Hakuna Kocha Aliemdharau Mchezaji kutoka Afrika na mizimu ya Kiafrika ikamuacha salama, TUCHEL waulize Pep na Klopp

Hakuna Kocha Aliemdharau Mchezaji kutoka Afrika na mizimu ya Kiafrika ikamuacha salama, TUCHEL waulize Pep na Klopp

Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.

Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..

Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA

Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na City yake kubeba UEFA hadi wakaomba msamaha.

Dunian undermine watu uwezavyo ila sio Waafrika,Waafrika hawajafunzwa Kujibizana kama Wazungu,Wao ukiwakosea hua wanasema, Sawa haina shida wanafunika chini..Ila mizimu ndio itakayofanya Kazi.
Pep Hana mafanikio?
 
Kuna mahali umeandika Waafrika hawajafunzwa kkujibizana. Mwafrika yupi unaamzungumzia? Mkaburu?
 
Pep Hana mafanikio?
Pep hakuwahi Beba UEFA toka atoke Barca..na kama uliangalia Match ya fainali ya UEFA ile anabeba Week 2 hadi siku ya Fainali Man city walikua wanampost YAYA TOURE Kuliko kitu chochote
 
Kuna mahali umeandika Waafrika hawajafunzwa kkujibizana. Mwafrika yupi unaamzungumzia? Mkaburu?
Nionyeshe Muafrika yupi anaweza kujibizana na Mzungi hata Historia ipo wazi..Mababu zetu walitawaliwa wakakubali wakisema wanaiachia kazi mizimu
 
unapanic sana ukianzisha hoja usije na majibu yako kheri ukae nayo jinga kabisa
Unajua Mtu aliepanic mi nimekujibu ulivyojibu ila unawaza nimepanic.
Je wewe ulieanza kwa kusema upumbavu? Kwann sikusema umepanic..
Angalia wote walioreply kistaarabu nimewajibu kistaarabu...#Always hua najibu Shit kwa mtu Shit
 
Nionyeshe Muafrika yupi anaweza kujibizana na Mzungi hata Historia ipo wazi..Mababu zetu walitawaliwa wakakubali wakisema wanaiachia kazi mizimu
Watu wamekufa wanapigani uhuru wakina Steven Biko, Mkwawa, wamefungwa jela kina Mandela wewe unasema waliachia mizimu?
 
Kwamba City waliomba msamaha ndo maana wamechukua UEFA?!!!

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Tuchel anachopitia ni Adhabu kutoka kwa Mizimu ya Mababu wa Sadio Mane na Mizimu ya Kiafrika.

Huwez ukaamua ugomvi ule wa SANE na MANE kwa dharau Vile,..

Muulize Klopp alimdharau MANE hakufuzu UEFA yupo huko anapigania kombe na Team kama MACCABI HAIFA

Pep Alimdharau YAYA TOURE kahangaika na City yake kubeba UEFA hadi wakaomba msamaha.

Dunian undermine watu uwezavyo ila sio Waafrika,Waafrika hawajafunzwa Kujibizana kama Wazungu,Wao ukiwakosea hua wanasema, Sawa haina shida wanafunika chini..Ila mizimu ndio itakayofanya Kazi.
Proganda and mass persuasion
 
Back
Top Bottom