Sayansi ya SokaKama ni sayansi ni sayansi ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sayansi ya SokaKama ni sayansi ni sayansi ipi?
Sisi waafrika tuna Akili jau jauHuu ni upumbavu
Pep Hana mafanikio?Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.
Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..
Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA
Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na City yake kubeba UEFA hadi wakaomba msamaha.
Dunian undermine watu uwezavyo ila sio Waafrika,Waafrika hawajafunzwa Kujibizana kama Wazungu,Wao ukiwakosea hua wanasema, Sawa haina shida wanafunika chini..Ila mizimu ndio itakayofanya Kazi.
Acha ujinga kuna Yanga majini.Majini na mpira wapi na wapi. Ndo maana tunafeli kwenye soka.
Haata pale utopoloni yanaishi pia, nyumbani pia.Majini yanaishi baharini
Mizimu Unajua inapoishi?..kama hujui usifananishe Majini na Mizimu.
Kwani ni timu ya mpira ile au kundi la waganga?Acha ujinga kuna Yanga majini.
unapanic sana ukianzisha hoja usije na majibu yako kheri ukae nayo jinga kabisaMpumbavu umesoma upumbavu na ume Reply upumbavu
Pep hakuwahi Beba UEFA toka atoke Barca..na kama uliangalia Match ya fainali ya UEFA ile anabeba Week 2 hadi siku ya Fainali Man city walikua wanampost YAYA TOURE Kuliko kitu chochotePep Hana mafanikio?
Nionyeshe Muafrika yupi anaweza kujibizana na Mzungi hata Historia ipo wazi..Mababu zetu walitawaliwa wakakubali wakisema wanaiachia kazi mizimuKuna mahali umeandika Waafrika hawajafunzwa kkujibizana. Mwafrika yupi unaamzungumzia? Mkaburu?
Unajua Mtu aliepanic mi nimekujibu ulivyojibu ila unawaza nimepanic.unapanic sana ukianzisha hoja usije na majibu yako kheri ukae nayo jinga kabisa
Huoni Bwawa la Nyerere😂😂Hao mababu na mizimu wako wangekuletea maendeleo kwanza
Samatta hakudharauliwa Bali hakua na kiwango kwa mda huo na hadi saiv.Vipi samata alietemwa Aston Villa wameshuka daraja
Watu wamekufa wanapigani uhuru wakina Steven Biko, Mkwawa, wamefungwa jela kina Mandela wewe unasema waliachia mizimu?Nionyeshe Muafrika yupi anaweza kujibizana na Mzungi hata Historia ipo wazi..Mababu zetu walitawaliwa wakakubali wakisema wanaiachia kazi mizimu
Proganda and mass persuasionTuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.
Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..
Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA
Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na City yake kubeba UEFA hadi wakaomba msamaha.
Dunian undermine watu uwezavyo ila sio Waafrika,Waafrika hawajafunzwa Kujibizana kama Wazungu,Wao ukiwakosea hua wanasema, Sawa haina shida wanafunika chini..Ila mizimu ndio itakayofanya Kazi.