Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
๐Ÿ‘‡
 
Legacy iko chini ya mashambulizi makali kama Ukraine aisee, walioumizwa, tishiwa lazima waseme maana aliyewaminya kafa. Nanyi mliokuwa mnakula pepo zama hizo kazeni buti kutetea legacy, the truth shall set us free.
 
Wakati unaandika hili bandiko lako kichwa chako kilikuwa kinawaza kitu gani kuhusiana na victims wa udhalimu uliofanyika katika awamu ya tano?

Hivi Ben Saanane yuko wapi au at least kelele kuhusu serikali kuhisiwa ina mkono wake kuhusiana na kupotea kwake hivi nini kilizuia polisi kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kwa umma maana tumewazoea wakiita press kutuonyesha wezi wa kuku na wakwapua simu za mkononi.

T-shirts za GET WELL SOON Tundu Lissu zilikuwa na madhara gani, yaani serikali ilidiriki kuzuia mtu aliyejeruhiwa asiombewe?

Kila aina ya mauaji au utekaji au kujeruhiwa hata ambavyo kwa mbinu za kijasusi serikali ilifanikiwa kuhadaa watu kuwa haikuhusika bali ni opposition parties walifanyiana wenyewe kwa wenyewe kwanini uchunguzi haukufanyika ili mbivu na mbichi zikajulikana.

Kinachoendelea sasa ni watu kuwa huru kuongea yaliyotokea na kwa ambao hawakubaliani nayo then they should tell their side of the story, kitu rahisi kabisa then watu watachambua wenyewe.
 
Dr ulimboka yu wapi?

Mwenyekiti wa walimu tz kipindi cha Kikwete yu wapi?
 
Hata Sabaya anasingiziwa kesi za ujambazi aliokuwa akifanya kwa baraka za mwendakuzimu.

Dc wa Hai anaruhusiwa kufanya ujambazi nchi nzima na vyombo vya dola vipo.

Nikimkuta peponi huyu ibilisi naghairi kuingia itakuwa motoni ndio kuzuri zaidi.

Isitoshe Mungu akiwasamehe majambazi kama hawa wa awamu ya tano hakika hakuna binadamu atakwenda motoni
 
Ameshafungwa kwa kesi gani gani?
 

Khaa!! Mnamkumbuka Sana

Tanzania kwa mara ya kwanza ilitawaliwa na shetani, hatuwezi kumsahau.

Kule Ujerumani ni marufuku kumpa mtoto jina la Adolf kutokana na madhira aliyoyaleta Adolph Hitler, sasa ni wakati muhafaka kwa Tanzania kupiga marufuku watoto wasipewe jina la John ni mkosi.
 
Walitumika sn kuua watu enzi ya dikteta
 
A
assailants ndo watu gani hawa. Si useme tu jpm alitaka kummaliza kwa kumshindilia hayo masasai. Kwani ulisema ndo usukuma gang wako utapotea.

Jpm hasafishiki ndugu yule alikuwa shetani. Ila tuna bahati kuishi na shetani na kumfahamu kuwa shetani yuko je practically.
 
Utalia uchoke lakini huu mziki hautazima kamwe! Life is how you make it yourself!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ