Hakuna kitu kinaniuma Kama ndugu zangu wote kuzalia nyumbani

Yani Dada kuzalia nyumbani zaidi ya mmoja ukute na uwezo pia ni mdogoo nyiee Unaweza kuwa mwanaume ila Ukachukia sana wanaume wenzako lakini Msimamo wetu ni ule ule Kataa ndoa[emoji1787][emoji1787]
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
NDOA NI MKATABA WA KITAPELI
 
We Jamaa ni snitch Sana πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sema kimeumanaa
 
Kikubwa mwanamke lazma awe na special factors. Kama ni mrembo basi pia awe mpole na mtulivu sio chakaramu.
 
Katika hao wanaume waongo, na wewe umo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…