Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Hakuna kosa wala dhambi kumkumbuka Magufuli, aliiweza nchi, kwa sasa kuwa na uhakika wa mambo ya kesho, haijulikani

Ni ujinga kulazimishwa eti tusikumbuke uzuri wa ilivyokuwa awamu ya Magufuli

Ni ujinga kuendelea kutiana moyo kwamba, eti tupo pazuri na tunaelekea pazuri zaidi

hivi, Magufuli alitumia miujiza gani kwenye suala la Umeme na mgao kutokuwepo?

Yeye alifanyeje kumeneji suala la mlipuko wa bei za vyakula mbali na kuwa kwenye janga la Korona dunia nzima?

Alitumia mbinu gani kufanya nishati ya mafuta isipande na nauli kuwa juu, licha kwamba kipindi cha Korona meli nyingi zilipaki?

Sukari nayo imeshindikana sasa kushuka licha ya kuwa na kiwanda cha Bagamoyo sugar na kikubwa kulikoni vyote East Africa, sukari kg 4000 mpaka 4500, kweli???

Tunatafutana nini hapo?

kila mtu anayetokea mikoa ya mbali atakubaliana nami kwamba, kwa sasa suala na safari kutoka mkoa hadi mkoa, ni kama adhabu ya ndogo ya jehanamu

Kutoka kuwa na nauli ya tsh 70,000 kwenda Bukoba hadi 100,000+

Kutoka nauli ya 300 jijini Dar hadi 900 na 1100??

Halafu kuna mpuuzi mmoja anaendelea kusema ni sawa?

Kutoka kuwa na matibabu ziro kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 0 hadi 5, leo ni pesa??

Kutoka kuwa na umeme 27,000 wa REA hadi kutojulikana kama kuna REA au hakuna, maana bei ni ileile 310,000, bado kuna mjinga anaona ni sawa?

Tusikumkumbuke Magufuli kwa sababu ya wajinga wachache aliowatimua kazini?

Kwa sababu tu aliwadhibiti waliokuwa wanajilipa mapesa kupitia watumishi hewa?

Hao ndio watufanye tusisemee mazuri hayo kwa sababu ya matusi yao mitandaoni?

Mnataka tuwasifu kwenye lipi sasa ikiwa kila kitu kimepanda bei?

Watu hawalazimishwi kusifia, wafanyie mambo mazuri wakusifu, kwa sasa tusifu nini na tumsifie nani na kwa lipi?

2025 nayo ile palee, kila kitu kimegoma kurudi mahali pake,, mtatuambia nini wapiga kura sisi?

Tisheti na kanga?

Na bahati mbaya hata makanisani na misikitini huwa mnakwenda kumzuga padri, Asikofu na shekhe ili hali mkijua njia yenu ni ovu kuliko waovu wote, mnasubiri muibe kura [emoji23] na mjitangaze mmeshinda kwa kishindo!!

Mnakula mema ya nchi mkiendelea kuwahadaa wananchi walala hoi kwamba mnawatengenezea maisha bora? Njia zenyewe ndio hizo za kupandisha gharama kwenye kila bidhaa??

Mungu ilinde Tanzania kwa mkono wako wa chuma!

Uwabariki viongozi wetu waçhache wanaomaanisha kuwatumikia wananchi

Tupo pamoja wasitupangie wa kumkumbuka
 
Kazi gani? Kwani kipi Cha uongo nimeandika?

Mwendazake alikuwa hapori watu pesa? Alikuwa hafungii accounts na kuchota pesa? Hajawahi tamka kwamba atabadili pesa ili walizotoa pesa banki ziwadodee?

Na upuuzi mwingi kama huo.

bado hujasema mavi ww
 
Magufuli alikuwa ni disaster;
1. Alitangaza vita vya vyeti fake huku akilinda baadhi ya watumishi wakuu na idara nyingine wasiguswe.

2. Alihubiri kuangamiza rushwa lakini akiwaruhusu traffic police kupewa pesa za hongo alioiita pesa ya kupiga brush viatu.

3. Alianzisha elimu bure matokeo yake darasa la kwanza wanafunzi kwenye chumba kimmoja walijaa zaidi ya 200.

Hata pale vilipopatikana au kujenga vyumba vya madarasa hakuajiri walimu wapya kuendana na wingi wa madarasa.

4. Aliomba mkopo/msaada wa Elimu wenye thamani ya 400 million dollars uliokuwa na sharti ya kuruhusu waliozaa kurudi shuleni kuendelea na masomo,lakini ulipokuwa tiyari akauruka kimanga.

5. Akiwa waziri wa miundo mbinu wakati wa Jk,aliufagilia mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,lakini alipoukwaa uraisi akaukana kabisa.

6. Alitumia pesa nyingi kujenga uzio wa kuzunguka eneo zima la madini ya Tanzanite huko Merelani ili kudhibiti utoroshaji wa madini hayo,kumbe wajanja wakachimba mahandaki kama ya wa Palestine ukanda wa Gaza,wakaendelea kutorosha madini hayo kwa njia za chini kwa chini.

7. Alihamia Dodoma kwa kuhamisha serikali yake na Taasisi mbali mbali tokea Dar kwa kile alichodai makao makuu ya nchi,lakini kwa nyakati mbali mbali akaifanya Chato kufanya shughuli mbali mbali za kitaifa hata kuliko Dodoma.

8. Hakupenda kukosolewa lakini yeye akiwakosoa waliomtangulia na viongozi wengine kwenye serikali yake.

9. Alikataa safari za kwenda nchi za nje za mbali akidai anapunguza matumizi kumbe alikuwa na kitufe Pacemaker chenye kurekebisha mapigo ya moyo ambacho kinaweza kuadhirika sana kwasababu ya mitambo ya electronic ya ndege.

10. Tuliambiwa tunadai ushuru wa makanikia sh 360 trillion tukaambuli sh 700 billion hata trillioni mmoja haijafika.

Kibaya zaidi Barrick waliitoa pesa hiyo kwa awamu wakisema ni msaada wa maendeleo wala si kodi ya makanikia hawadaiwi.

11. Alituhamasisha ataleta maendeleo kwa wananchi wote, kuwa hajali mwananchi anatokea chama gani lakini wakati mwingine akidai kuwabomolea nyumba ambao hawakumchagua.

12. Takwimu za viwanda alivyodai 8000 vimejengwa wakati wa utawala wake haikuwa sahihi.

usitulazimishie shida zako ziwe zetu!! alikua disaster kwako na familia yako
 
Ni ujinga kulazimishwa eti tusikumbuke uzuri wa ilivyokuwa awamu ya Magufuli

Ni ujinga kuendelea kutiana moyo kwamba, eti tupo pazuri na tunaelekea pazuri zaidi

hivi, Magufuli alitumia miujiza gani kwenye suala la Umeme na mgao kutokuwepo?

Yeye alifanyeje kumeneji suala la mlipuko wa bei za vyakula mbali na kuwa kwenye janga la Korona dunia nzima?

Alitumia mbinu gani kufanya nishati ya mafuta isipande na nauli kuwa juu, licha kwamba kipindi cha Korona meli nyingi zilipaki?

Sukari nayo imeshindikana sasa kushuka licha ya kuwa na kiwanda cha Bagamoyo sugar na kikubwa kulikoni vyote East Africa, sukari kg 4000 mpaka 4500, kweli???

Tunatafutana nini hapo?

kila mtu anayetokea mikoa ya mbali atakubaliana nami kwamba, kwa sasa suala na safari kutoka mkoa hadi mkoa, ni kama adhabu ya ndogo ya jehanamu

Kutoka kuwa na nauli ya tsh 70,000 kwenda Bukoba hadi 100,000+

Kutoka nauli ya 300 jijini Dar hadi 900 na 1100??

Halafu kuna mpuuzi mmoja anaendelea kusema ni sawa?

Kutoka kuwa na matibabu ziro kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 0 hadi 5, leo ni pesa??

Kutoka kuwa na umeme 27,000 wa REA hadi kutojulikana kama kuna REA au hakuna, maana bei ni ileile 310,000, bado kuna mjinga anaona ni sawa?

Tusikumkumbuke Magufuli kwa sababu ya wajinga wachache aliowatimua kazini?

Kwa sababu tu aliwadhibiti waliokuwa wanajilipa mapesa kupitia watumishi hewa?

Hao ndio watufanye tusisemee mazuri hayo kwa sababu ya matusi yao mitandaoni?

Mnataka tuwasifu kwenye lipi sasa ikiwa kila kitu kimepanda bei?

Watu hawalazimishwi kusifia, wafanyie mambo mazuri wakusifu, kwa sasa tusifu nini na tumsifie nani na kwa lipi?

2025 nayo ile palee, kila kitu kimegoma kurudi mahali pake,, mtatuambia nini wapiga kura sisi?

Tisheti na kanga?

Na bahati mbaya hata makanisani na misikitini huwa mnakwenda kumzuga padri, Asikofu na shekhe ili hali mkijua njia yenu ni ovu kuliko waovu wote, mnasubiri muibe kura 😂 na mjitangaze mmeshinda kwa kishindo!!

Mnakula mema ya nchi mkiendelea kuwahadaa wananchi walala hoi kwamba mnawatengenezea maisha bora? Njia zenyewe ndio hizo za kupandisha gharama kwenye kila bidhaa??

Mungu ilinde Tanzania kwa mkono wako wa chuma!

Uwabariki viongozi wetu waçhache wanaomaanisha kuwatumikia wananchi
Wala rushwa wote wameikamata system
 
Eti matumizi ya umeme yalipungua kwa sababu.....

Sasa huu ndio uchawa professional, you have to think deep to serve your master to the maximum, damn damn!
Anawazimu
 
As for now miradi inaendelea na mingine Mingi imeanzishwa Kwa nini saruji isiadimike?

Unakumbuka Dangote alitaka kutimkia? Mwendazake hakuna alivhoweza Kila mtu alikuwa mbaya kwake.

Wakitaka kumpora pesa Dangote shenzi zenu.

Mimi huwezi nidanganya awamu ya 5 Nina kumbukumbu vizuri.

Hata Mafuta ya kula yamianza kupanda 2019,Mafuta ya magari Kuna mwaka yaliadimika
U mzima lakini?
 
Ni ujinga kulazimishwa eti tusikumbuke uzuri wa ilivyokuwa awamu ya Magufuli

Ni ujinga kuendelea kutiana moyo kwamba, eti tupo pazuri na tunaelekea pazuri zaidi

hivi, Magufuli alitumia miujiza gani kwenye suala la Umeme na mgao kutokuwepo?

Yeye alifanyeje kumeneji suala la mlipuko wa bei za vyakula mbali na kuwa kwenye janga la Korona dunia nzima?

Alitumia mbinu gani kufanya nishati ya mafuta isipande na nauli kuwa juu, licha kwamba kipindi cha Korona meli nyingi zilipaki?

Sukari nayo imeshindikana sasa kushuka licha ya kuwa na kiwanda cha Bagamoyo sugar na kikubwa kulikoni vyote East Africa, sukari kg 4000 mpaka 4500, kweli???

Tunatafutana nini hapo?

kila mtu anayetokea mikoa ya mbali atakubaliana nami kwamba, kwa sasa suala na safari kutoka mkoa hadi mkoa, ni kama adhabu ya ndogo ya jehanamu

Kutoka kuwa na nauli ya tsh 70,000 kwenda Bukoba hadi 100,000+

Kutoka nauli ya 300 jijini Dar hadi 900 na 1100??

Halafu kuna mpuuzi mmoja anaendelea kusema ni sawa?

Kutoka kuwa na matibabu ziro kwa wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 0 hadi 5, leo ni pesa??

Kutoka kuwa na umeme 27,000 wa REA hadi kutojulikana kama kuna REA au hakuna, maana bei ni ileile 310,000, bado kuna mjinga anaona ni sawa?

Tusikumkumbuke Magufuli kwa sababu ya wajinga wachache aliowatimua kazini?

Kwa sababu tu aliwadhibiti waliokuwa wanajilipa mapesa kupitia watumishi hewa?

Hao ndio watufanye tusisemee mazuri hayo kwa sababu ya matusi yao mitandaoni?

Mnataka tuwasifu kwenye lipi sasa ikiwa kila kitu kimepanda bei?

Watu hawalazimishwi kusifia, wafanyie mambo mazuri wakusifu, kwa sasa tusifu nini na tumsifie nani na kwa lipi?

2025 nayo ile palee, kila kitu kimegoma kurudi mahali pake,, mtatuambia nini wapiga kura sisi?

Tisheti na kanga?

Na bahati mbaya hata makanisani na misikitini huwa mnakwenda kumzuga padri, Asikofu na shekhe ili hali mkijua njia yenu ni ovu kuliko waovu wote, mnasubiri muibe kura 😂 na mjitangaze mmeshinda kwa kishindo!!

Mnakula mema ya nchi mkiendelea kuwahadaa wananchi walala hoi kwamba mnawatengenezea maisha bora? Njia zenyewe ndio hizo za kupandisha gharama kwenye kila bidhaa??

Mungu ilinde Tanzania kwa mkono wako wa chuma!

Uwabariki viongozi wetu waçhache wanaomaanisha kuwatumikia wananchi
Katika Historia kila mtu anayo nafasi ya kukumbukwa kawa mema au m,abaya alioyafanya. Kwangu mimi hakua kiongozi Bora kwa watanzania wenye kujielewa na ambao walikua wanataka kusonga mbele kutoka pale tulipo kuwepo kabla ya yeye.
Nchi haindeshwi kwa vitisho bali utawala wa Sheria.
 
Aliyesababisha Hadi Sukari kutoa 1500-2000 Hadi 3000-3500 ni Magufuli.

Huko kwenye umeme hakuna miujiza yeyote sana sana ni kwamba matumizi ya umeme yalipungua Kwa sababu watu walikimbia na kufunga biashara hivyo grid haikuwa na pressure tofauti na Sasa ambako kila kitu kimefunguka.

Hakuna wakati wowote Nchi hii Iko pazuri kushinda awamu ya 6,Kumlinganisha mtu aliyepora pesa za wafanyabiashara na Watumishi Kwa sababu ya kufilisika ni kumkosea heshima Samia.

Mwisho hakuna mtu anakukataza kumuwaza Mwendazake,wenzako wanaomtumia kama.kete ya siasa Kwa wajinga wewe unamkumbuka kushinda Muumba wako,hapo ndipo laana itakutafuna.
Lala uamke tena kisha usome ulichoandika, nahisi haijatumika akili hapa labda kimetumika kiungo kingine cha mwili labda kiuno au kiwiko.

Nchi iko pazuri awamu ya sita??
-Ongezeko la nauli 43%-45%
-Ongezeko Gharama za mafuta 40% - 45%
-Ongezeko gharama za vyakula 30%- 50%
-Ongezeko gharama za kuunganisha umeme 1000%

-Ongezeko la makato ya kutuma pesa, Kutoka makato ya Tsh 1500 hadi 4370 kwa muamala wa Tsh 400K hadi 500K ambapo ndio kiwango cha juu cha mwisho kwa watu wa maisha ya chini.( ongezeko 191%)

-Gharama nafuu za umeme zilipelekea watu wengi kuunganisha umeme majumbani (hapa matumizi ya umeme yaliongezeka sana)

Upatikani wa umeme, wastani wa siku 3-4 kwa wiki ( kabla ilikuwa wastani wa siku 5-6 kwa wiki)

Hapo hatujazungumzia,
-Huduma mbovu ofisi za umma,
-Madawa
-Vifaa tiba
-Uchakavu wa miundombinu
-Upigaji n.k

Naungana na mtoa hoja kuuliza, Magufuri aliwezaje kumuda kuendesha nchi bila nauli kupanda, bei za vyakula kupanda, mafuta kupanda wakati ambao ulimwengu umejifungia ndani kwa kuhofia korona??

Hao manaowasemea waliporwa na wao wapo kimya wanajua kabisa walirudisha pesa waliyoipata kwanjia za kijanja janja ndomana wapo kimyaaaa.

Mmoja wapo ni Zakaria mmiliki wa mabasi Mwanza Tarime, amenyang'anywa jengo, pesa, eneo na yuko Kimya kwasababu anajua hakuvipata kwanjia za haki. Ila ninyi ndio mnawesemea.
 
Lala uamke tena kisha usome ulichoandika, nahisi haijatumika akili hapa labda kimetumika kiungo kingine cha mwili labda kiuno au kiwiko.

Nchi iko pazuri awamu ya sita??
-Ongezeko la nauli 43%-45%
-Ongezeko Gharama za mafuta 40% - 45%
-Ongezeko gharama za vyakula 30%- 50%
Ongezeko gharama za kuunganisha umeme 1000%

Upatikani wa umeme, wastani wa siku 3-4 kwa wiki ( kabla ilikuwa wastani wa siku 5-6 kwa wiki)

Hapo hatujazungumzia,
-Huduma mbovu ofisi za umma,
-Madawa
-Vifaa tiba
-Uchakavu wa miundombinu
-Upigaji n.k

Naungana na mtoa hoja kuuliza, Magufuri aliwezaje kumuda kuendesha nchi bila nauli kupanda, bei za vyakula kupanda, mafuta kupanda wakati ambao ulimwengu umejifungia ndani kwa kuhofia korona??

Hao manaowasemea waliporwa na wao wapo kimya wanajua kabisa walirudisha pesa waliyoipata kwanjia za kijanja janja ndomana wapo kimyaaaa.

Mmoja wapo ni Zakaria mmiliki wa mabasi Mwanza Tarime, amenyang'anywa jengo, pesa, eneo na yuko Kimya kwasababu anajua hakuvipata kwanjia za haki. Ila ninyi ndio mnawesemea.
Uzuri Huwa mnapayuka bila uthibitisho.
Hapo hatujazungumzia,
-Huduma mbovu ofisi za umma,
-Madawa
-Vifaa tiba
-Uchakavu wa miundombinu
-Upigaji n.k
 
Uzuri Huwa mnapayuka bila uthibitisho.
Hahahahaha unataka uthibitisho upi tena??? Au we unaishi Tanzania ipi ambayo:-

Ongezeko la nauli halipo,
Ongezeko la bei za mafuta halipo,
Ongezeko la makato ya miamala halipo,
Ongezeko gharama za vyakula halipo,
Ongezeko la gharama za kuunganisha umeme halipo.

Ukisoma nilichoandika mimi ambacho ni uhalisia na ukichoandika wewe nani kapayuka bila uthibitisho???
 
Hahahahaha unataka uthibitisho upi tena??? Au we unaishi Tanzania ipi ambayo:-

Ongezeko la nauli halipo,
Ongezeko la bei za mafuta halipo,
Ongezeko la makato ya miamala halipo,
Ongezeko gharama za vyakula halipo,
Ongezeko la gharama za kuunganisha umeme halipo.

Ukisoma nilichoandika mimi ambacho ni uhalisia na ukichoandika wewe nani kapayuka bila uthibitisho???
Hayo yote ndio yanafanya uchumi unakua na Ongezeko ni muhimu Ili kukuza uzalishaji.

Dormant prices don't grow mwisho Ongezeko Hilo ni dogo sana kulinganisha na fursa zilizozalishwa kwenye maelfu ya Ajira,nafuu iliyoletwa Serikali kwenye Elimu,Afya, biashara na uwekezaji.

Ndio maana with those unaita Ongezeko still the economy is growing very fast.It would have been the case if the econy would be stagnant or not producing employments as it was the case awamu ya 5.
 
Magufuli alikuwa ni disaster;
1. Alitangaza vita vya vyeti fake huku akilinda baadhi ya watumishi wakuu na idara nyingine wasiguswe.

2. Alihubiri kuangamiza rushwa lakini akiwaruhusu traffic police kupewa pesa za hongo alioiita pesa ya kupiga brush viatu.

3. Alianzisha elimu bure matokeo yake darasa la kwanza wanafunzi kwenye chumba kimmoja walijaa zaidi ya 200.

Hata pale vilipopatikana au kujenga vyumba vya madarasa hakuajiri walimu wapya kuendana na wingi wa madarasa.

4. Aliomba mkopo/msaada wa Elimu wenye thamani ya 400 million dollars uliokuwa na sharti ya kuruhusu waliozaa kurudi shuleni kuendelea na masomo,lakini ulipokuwa tiyari akauruka kimanga.

5. Akiwa waziri wa miundo mbinu wakati wa Jk,aliufagilia mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,lakini alipoukwaa uraisi akaukana kabisa.

6. Alitumia pesa nyingi kujenga uzio wa kuzunguka eneo zima la madini ya Tanzanite huko Merelani ili kudhibiti utoroshaji wa madini hayo,kumbe wajanja wakachimba mahandaki kama ya wa Palestine ukanda wa Gaza,wakaendelea kutorosha madini hayo kwa njia za chini kwa chini.

7. Alihamia Dodoma kwa kuhamisha serikali yake na Taasisi mbali mbali tokea Dar kwa kile alichodai makao makuu ya nchi,lakini kwa nyakati mbali mbali akaifanya Chato kufanya shughuli mbali mbali za kitaifa hata kuliko Dodoma.

8. Hakupenda kukosolewa lakini yeye akiwakosoa waliomtangulia na viongozi wengine kwenye serikali yake.

9. Alikataa safari za kwenda nchi za nje za mbali akidai anapunguza matumizi kumbe alikuwa na kitufe Pacemaker chenye kurekebisha mapigo ya moyo ambacho kinaweza kuadhirika sana kwasababu ya mitambo ya electronic ya ndege.

10. Tuliambiwa tunadai ushuru wa makanikia sh 360 trillion tukaambuli sh 700 billion hata trillioni mmoja haijafika.

Kibaya zaidi Barrick waliitoa pesa hiyo kwa awamu wakisema ni msaada wa maendeleo wala si kodi ya makanikia hawadaiwi.

11. Alituhamasisha ataleta maendeleo kwa wananchi wote, kuwa hajali mwananchi anatokea chama gani lakini wakati mwingine akidai kuwabomolea nyumba ambao hawakumchagua.

12. Takwimu za viwanda alivyodai 8000 vimejengwa wakati wa utawala wake haikuwa sahihi.
Umesahau alivyokataa kukufira?
 
Katika Historia kila mtu anayo nafasi ya kukumbukwa kawa mema au m,abaya alioyafanya. Kwangu mimi hakua kiongozi Bora kwa watanzania wenye kujielewa na ambao walikua wanataka kusonga mbele kutoka pale tulipo kuwepo kabla ya yeye.
Nchi haindeshwi kwa vitisho bali utawala wa Sheria.
Vitisho ndio nini mkuu,

Kiongozi lazima awenazo sura mbili za kiuongozi

Jambo la kwanza ambalo wengi hamlipendi ni Ukali

La pili ni upole!

Sasa kwa tarifa yako ni kwamba, kwa nchi kama tz, kiongozi kuwa mpole ni dhambi kubwa mno, hauwezi kupambana na uovu wa watanzania

Wengi wa Watanzania ni watu wanaopenda kipato kikubwa, kazi ndogo na pengine hakuna kazi

Na ndiyo maana kila ofsi kuna mafisadi na hayana huruma

Unataka uwe mpole ili iwe nini? Labda na wewe uwe mwizi
 
Back
Top Bottom