha hair dye na kimswaki .Mungu awaonekanie 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣kuota mvi, kuwa upara baadae unashangaa nywele za kifuani nazo zinakuwa nyeupe aisee ni srtess juu ya stress
Hata kama umejipata vinashtua, utajikuta unapaka black kifuani 😆 😆 😆
Acha tu, sema kitu kizuri nafurah huyo dada alikuja kumalizia shule na sasa anakazi yake nzuri tu ,kizuri zaidi kapata bwana kamuoa kwa hyo sina lawama😊😊Nawe umewahi khaaaa!!! Ulikuwa kwenye balehe ujue 😂
Hivi wa 36 vibabu tyr?!! 😂😂😂Amina kubwa mtumishi.Mtu una 36 ila kibabu mkomao kinoma .Ntakufa na kikopo cha hair dye na kimswaki .
Ndio kazi zangu hizoo ,sitaki mamvi hapa nikirudi kimswaki kiko wapi .Ni kujisiliba tuu.Hivi wa 36 vibabu tyr?!! 😂😂😂
Kwahiyo ushaanza matumizi ya dye?!
Matumizi ya mtoto unahudumia au ndo umemuachia mume mwenzio?!!Acha tu, sema kitu kizuri nafurah huyo dada alikuja kumalizia shule na sasa anakazi yake nzuri tu ,kizuri zaidi kapata bwana kamuoa kwa hyo sina lawama😊😊
Hebu tupia picha tuone unavyojisiliba lami 🤣🤣🤣Ndio kazi zangu hizoo ,sitaki mamvi hapa nikirudi kimswaki kiko wapi .Ni kujisiliba tuu.
Badae nikifika homu.Hebu tupia picha tuone unavyojisiliba lami 🤣🤣🤣
nakuja😊Ahahah..kwakwel njoo.
Mimi nimechelewa kupata mtoto na nina umri mkubwa. Sioni cha ajabu, niko poa and to say im content is understatement, sijui nini hicho unasema tunapitia.Ni kweli na ndipo hapo wale waliopata familia mapema na watoto uzeeni hawajutii ukilinganisha na waliochelewa.
Tafuta Watu hapa Bongo waliochelewa Kupata watoto na Wana umri mkubwa watakuambia nini wanapitia.
Sijawahi kuwaponda single mother na wala sitakaa nifanye hivyo , mtoto yupo shule kidato cha pili likizo kwa bibi yake , toka binti akiwa mjamzito wazazi wangu walimtunza kwa kila kitu , kwa sababu na mm nilikua katoto😁 mpka akarudi shule.Matumizi ya mtoto unahudumia au ndo umemuachia mume mwenzio?!!
Halafu ukitokea uzi wa single maza ww mstari wa mbele kuponda.!! 😂😂😂
Hivi mkisema kujipata huwa mna maana gani?Wewe jiulize ni waafrika wangapi umewaona wamejipata wakiwa na miaka zaidi ya 45, lazima uongelee mambo halisi yaliyopo kwenye ground sio narrative
Ww muongo 🤣Badae nikifika homu.