Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Wakati unaandika hili bandiko lako kichwa chako kilikuwa kinawaza kitu gani kuhusiana na victims wa udhalimu uliofanyika katika awamu ya tano?

Hivi Ben Saanane yuko wapi au at least kelele kuhusu serikali kuhisiwa ina mkono wake kuhusiana na kupotea kwake hivi nini kilizuia polisi kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kwa umma maana tumewazoea wakiita press kutuonyesha wezi wa kuku na wakwapua simu za mkononi.

T-shirts za GET WELL SOON Tundu Lissu zilikuwa na madhara gani, yaani serikali ilidiriki kuzuia mtu aliyejeruhiwa asiombewe?

Kila aina ya mauaji au utekaji au kujeruhiwa hata ambavyo kwa mbinu za kijasusi serikali ilifanikiwa kuhadaa watu kuwa haikuhusika bali ni opposition parties walifanyiana wenyewe kwa wenyewe kwanini uchunguzi haukufanyika ili mbivu na mbichi zikajulikana.

Kinachoendelea sasa ni watu kuwa huru kuongea yaliyotokea na kwa ambao hawakubaliani nayo then they should tell their side of the story, kitu rahisi kabisa then watu watachambua wenyewe.

Get well soon si mgeenda kumwombea huko Hospitalini,Mbona hamkutengeneza tishrt za Akwilina aliyepigwa Risasi kwenye ujinga wenu Mabibo!?,Unashindwa kujenga ofsi ya Chama chenu mnatengeneza Tishrt za Lissu?
 
Get well soon si mgeenda kumwombea huko Hospitalini,Mbona hamkutengeneza tishrt za Akwilina aliyepigwa Risasi kwenye ujinga wenu Mabibo!?,Unashindwa kujenga ofsi ya Chama chenu mnatengeneza Tishrt za Lissu?
Unaleta uchama stupidly, unadhani kila mwenye mitazamo tofauti au anayetetea haki ana uhusiano na chama cha kisiasa?
Watu waliamua kuvaa T-shirts za Lissu kwa choice yao hivyo hakuna anayepaswa kuwalazimisha kwa kuwa wameamua kuvaa T-shirts hizo basi lazima wavae na za wengine, uhuru wa kuchagua.
Kama unaona Aquilina alipaswa kuvaliwa T-shirts basi hata wewe unge-design ukavaa au ungewapitia polisi waliomuua wakavaa pamoja na Jiwe aliyekuwa ndiye chanzo cha mauaji yale kufanyika.
 
H

Huwezi ukamtendea mwenzio ubaya halafu uendekuomba msamaha kwa Mungu. Lazima (yaani ni LAZIMA) Kwanza umuombe msamaha uliyemkosea. Labda kuzini na mke/ mme wa mtu, huwezi kumuombea msamaha uliyemdhulumu maana italeta tafrani zaidi ktk jamii. Hiyo unatubu tu kwa Mungu.

Magufuli alifanya maovu mengi- yeye binafsi au wasaidizi wake hawa kina Sabaya, Makonda etc. Yeye alikuwa kiongozi mkuu anawajibika kwa makosa waliyotenda wengine akayafumbia macho.

Aidha mengine yalitendwa kwa maagizo yake. Hatujawahi kusikia ameomba msamaha.

Nakubaliana na wewe kuwa Hakuna anayedhamiria kumchafua Magufuli, ila kudhani kwamba alitubu makosa yake hilo hapana. Hata kama alijarbu kutubu, alikosea procedure.
Wewe una uhakika gani kama alitenda hayo? Au unafuata yanayosemwa na watu.
 

Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli​

 
Unaleta uchama stupidly, unadhani kila mwenye mitazamo tofauti au anayetetea haki ana uhusiano na chama cha kisiasa?
Watu waliamua kuvaa T-shirts za Lissu kwa choice yao hivyo hakuna anayepaswa kuwalazimisha kwa kuwa wameamua kuvaa T-shirts hizo basi lazima wavae na za wengine, uhuru wa kuchagua.
Kama unaona Aquilina alipaswa kuvaliwa T-shirts basi hata wewe unge-design ukavaa au ungewapitia polisi waliomuua wakavaa pamoja na Jiwe aliyekuwa ndiye chanzo cha mauaji yale kufanyika.

Nshakupasua mshono naona unahaha!
 
Mimi siyo mmakonde wala mzanzibar uwe na adabu kwa wakubwa zako.
Samahani Mkuu wangu Baba!! ila nilichoona tabia zako hizi!! ni km za hao jamaa nilio wataja lkn kama weye ni kabila langu nitashangaa sana! ukiwa ivo hata mke hupewi!
 
Magufuli ni Dude kubwa sana, Ajabu ni kwamba hawa Gaidi gang wanatumia mbinu zote kumchafua ilhali mtu ni marehemu
 
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Wenye akili timamu tunajua kulikuwa na Fashisti nduli na kundi lake aliyewaumiza kuua kutesa nk
Mungu kaamua ugomvi.
 
Sukuma gang, mtalialia sana na huu ni mwanzo tu. It's an enjoyable country for us now.

Endeleeeni kulamba Asali sisi tunapambana kuwatoa vijana Wetu kwenye kesi bambikizi,Makonda yuko HURU sabaya kashinda kesi ya Tatu nae atakuwa HURU pia
 
Back
Top Bottom