Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Alitoka sisiemu akaenda kwa wapumbavu wasikuwa na akili wamuoshe akarudi tena sisiemu.Na leo Lowasa yupo chama gani wewe boya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitoka sisiemu akaenda kwa wapumbavu wasikuwa na akili wamuoshe akarudi tena sisiemu.Na leo Lowasa yupo chama gani wewe boya?
WEWE NDIO MNAFIKINi wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea ubunge.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Hoja ya kitoto sana hii!! Sometimes tumie utashi wenu kutafakar mambo pale kulikua na CCTV cameras ambazo zina ushahid wote but dormant hawatak kuhoj hilo!!Ndio mumlete dereva aseme ilikuwaje.
Alimuua nani kwa mkono wake? Weka ushahidi. Lissu na Lema walikimbia lini?
Mbona wewe hujatekwa na kuuawa ?Wakati unaandika hili bandiko lako kichwa chako kilikuwa kinawaza kitu gani kuhusiana na victims wa udhalimu uliofanyika katika awamu ya tano? Hivi Ben Saanane yuko wapi au at least kelele kuhusu serikali kuhisiwa ina mkono wake kuhusiana na kupotea kwake hivi nini kilizuia polisi kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kwa umma maana tumewazoea wakiita press kutuonyesha wezi wa kuku na wakwapua simu za mkononi.
T-shirts za GET WELL SOON Tundu Lissu zilikuwa na madhara gani, yaani serikali ilidiriki kuzuia mtu aliyejeruhiwa asiombewe?
Kila aina ya mauaji au utekaji au kujeruhiwa hata ambavyo kwa mbinu za kijasusi serikali ilifanikiwa kuhadaa watu kuwa haikuhusika bali ni opposition parties walifanyiana wenyewe kwa wenyewe kwanini uchunguzi haukufanyika ili mbivu na mbichi zikajulikana.
Kinachoendelea sasa ni watu kuwa huru kuongea yaliyotokea na kwa ambao hawakubaliani nayo then they should tell their side of the story, kitu rahisi kabisa then watu watachambua wenyewe.
Ujinga mwingine kama ni wa kurithi au otherwise it's hard to tell, kwani walitekwa na kuuawa nchi nzima? Hao hao waliotekwa na kuuawa inatosha kupigia kelele udhalimu wa lile shenzi la Kihutu pamoja na washirika wake.Mbona wewe hujutekwa na kuuawa ?
Mla ni mla leo mla jana kala nini?! sheitwani linapondeka na kulungula jehanamu, sio chuki ni ukweli usiopingika; nilifutwa kazi kwa cheti feki ndio lakini ni kama niliwekewa mafao nimelipwa kila senti na kurudi kazini, sheitwani linageuzwa majivu na udogo muda huu mimi nakula nchi! Upo hapo Sukumagang? kama umekasirika nenda chato chimba kaburi ulale kwapani mwa sheitwani mwenzio! Nyanoko!Aliyokula ibilisi ni makubwa sana kuliko anayokula wa ulaya. Punguza chuki na jazba kwa mfu hata kama baba yako alitimliwa kwa vyeti fak
Pole,Alimuua nani kwa mkono wake? Weka ushahidi. Lissu na Lema walikimbia lini?
Hitler, Bokasa, Idd Amin na Mobutu waliua kwa mikono yao?Alimuua nani kwa mkono wake?
NdioHitler, Bokasa, Idd Amin na Mobutu waliua kwa mikono yao?
Wakati wa nyerere watu walipotea wakati wa mwinyi watu walipotea wakati wa nkapa watu wakipotea wakati wa kikwete watu walipotea na juna wengine walimwagiwa mpka tindikali kila rais lazima watu wapotee Sema tu wakati huo ninyi mlikuwa watoto wadogo ndo maana mnaona kama mambo mageni. Wakati wa magufuri kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habriWakati unaandika hili bandiko lako kichwa chako kilikuwa kinawaza kitu gani kuhusiana na victims wa udhalimu uliofanyika katika awamu ya tano? Hivi Ben Saanane yuko wapi au at least kelele kuhusu serikali kuhisiwa ina mkono wake kuhusiana na kupotea kwake hivi nini kilizuia polisi kufanya uchunguzi na kutoa ripoti kwa umma maana tumewazoea wakiita press kutuonyesha wezi wa kuku na wakwapua simu za mkononi.
T-shirts za GET WELL SOON Tundu Lissu zilikuwa na madhara gani, yaani serikali ilidiriki kuzuia mtu aliyejeruhiwa asiombewe?
Kila aina ya mauaji au utekaji au kujeruhiwa hata ambavyo kwa mbinu za kijasusi serikali ilifanikiwa kuhadaa watu kuwa haikuhusika bali ni opposition parties walifanyiana wenyewe kwa wenyewe kwanini uchunguzi haukufanyika ili mbivu na mbichi zikajulikana.
Kinachoendelea sasa ni watu kuwa huru kuongea yaliyotokea na kwa ambao hawakubaliani nayo then they should tell their side of the story, kitu rahisi kabisa then watu watachambua wenyewe.
Ficha ujinga wako, niko na akili timamu tangu enzi za Mchonga na hakuna kipindi ambacho nchi imeendeshwa kinyama na kuminywa uhuru wa habari kama awamu ya Muhutu.Wakati wa nyerere watu walipotea wakati wa mwinyi watu walipotea wakati wa nkapa watu wakipotea wakati wa kikwete watu walipotea na juna wengine walimwagiwa mpka tindikali kila rais lazima watu wapotee Sema tu wakati huo ninyi mlikuwa watoto wadogo ndo maana mnaona kama mambo mageni. Wakati wa magufuri kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habri
Rwanda hakuna hofuNyie watu mnataka kuishi nchi ya aina gani??
Ya hofu kama Rwanda?
Ujue Mali ilivyo na nguvu.Hii inahusiana nini na kuzimia na mifuko mkononi ?
Wakati wa nyerere watu walipotea wakati wa mwinyi watu walipotea wakati wa nkapa watu wakipotea wakati wa kikwete watu walipotea na juna wengine walimwagiwa mpka tindikali kila rais lazima watu wapotee Sema tu wakati huo ninyi mlikuwa watoto wadogo ndo maana mnaona kama mambo mageni. Wakati wa magufuri kulikuwa na uhuru wa vyombo vya habri