Hakuna Kocha Aliemdharau Mchezaji kutoka Afrika na mizimu ya Kiafrika ikamuacha salama, TUCHEL waulize Pep na Klopp

Bullshit ...
 
Vipi na wachezaji wa kiafrica wanaotemwa na timu za kiafrica kama yanga walivyomtema Fei Toto!
 
Kwamba City waliomba msamaha ndo maana wamechukua UEFA?!!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kasome vizur
 
Unapenda kuonewa huruma...sasa Mane si alisepa mwenyewe Liverpool...bayern akaonyesha nidhan mbovu
 
Unapenda kuonewa huruma...sasa Mane si alisepa mwenyewe Liverpool...bayern akaonyesha nidhan mbovu
Unadhani aliondoka kwa Kupenda?
We Mtu unapigana vile unalipwa 100 like serious unaomba uongezewe wanagoma wanasema bora usepe ila wakat huo kuna vi chalii full injuries ila kisa tu viingereza vina Ramba 100 kama wewe na zaidi.

Hizo sio dharau?
 
Unadhani aliondoka kwa Kupenda?
We Mtu unapigana vile unalipwa 100 like serious unaomba uongezewe wanagoma wanasema bora usepe ila wakat huo kuna vi chalii full injuries ila kisa tu viingereza vina Ramba 100 kama wewe na zaidi.

Hizo sio dharau?
Mambo hayo ni ya kawaida kwenye ajira...kuna mtu analetwa unamfundisha kazi alafu anakuja kulipwa zaid yako...
Yeye alijichanganya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…