Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli


Get well soon si mgeenda kumwombea huko Hospitalini,Mbona hamkutengeneza tishrt za Akwilina aliyepigwa Risasi kwenye ujinga wenu Mabibo!?,Unashindwa kujenga ofsi ya Chama chenu mnatengeneza Tishrt za Lissu?
 
Get well soon si mgeenda kumwombea huko Hospitalini,Mbona hamkutengeneza tishrt za Akwilina aliyepigwa Risasi kwenye ujinga wenu Mabibo!?,Unashindwa kujenga ofsi ya Chama chenu mnatengeneza Tishrt za Lissu?
Unaleta uchama stupidly, unadhani kila mwenye mitazamo tofauti au anayetetea haki ana uhusiano na chama cha kisiasa?
Watu waliamua kuvaa T-shirts za Lissu kwa choice yao hivyo hakuna anayepaswa kuwalazimisha kwa kuwa wameamua kuvaa T-shirts hizo basi lazima wavae na za wengine, uhuru wa kuchagua.
Kama unaona Aquilina alipaswa kuvaliwa T-shirts basi hata wewe unge-design ukavaa au ungewapitia polisi waliomuua wakavaa pamoja na Jiwe aliyekuwa ndiye chanzo cha mauaji yale kufanyika.
 
Wewe una uhakika gani kama alitenda hayo? Au unafuata yanayosemwa na watu.
 

Hakuna mkimbizi wa kisiasa aliyekimbia utawala wa Magufuli​

 

Nshakupasua mshono naona unahaha!
 
Mimi siyo mmakonde wala mzanzibar uwe na adabu kwa wakubwa zako.
Samahani Mkuu wangu Baba!! ila nilichoona tabia zako hizi!! ni km za hao jamaa nilio wataja lkn kama weye ni kabila langu nitashangaa sana! ukiwa ivo hata mke hupewi!
 
Magufuli ni Dude kubwa sana, Ajabu ni kwamba hawa Gaidi gang wanatumia mbinu zote kumchafua ilhali mtu ni marehemu
 
Wenye akili timamu tunajua kulikuwa na Fashisti nduli na kundi lake aliyewaumiza kuua kutesa nk
Mungu kaamua ugomvi.
 
Sukuma gang, mtalialia sana na huu ni mwanzo tu. It's an enjoyable country for us now.

Endeleeeni kulamba Asali sisi tunapambana kuwatoa vijana Wetu kwenye kesi bambikizi,Makonda yuko HURU sabaya kashinda kesi ya Tatu nae atakuwa HURU pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…