Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli

Ndoto za alinacha. Nani akupe ikulu weye nyumbu.
Sema ivo ivo!! ndoto! mara ndiotooo!!.....nakwambia mtakoma na genge lenu nyoote! mpaka maji mtaita maa!.......hakuna Mtu anaye toa Ikulu kwa mtu! weye Farasi hukusoma nini??
 
Huna akili mpuuzi wa mwisho hapa JF. Lema amekuwa mbunge tangu 2016 mpaka 2020 kama kuuwawa si angeuliwa mapema tu.

Lissu kazungunguka mwaka mzima wa 2020 akifanya kampeni . Unashindw kujiuliza? Unabakiza chuki za kishwain.
Wewe ni mushuti kutoka Giteega
 
Kama Magufuli angeendelea kuwapo angewaua viongozi wote wa CHADEMA kama ambavyo Paul Kagame anavyowaua wabaya wake.

Kuondoka kwa Tundu Lissu kupitia Germany embassy, Mbowe kukimbilia Dubai na Godbless Lema kupitia Namanga na kukamatwa Kajiado Kenya ni kwamba Waliepusha maisha yao baada ya Magufuli kutaka kuwapoteza mazima. Na hii ilikuwa immediately baada ya Lissu kupinga ushindi wa Magufuli wa 2020 na kuitisha maandamano. DIKTETA Magufuli alikuwa ni KICHAA, angewaua. Ni bora walikimbia
Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuumaliza huu wendawazimu wa huyu Mhutu
 
Huna akili mpuuzi wa mwisho hapa JF. Lema amekuwa mbunge tangu 2016 mpaka 2020 kama kuuwawa si angeuliwa mapema tu.

Lissu kazungunguka mwaka mzima wa 2020 akifanya kampeni . Unashindw kujiuliza? Unabakiza chuki za kishwain.
Wacha matusi jibu hoja wewe mjane
 
M
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Mkuu, kuwaondoa Ubunge ilikuwa ndiyo mwanzo wa kuwashughulikia.

Kwanini walimkamata Lissu tena nje ya nyumba ya Balozi wa Germany?

Kwa nini Lissu alisindikizwa Airport na mabalozi wa USA, Germany na Belgium?

Kwa nini Lema walikuwa wa naomba Police Kenya wamrudishe kama zilikuwa ni safari zake mwenyewe.

Unafikiri Canada wanatokea pasi hovyo hovyo tu?

Awamu yake ya pili ndiyo ilikuwa tuanze kulimia meno.
 
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Ni ama wewe ni mpumbavu ama umehamua kujitoa tu ufahamu kutetea legacy ya marehemu. tatizo linalojitokeza sasa ni matokeo ya watu kuzibwa midomo enzi zile. sasa watu wako huru kutapika mambo yote, kama wewe ulichagua kusikiliza tu ngonjera za utawala ule, basi unashauriwa kuwa mvumilivu usikilize ukweli uliofichwa.
 
Sema ivo ivo!! ndoto! mara ndiotooo!!.....nakwambia mtakoma na genge lenu nyoote! mpaka maji mtaita maa!.......hakuna Mtu anaye toa Ikulu kwa mtu! weye Farasi hukusoma nini??
Weye huwezi kuwa Mkuu wa nchi hii na wenye nchi tukaridhia, ala
 
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Nenda pale alikolala ukasemezane Naye haya ili akiweza zinduka ajue unampa ujiko.
 
Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.

Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.

Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.

Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.

Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Wewe ni nani mpaka ukanushe ambacho serikali imekikiri?? Hayo mahaba yako yabaki mkuoni mwako, unatujazia server unnecessarily!
 
Wewe ni nani mpaka ukanushe ambacho serikali imekikiri?? Hayo mahaba yako yabaki mkuoni mwako, unatujazia server unnecessarily!
Huyu dada naona alikuwa mchepuko wa Mzee Meko
 
Weye huwezi kuwa Mkuu wa nchi hii na wenye nchi tukaridhia, ala
Mawee!! unajidanganya mchana!! misingi ya nchi hii tumeiweka sisi!! hakuna wakutuuliza Nyau tu wewe!! Mmakonde na mizanzibar hamjui kitu kwanza vita ya kumng'oa kaburu, kagera mstari wa mbele, jeshini mlikimbia!

mshukuru mmepata rift kwetu mnaheshimiwa huko south! hata ugo gujiwe gumejifanya gujanja gulitaka kutengua jiwe letu la msingi hilo hapo ..udongo tani tano!!

Na bila sisi nchi ina collapse!.....
 
Mawee!! unajidanganya mchana!! misingi ya nchi hii tumeiweka sisi!! hakuna wakutuuliza Nyau tu wewe!! Mmakonde na mizanzibar hamjui kitu kwanza vita ya kumng'oa kaburu, kagera mstari wa mbele, jeshini mlikimbia!

mshukuru mmepata rift kwetu mnaheshimiwa huko south! hata ugo gujiwe gumejifanya gujanja gulitaka kutengua jiwe letu la msingi hilo hapo ..udongo tani tano!!

Na bila sisi nchi ina collapse!.....
Mimi siyo mmakonde wala mzanzibar uwe na adabu kwa wakubwa zako.
 
Back
Top Bottom