The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Mpe mfano mdogo alale stoo alafu aje na marejesho asubuhi, siku inayofuata atafute hoteli karibu yake alipie chumb alale kesho aje na majibu..Safisha kitanda kabla ya kulala uone kama utapigwa chale. Mnalalia vitanda vichafu, yakiwapata mnasingizia wachawi.
Very good.Uchawi upo. Mchanga hauwezi kukukwaruza ukaacha alama ya chale. Kama haukubali kwamba uchawi upo baki na msimamo wako kama ulivyo na waache wahanga wa hayo mambo watoe ya moyoni. Pia kama huamini uchawi upo jitahidi sana kuwa na msimamo mkali sana kuhusu imani yako ya kidini. Kinyume na hapo hata wewe waweza kuwa mhanga muda wowote.
Mkuu mchawi mwanaume anamadhara madogo sana .kiasi biblia imesema usimuache mwanamke mchawi aishiHalafu watu wanaaminigi ni bibi tu ndiyo wachawi. Hata waua wachawi huua wanawake kwa zaidi ya 90% Haya ni mazao ya ujinga.
hujafungua wala kusoma hiyo link niliokupatia.Ufu 22:15
Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.
Umenikumbusha mbali hiyo "utakufa mdomo wazi" shangazi yangu huyo cha maneno hapo anasindikiza na bonge la sonyo [emoji1787]ACHA UCHAWI DOGO UTAKUFA DOMO WAZI
Padri mmoja alikuwa akiwaambia watu kuwa chale hizo ni meno ya panya waliojaa majumbani kwenu kwani meno ya panya ni makali kama nyembe. Watu walicheka sana wakisema huyu padri hajui kitu, chale tatu mkono wa kulia, chale tatu mkono wa kushoto na nyingine tatu mguu wa kulia na kushoto hivyo hivyo?! Panya hao wana akili sana!Habari za watu kuchanjwa na wachawi usiku zinaaminika sana nchi hii. Lakini ukweli ni kuwa hakuna wachawi wa kuchanja watu chale. Zile Inazoitwa chale za wachawi huwa ni matokeo ya kukwaruzwa na mchanga usiku baada ya kulalia kitanda kichafu.
Mchanga ni mgumu na una ncha kali kama za wembe, na pengine zaidi. Glasi zenyewe hutengenezwa kutokana na mchanga. Na hata kazi kubwa ya screwnprotectors za simu ni kuzuia kioo kisikwaruzwe na mchanga.
Sasa mtu akilalia kitanda kichafu, chenye mchanga. Katika kujigeuzageuza usiku lazima "umchale." Asubuhi akiamka bila kuelewa kilichotokea, anasingizia wachawi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha mbali hiyo "utakufa mdomo wazi" shangazi yangu huyo cha maneno hapo anasindikiza na bonge la sonyo [emoji1787]
Kwakuwa huamini uchawi sawa
Ila njoo nikupeleke namanyele ukaone ukaone radi za kutengeneza 2000 tu
Ntakuonesha katoto kashule katandike makofi tu uone siku ya pili itakwaje
Biblia yenyewe imekir uchawi
Ila jamani
Mpaka umeandikwa manake upoBiblia imeandikwa na watu wa zamani. Sasa kwa nini isikiri uchawi?
Wanaochanjwa hivyo wanakuwa wameenda kwa mganga kujizindika. Wanasingizia wachawi ili wasionekane washirikina. Hata ukikuta familia nzima imechanjwa kuwa makini, wanakuwa wameenda kwa waganga. Uiswe mwepesi kuamini maneno ya raia, waongowaongo sana.Padri mmoja alikuwa akiwaambia watu kuwa chale hizo ni meno ya panya waliojaa majumbani kwenu kwani meno ya panya ni makali kama nyembe. Watu walicheka sana wakisema huyu padri hajui kitu, chale tatu mkono wa kulia, chale tatu mkono wa kushoto na nyingine tatu mguu wa kulia na kushoto hivyo hivyo?! Panya hao wana akili sana!
Nimesoma nimeona unapingana na biblia kwamba imekosea sasahujafungua wala kusoma hiyo link niliokupatia.
Mpaka umeandikwa manake upo
Jaman kujeni Namanyele mjionee uchawi kweupeeeee