Hakuna marefu yasiyo na mwisho, ila nitawakumbuka daima

Hakuna marefu yasiyo na mwisho, ila nitawakumbuka daima

Nimeelewa bro, I will never give up till my last blood drop

Maisha hayanaga Guarantee. Kuna Kupata na kukosa.
Raha inatoka ndani mwake sio nje.
Shukuru na appreciate ukifanyacho na ukipatacho.
Usiwe na tamaa na vitu vya wengine.
Simplify na neutralize Maisha yako yawe simple kadiri ya uwezavyo.

Usikubali kuwa mtumwa wa Maisha au MTU yeyote.
Mke akikusumbua fukuza,
Dini ikikusumbua Achana nayo,
Maisha yanakuwa ghali tafuta Maisha rahisi.
 
Maisha hayanaga Guarantee. Kuna Kupata na kukosa.
Raha inatoka ndani mwake sio nje.
Shukuru na appreciate ukifanyacho na ukipatacho.
Usiwe na tamaa na vitu vya wengine.
Simplify na neutralize Maisha yako yawe simple kadiri ya uwezavyo.

Usikubali kuwa mtumwa wa Maisha au MTU yeyote.
Mke akikusumbua fukuza,
Dini ikikusumbua Achana nayo,
Maisha yanakuwa ghali tafuta Maisha rahisi.
Mkuu si kuhusu pesa au kazi, ni vita ya mazingira yanayonizunguka, nimejifunza baya halilipwi kwa jema.

After I survived 2 days ago, basi sitoondoka Tena. Labda wao and beside ni haki yangu so nitaipambania
 
Mkuu si kuhusu pesa au kazi, ni vita ya mazingira yanayonizunguka, nimejifunza baya halilipwi kwa jema.

After I survived 2 days ago, basi sitoondoka Tena. Labda wao and beside ni haki yangu so nitaipambania
Keep it up man if you feel quitting usisite kuja humu tena they are alot of good people here
 
nilikuambia, tatizo linapokujia lipokee tena lipokee tatizo had lione kwamba hapa limefika mahali pake, halaf usitegemee fulani akupe furaha, fulani ananipenda kweli, fulani ananionaje jali kujihusu wewe, achana na habari hizo wamekufunga akili au vyovyote vile wewe focus na namna unatoka hapo, wewe ni mwanaume simamia uanaume wako, kumbuka Mungu hukupa mtihani akiwa anajua huo lazima utaumudu kivyovyote vile, jus figut for your own happiness dude!! pumzi ya bure aliokupa Mungu itumie vizur unajikatisha uhai unajua utakachokutana nacho huko unakoenda?? hizo ni changamoto, dawa zenyewe hujamaliza nna uhakika mrejesho kwa babu hukumpa,unadhan unasaidikaje ndugu?? umenitia hasira sana leo yan ushaur wote nilokupa its nothing kweli?? yes tulimalizana but sikukukwot wewe.
 
kama hauna mtoto, mke, ndugu, bas jiue tu kaka maana hautakuwa na chakupoteza, ila kama ivyo nilivyovitaka unavyo bas fikiria utawaacha ktk hali gani, usiwe mbinafsi kiasi iko
 
Keep it up man if you feel quitting usisite kuja humu tena they are alot of good people here
Mhubiri 9:10

Em kausome mkuu then angalia maisha yako af pitia na huo mstari 🙏
Screenshot_20230215-214144.png
 
Ametaguta attention kwa kiasi fulani umeipata
Ila hizi ni zaidi ya tabia za kimama
 
nilikuambia, tatizo linapokujia lipokee tena lipokee tatizo had lione kwamba hapa limefika mahali pake, halaf usitegemee fulani akupe furaha, fulani ananipenda kweli, fulani ananionaje jali kujihusu wewe, achana na habari hizo wamekufunga akili au vyovyote vile wewe focus na namna unatoka hapo, wewe ni mwanaume simamia uanaume wako, kumbuka Mungu hukupa mtihani akiwa anajua huo lazima utaumudu kivyovyote vile, jus figut for your own happiness dude!! pumzi ya bure aliokupa Mungu itumie vizur unajikatisha uhai unajua utakachokutana nacho huko unakoenda?? hizo
I always tell you, there is next life for me. I survived ila ulikata kamba yangu vibaya.
 
Ametaguta attention kwa kiasi fulani umeipata
Ila hizi ni zaidi ya tabia za kimama
he is not okay at all!! hajatafuta attention wala
I always tell you, there is next life for me. I survived ila ulikata kamba yangu vibaya.
ulistahili, u went too far, kama sio hio mention ningesimamia nilichokuamboa and as for now naendela na msimamo wangu but nikukumbushe, mtu ni kuambiwa, akasikiliza kisha akatekeleza unatakiwa kubadilika.
 
Mwalimu wangu aliwahi kuniambia hata mvua inyeshe vipi, lazima ipo siku itakatika tu. Nami leo nasema hakuna marefu yasiyo na ncha.

Mimi Intelligent businessman kwa muda mfupi niliokuwa humu ndani, nimekuwa pamoja na baadhi ya ndugu,marafiki, washkaji na hata maadui humu jf.

Ila kiufupi nahisi Safari yangu ya maisha imekaribia mwisho, siwezi tena kuendelea. Nimejaribu na imeshindikana. Zaidi ya kuendelea kupata maumivu na kuendelea kupoteza muda.

Ni bora ningekuwa mvuta bangi,mlevi au hata mzinzi labda ningejaribu kusingizia labda kilichonipata kimesababishwa na hayo ila it's big nooop.

Nilijaribu kuishi maisha yangu katika misingi taratibu, sheria na imani yangu ila ilikuwa ni sawa na bureeee. Mpaka muda mwingine nahisi naota labda huenda nitaamka nipingane na ukwelii but still nakutana na hali ile ile.

Lakini Kama wasemavyo wenye dini zao- kuwa kila kitu kilishapangwa. Basi nami Sina jipya tena chini ya juaa, kwasababu nauona mwisho wanguuu.

Nimejaribu kupingana nao ila still ni ngumu, ni Kama gari lililokosa engine, baiskeli bila mnyororo, mwili bila kichwa.

Sijui wamenifanya nini au wamecheza mchezo gani ila ndugu zangu kiukweli nimechokaaa sanaa.

Kwasababu binadamu huezi ishi bila mipango,uamuzi toka ndani ya roho, kipawa cha Cha kujua unaishi kwa nini??.

Ni Kama vyote wamevisimamisha, hakuna kufikirii,hata kutambua mi ni nani?? Imekuwa ngumuu.- nilipata nafuu mara 1 ila it's nothing. Sio amnesia(kupoteza kumbukumbu).

Ila kiufupi Kama nitapata bahati ya kurudi na kuwajua basi nitadai roho yangu, haki yangu ya kuishii, Sina jinsiii

Ni Kama kuujua mwisho wa maisha yako, huku ukitambua hakuna njia ya kuchomoka. F**ck mee.

Samahani kwa wote nitakaowakwaza, niliowaudhi na labda kuwakeraa aidha kutokana na utani wangu,mawazo yangu hasi au hasira zangu. Peace to you all ladies and gentlemens.

Nawaaga Kama tutapata bahati ya kukutana, Basi nitaomba tuwe hivi hivi upendo,amani na mitafaruku vilinijengaa na kunifunza mengi.

Nakumbuka remmy ongala aliimba kifooo kifooo kifoo hakina huruma.

Ila salute and respect to you guys tumekuwa zaidi ya familiaaa
Mwachiluwi, , talented writer [USER=201171]Analyse, Mr kenice billionaire Bill Lugano, Cha ukorofiii Lovelovie sister mawigi Antonnia BM X6 pure, charismatic fella GENTAMYCINE, mwana hip hop Scars, makaveli10 mtaalamu aliyejaribu kuunganisha timu ya wanaharakati Mshana Jr Korean series lovers Numbisa Khantwe @satosh hirosh mwanaharakati wa hovyo mpwayungu village, fungeni ndoa Chizi Maarifa na trudie Bantu Lady, macho makubwa Dahan business expert CONTROLA I wish tungefanya jamboo, intelligent Da'Vinci wazee wa mizagamuano National Anthem & Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume jasusi Carlos The Jackal and so many others👉 my bow favorite song 👉see you again by wiz khalifaa

till next life, Kama ntapata chanceeee

Still alive, but dead inside
don't kill ur self
 
mimi nimeshauri kias kwamba had naona najisumbua kuna muda ananambia vitu vyake binafs nimejaribu kumshauri kwa namna nzuri sana but huyu kiumbe hasikii wala hashauriki nimeshachoka kiasi nimemwambia kama unaamua kujiua asinishirikishe mimi
Mpe mambo.
 
Back
Top Bottom