Hakuna mkate mgumu mbele ya Chai!! Bye bye Salim Kikeke


Acha wewe usinikumbushe, kuna kipindi nilimpata demu wa kutoka mbali lakini niliingia na gea za hovyo sana. Mtoto hanywi wala hapendi sigara na mimi kwasababu mtoto nilimfia niliamua afe kipa au afe beki. Nikajifanya na mimi sinywi wala sivuti, tukatoka out, nilijifanya mstaarabu marafiki zangu walicheka na mpaka leo wakikumbuka wanacheka
 
Kwani alishaachana na yule mkewe mzungu?

Lakini, haya sio maigizo kweli? Mbona eneo liko hovyo sana kwa event ya uvishwaji pete?

Hata hivyo hongera kwao.
Weka ile picha yetu Nifah ajifunze kwetu

Naona kama wako kwa fundi cherahani vile ati au nimeona vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…