Hakuna mjadala, Visungura vinaua nguvu kazi ya vijana, havina tofauti na viroba, serikali itoe tamko juu ya mauaji haya ya makudi

Sema hivi vijamaa vina faida sana kwa wenye maduka.
 
Dah hizi spirit zipigwe stop...alafu kuna og na fake..sasa hizo fake...dah
 
Acha nature ifanye kazi yake


Hapo watakufa wajinga Kwa ini na figo Kwa kujitakia watabaki walioko na akili
Hata wenye akili kama madktari nao ni walevi kupindukia, ila hawanywi hivi vipombe vya aina ya Sungura sababu wanajimudu kiuchumi kunywa Serengeti light, shida hapa ni umasikini, masikini ndio wanaumizwa na visungura..
 
Kwa hatua aliyofikia Poor Brain , visungura vikipigwa marufuku anaweza akazima
 
Kaka Analyse mi ulevi wangu ni mashangazi..
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kheri a thousand times Visungura huko kwingine wataokota mabaki tu.
Mashangazi tena.... Yamefanyaje
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Acha kujifanya ujui ... kwan huski kuwa visungura vina relate na figo
 
Wacha wapumbavu wafe, maana wamechagua hayo maisha
 
Sio Dawa....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…