Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Robo kilo ya sato nayo ni mali ?Ujue Mali ilivyo na nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robo kilo ya sato nayo ni mali ?Ujue Mali ilivyo na nguvu.
Sasa unampigia kelele nani ? Kajinyonge.Ujinga mwingine kama ni wa kurithi au otherwise it's hard to tell, kwani walitekwa na kuuawa nchi nzima? Hao hao waliotekwa na kuuawa inatosha kupigia kelele udhalimu wa lile shenzi la Kihutu pamoja na washirika wake.
Wewe siyo Mungu utapata dhambi bure nyumbu wewe. Usiingilie kazi ya Muumba yeye ndio anajua ni wapi alimpeleka mtu wake.Mla ni mla leo mla jana kala nini?! sheitwani linapondeka na kulungula jehanamu, sio chuki ni ukweli usiopingika; nilifutwa kazi kwa cheti feki ndio lakini ni kama niliwekewa mafao nimelipwa kila senti na kurudi kazini, sheitwani linageuzwa majivu na udogo muda huu mimi nakula nchi! Upo hapo Sukumagang? kama umekasirika nenda chato chimba kaburi ulale kwapani mwa sheitwani mwenzio! Nyanoko!
Mbona hukufunua mdomo wakati muhusika akiwa hai ? Pole kwa kupigwa cheti fakePole,
Una jitihada kubwa za kufunika uovui, kama walivyojitahidi bila mafanikio wale waliokuwa CHAWA wa madikteta/wakandamizaji duniani. Idi Amini, Mobutu,Alliende, Sallazar, Hitler.
Kamuulize mama yako swali hilo la kinyumbuHitler, Bokasa, Idd Amin na Mobutu waliua kwa mikono yao?
Kwa sababu mlibanwa kwenye ufisadi ? Haya Magufuri kaondoka tuone sasa kama Nyumbu mtaingia Ikulu.Wakimbizi wa kisiasa hawajaanza jana muda tu sana kwani hujui late Oscar Kambona alitimkia ughaibuni kwa sababu za kisiasa?
Huwezi kusanitize utawala wa kiimla wa awamu ya 5 sababu inajulikana duniani kote ulikua ni utawala wa aina gani , utawala ulizalisha mauaji,ubaguzi na kila aina ya mgawanyiko.
Ndoto za alinacha. Nani akupe ikulu weye nyumbu.Ombeni hivoivo!! nisiwe Rais mie nitakapo gombea nakuipata hiyo nafasi!!! nitafanya uchunguzi wooote walio husika ni ndani tu na kazi ngumu km watanyongwa sawa ila MwenyeMungu anisamehe wanastahil kifo!! kwa ile terrible death!
Magufuli alikuwa muuaji naomba usitukumbushe kabisa.Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
[emoji116]View attachment 2253807
Kosa moja halihalalishi jingineDr ulimboka yu wapi?
Mwenyekiti wa walimu tz kipindi cha Kikwete yu wapi?
Jamaa alifanya mauaji kiasi kwamba yeye ataishi Milele vileKwa sababu mlibanwa kwenye ufisadi ? Haya Magufuri kaondoka tuone sasa kama Nyumbu mtaingia Ikulu.
Nao ni waovu kama magu foolAlafu kuna watu wanatetea huo uovu
Kuna ubaya gani wanyama kusfirishwa njee ikiwa wamenunuliwa na taratibu kufuatwa?Hata wewe utamsifu tu niswala la muda.
Amini usiamini Magu alikuwa akili kubwa, subiri miradi yotealiyo ianzisha mama akiimaliza ndio utaelewa.
Hizo propaganda za kuteka sijui kuuwa nizamudatu.
Miaka ya nyumba wapinzani walikuwa wana lamba asali pamoja na wenye mamlaka,Magu akaja kuondoa huo ujinga ndio mana sasaivi unaona wanaungana kulamba tena na kinacho fuata nikusifia tu.
Jiulize kwenye ishu ya wanyama kusafirishwa nnje kiongozi gani wa upinzani amenyanyua mdomo kulaani.
Laana ya kumtukana mtu aliejitoa kwa ajili yenu itawatafuna tu.
Kutofungwa hakuondoi ujambazi wake na boss wakeAmeshafungwa kwa kesi gani gani?
Wanaomsafisha marehemu wanataka nini??Hamna anaweza mchafua marehemu ili wapate nn? Wala wafaidike Nini? Magufuli Alisha pita ila truth to be told kila mtu Ana azuri na mabaya magufuli Kuna mazuri Aliya fanya ila baya ambalo na amini nae aliomba msamaha kwa mungu kabla yakuaga Dunia ni kuleta tension na mkanganyiko wa kisiasa ndani ya nchi... Magufuli Ali pioneer ikaanza kuonekana kama wapinzani sio wa tanzania wala Hawana haki za kusema wanachojisikia kwa utashi wao.... That was so bad of him
Ulikuwepo wakati anatubu kwa Mungu? Kwa kiburi kile asingetubu aisee.Hamna anaweza mchafua marehemu ili wapate nn? Wala wafaidike Nini? Magufuli Alisha pita ila truth to be told kila mtu Ana azuri na mabaya magufuli Kuna mazuri Aliya fanya ila baya ambalo na amini nae aliomba msamaha kwa mungu kabla yakuaga Dunia ni kuleta tension na mkanganyiko wa kisiasa ndani ya nchi... Magufuli Ali pioneer ikaanza kuonekana kama wapinzani sio wa tanzania wala Hawana haki za kusema wanachojisikia kwa utashi wao.... That was so bad of him
Alijiona MUNGUUlikuwepo wakati anatubu kwa Mungu? Kwa kiburi kile asingetubu aisee.
Hakuna kitu kinaweza fidia uhai wa mtu. Hakuna jengo lolote zuri wala barabara au daraja vinaweza linganishwa na uhai wetu. Kama magufuli alijenga sgr ili apoke maisha ya watu, basi na apotee nayo motoni. Babake Ben analia hata leo. Nadhani hata wamjengee lami hadi chooni uhai wa mwanae utabaki ni namba moja.Lazima tukubali Kuna mazuri yalifanyika na mabaya yalifanyika kwenye utawala wa Magufuli.
Kama Magufuli angeendelea kuwapo angewaua viongozi wote wa CHADEMA kama ambavyo Paul Kagame anavyowaua wabaya wake.Ni wazi kuwa hayati JPM hakuwa amezungukwa na wanaCCM wema. Na walikuwa wakimchukia huku wakimkenulia meno.
Huyu Godbless Lema akikuwepo hapa nchini na alikuwa mbunge huko Arusha na hakuwahi kukimbia nchi mpaka alipokosa ubunge.
Tundu Lissu pamoja na kupata matatizo ya kuvamiwa na bad assailants lakini yupo huru kurudi nchini na kuishi nchini ndio maana alirudi mwaka 2020 na kugombea urais wa JMT.
Leo hii unafanyika unafiki wa kumchafua hayati JPM? Wananchi wanajua nini kinaendelalea.
Huu ni unafiki
👇View attachment 2253807
Hii statement umekufuru, jirudi, uwezo wa Allah/Mungu muumba haufanani na wa wako,Hata Sabaya anasingiziwa kesi za ujambazi aliokuwa akifanya kwa baraka za mwendakuzimu.
Dc wa Hai anaruhusiwa kufanya ujambazi nchi nzima na vyombo vya dola vipo.
Nikimkuta peponi huyu ibilisi naghairi kuingia itakuwa motoni ndio kuzuri zaidi.
Isitoshe Mungu akiwasamehe majambazi kama hawa wa awamu ya tano hakika hakuna binadamu atakwenda moto