Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

H

Huwezi ukamtendea mwenzio ubaya halafu uendekuomba msamaha kwa Mungu. Lazima (yaani ni LAZIMA) Kwanza umuombe msamaha uliyemkosea. Labda kuzini na mke/ mme wa mtu, huwezi kumuombea msamaha uliyemdhulumu maana italeta tafrani zaidi ktk jamii. Hiyo unatubu tu kwa Mungu.

Magufuli alifanya maovu mengi- yeye binafsi au wasaidizi wake hawa kina Sabaya, Makonda etc. Yeye alikuwa kiongozi mkuu anawajibika kwa makosa waliyotenda wengine akayafumbia macho.

Aidha mengine yalitendwa kwa maagizo yake. Hatujawahi kusikia ameomba msamaha.

Nakubaliana na wewe kuwa Hakuna anayedhamiria kumchafua Magufuli, ila kudhani kwamba alitubu makosa yake hilo hapana. Hata kama alijarbu kutubu, alikosea procedure.
Hata pamoja na Daud wa biblia kuomba msamaha kwa Mungu bado alipotaka kujenga hekalu Mungu alikataa kwa kumwambia ana damu ya mtu asiye hatia mikononi. Daud hakumuua kwa mkono wake yule jamaa Ulia lakini hata waliotumwa kutekeleza walipata adhabu ya dhambi ile.
Akina Makonda, Sabaya na wengineo mnayo dhambi ile ile hata kama mlitumwa.
Nyie wote ni wauaji pamoja na magufuli wenu. Damu ya akina Mawazo iko mlangoni penu.
 
Kama Magufuli angeendelea kuwapo angewaua viongozi wote wa CHADEMA kama ambavyo Paul Kagame anavyowaua wabaya wake.

Kuondoka kwa Tundu Lissu kupitia Germany embassy, Mbowe kukimbilia Dubai na Godbless Lema kupitia Namanga na kukamatwa Kajiado Kenya ni kwamba Waliepusha maisha yao baada ya Magufuli kutaka kuwapoteza mazima. Na hii ilikuwa immediately baada ya Lissu kupinga ushindi wa Magufuli wa 2020 na kuitisha maandamano. DIKTETA Magufuli alikuwa ni KICHAA, angewaua. Ni bora walikimbia
Huna akili mpuuzi wa mwisho hapa JF. Lema amekuwa mbunge tangu 2016 mpaka 2020 kama kuuwawa si angeuliwa mapema tu.

Lissu kazungunguka mwaka mzima wa 2020 akifanya kampeni . Unashindw kujiuliza? Unabakiza chuki za kishwain.
 
CCM wameishi kwa siasa za hivi, wenyewe kutengeneza upinzani wa regime zilizopita na kuaminisha umma kuwa aliyepita ndio tatizo.

Upinzani wetu nao feki wanaishi kwa propaganda hizo hizo! Kila awamu wanakimbizana na kutuhumu watu alafu baadae wanaungana nao.

Siasa zetu ni very complicated ni bora u focus kwenye ugali wako tu otherwise utakuja kuwa disappointed ujute.
Kwa akili yako nashangaa kwa nini umeandika hapa
 
Hata wewe utamsifu tu niswala la muda.
Amini usiamini Magu alikuwa akili kubwa, subiri miradi yotealiyo ianzisha mama akiimaliza ndio utaelewa.
Hizo propaganda za kuteka sijui kuuwa nizamudatu.
Miaka ya nyumba wapinzani walikuwa wana lamba asali pamoja na wenye mamlaka,Magu akaja kuondoa huo ujinga ndio mana sasaivi unaona wanaungana kulamba tena na kinacho fuata nikusifia tu.

Jiulize kwenye ishu ya wanyama kusafirishwa nnje kiongozi gani wa upinzani amenyanyua mdomo kulaani.
Laana ya kumtukana mtu aliejitoa kwa ajili yenu itawatafuna tu.
Hivi kwa akili yako mbovu unalinganisha miradi na uhai wa wana wa watu? Si bora isiwepo??
Mmekosa teuzi mnahaha kuandika ujinga kucha kuchwa!
 
Huyo waziri mwenyewe ni mtumbuliwa wa JPM.
Hatuwezi tarajia chochote zaidi ya kupigiana Promo.

Sawa tu na yule mtumbuliwa Mwijage mwingine kule bungeni anavyotoa michango ya kupongezana na Makamba.

Hata mtumbuliwa mwingine Yule Muhongo wote ukisikiliza michango yao utawaelewa wazi kuwa wanachangia huku wanejawa na vinyongo tupu.
Mna roho mbaya tu. Watu wa mwendazake mlijaa ubinafsi na tamaa.
 
Ila nchi hii watu hupenda kujipa hisia za ajabu sana kuna watu walijipa hisia za watu kufa kwa njaa kwamba hakuna chakula mara watu wanapukutika kwa corona, sasa hata sielewi ni kwa vp wengine wakimbie nchi wengine wabaki na kuendelea na shughuli zao kama Mbowe Sugu na Mnyika hawakukimbia nchi.

Kuna wakati kipindi kile cha corona hata sikutegemea kumuona Lissu akijichanganya na watu tena bila barakoa aliporudi bongo kwenye uchaguzi, maana alikuwa anapiga sana kelele kuhusu corona na kudai watu wanakufa sana.
 
Akili km zako mlistahili ya jpm. Maana mnaendesheka sana mbona mi5 haikutufanya km somalia au unatumia kipimo gani kujua 10 ingekuwa km ya somalia? Nikiingia CHADEMA mi ndo ntakuwa na akili kuliko wote walioko mle. Yule jamaa alikuja anachechemea kiasi kwamba hawez hata kuikwepa risasi akapiga kampeni na kumaliza kila kitu na kurudi alikoona kuna kuonewa huruma leo mnasema ni mkimbizi wa kisiasa!!
Wenye akili mbovu kama zako uikimbia chadema.
 
Kwa hiyo bora anayevuruga kidogo? Mwizi ni yule aliyeiba mabilion, aliyeiba elfu 10 si mwizi. [emoji23][emoji23] CHADEMA narudia tena, njaa inawaendesha sana ndo maana mnaona bora aliyevuruga uchaguzi na kuwaachia wabunge 20+ kuliko aliyevuruga uchaguzi na kuwaachia 1 tu.
Njaa mnayo wafuasi wa sukuma gang mnajitahidi kusafisha sebure iliyojaa mavi mpaka ukutani
 
Hivi kwa akili yako mbovu unalinganisha miradi na uhai wa wana wa watu? Si bora isiwepo??
Mmekosa teuzi mnahaha kuandika ujinga kucha kuchwa!
Mithali 10:14 “Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu”.
 
Huna akili mpuuzi wa mwisho hapa JF. Lema amekuwa mbunge tangu 2016 mpaka 2020 kama kuuwawa si angeuliwa mapema tu.

Lissu kazungunguka mwaka mzima wa 2020 akifanya kampeni . Unashindw kujiuliza? Unabakiza chuki za kishwain.
2020 lissu alizinguka mwaka mzima? Wauaji hata hamuwezi kuhesabu? Tunajua mengi. Magu na nyie mlikuwa wauaji. Mnatakiwa kuzikwa naye chatle
 
Ila nchi hii watu hupenda kujipa hisia za ajabu sana kuna watu walijipa hisia za watu kufa kwa njaa kwamba hakuna chakula mara watu wanapukutika kwa corona, sasa hata sielewi ni kwa vp wengine wakimbie nchi wengine wabaki na kuendelea na shughuli zao kama Mbowe Sugu na Mnyika hawakukimbia nchi.

Kuna wakati kipindi kile cha corona hata sikutegemea kumuona Lissu akijichanganya na watu tena bila barakoa aliporudi bongo kwenye uchaguzi, maana alikuwa anapiga sana kelele kuhusu corona na kudai watu wanakufa sana.
Uliyoandika ulikuwa out of your sense. Rudishwa kichwa mahala pake
 
Back
Top Bottom